Lowassa: Nimeishafunga magoli ya urais

Lowassa: Nimeishafunga magoli ya urais

MAONI YANGU
Ni magoli gani aliyoyafunga huyu FISADI hadi anafika hatua ya kutamba kiasi hiki? Je, anadhani kwamba fedha zake za wizi zinaweza kumnunua kila mtanzania?

:israel:

Mifedha sema yetu si yake, ila itawanunua si wote lakini wengi.... Midanganyika bwana...mh!!
 
Kupunga mkono mpaka apumzike, wakati wa anaongea hakuna kugeuka kama sanamu. Hakuwa hivi wakati wa Richmond.
 
Hivi kwanini huwa humalizagi dozi za uchizi? U nadhani bila kumalizia dozi kichaa kitakupona?

Ona sasa unaongea mambo ambayo hata hayapo mbaya zaidi huna hata elimu angalau kichaa ningekua balanced

Go to school loosed


ENL the President 2015

Labda nikuulize, vipi wewe ushamaliza ile yako? Maana nadhani tulikutana dirishani wakati wa kuchukua dawa...unadhani aogee sabuni gani ili awe msafi.
 
Mwakyembe said Msabaha was reported to have told MP’s that he had no powers on the irregularities because the company belonged to the ‘big boss’, meaning the Prime Minister. “I am only taken as `Bangusilo,` meaning in the Zaramo language, a ‘sacrificial lamb’ to die for others” – Guardian.
Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, amezidi kupata maelfu ya wanachama wa CCM kumdhamini huku akisema kutokana na wingi wa watu wanaojitokeza tayari ameshafunga magoli ya urais.

Lowassa aliwasili jana katika mkoa wa Kilimanjaro akitokea Tanga na kupata wadhamini 33,780 katika mkoa wa Kilimanjaro.

Akizungumza na wanachama wa CCM na wananchi, Lowassa alisema anajivunia rekodi yake kwa Watanzania kutokana na kumjua na kujua nguvu yake katika utendaji kazi.

“Nadhani wale wenzangu 36 wakiona umati huu watajua na kujionea kuwa nimeshafunga magoli, tena magoli yenyewe ni sawa na yanayofungwa na Ronaldo (Cristian) na Messi (Lionel) hayana ubishi,” alisema Lowassa.

Alisema nia yake ya kugombea urais ni kutokana na kujiamini, ana uwezo, anatosha na amegombea ili ateuliwe na Chama hicho aweze kupambana na umaskini katika Taifa lenye rasilimali nyingi.

Akitangaza idadi ya watu waliojitokeza kumdhamini Lowassa, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Cyril Chami, alisema Lowassa amepata wadhamini 33,780 katika mkoa huo.

Mwenyekiti mstaafu wa CCM mkoani humo, Vick Nsilo Swai, alisema akinamama wa mkoa huo watahakikisha anashinda katika safari yake ya matumaini kutokana na utendaji aliouonyesha.


Chanzo: NIPASHE

MAONI YANGU
Ni magoli gani aliyoyafunga huyu FISADI hadi anafika hatua ya kutamba kiasi hiki? Je, anadhani kwamba fedha zake za wizi zinaweza kumnunua kila mtanzania?

:israel:
 
Halafu haya majiyu ukiyauliza mtia nia wanayemtaka utasikia UKAWA! Ukawa ni nani? Hata jina hawana na hawajui wanamtaka nani. Kila siku EL EL EL!

endelea kujipa matumaini feki ya muda. mafisadi wa CCM hamna nafasi tena mioyoni mwa watanzania waliojikatia tamaa ya maisha kutokana na udokozi wa mali za umma unaofanywa na nyinyiemu.
 
Last edited by a moderator:
Kupunga mkono mpaka apumzike, wakati wa anaongea hakuna kugeuka kama sanamu. Hakuwa hivi wakati wa Richmond.

yaani huyo ukimchapa kibao tu ni umeua! ccm balaa gani hili mnataka kutuletea yairahi!
 
Kupunga mkono mpaka apumzike, wakati wa anaongea hakuna kugeuka kama sanamu. Hakuwa hivi wakati wa Richmond.

hahahaha! fisadi lowasa kwishney...afya mgogoro...hata hawezi kupanda ngazi za kuingia bungeni mpaka amuite mtu amshike mkono na kumpandisha ngazi. anataka aende kufia ikulu?
 
Mwakyembe said Msabaha was reported to have told MP’s that he had no powers on the irregularities because the company belonged to the ‘big boss’, meaning the Prime Minister. “I am only taken as `Bangusilo,` meaning in the Zaramo language, a ‘sacrificial lamb’ to die for others” – Guardian.

asante sana kwa kutuwekea kipande hiki mkuu. nadhani sasa wale misukule wanaopayuka kuwa lowassa hakuhusika na kashfa ya richmond wataupata ukweli. lowassa is a green snake in green grass.
 
Jambazi kuu linatafuta uenyekiti Wa majambazi..

Mungu yupi?usibebe dhambi kwa kumtetea fisadi.hivi huyu akipitishwa watu hawataguna kama alivyosema mwenyekiti wao?msitenge akili kwa kupofushwa na fedha.

Lowassa kafungwa magoli ya urais ,uadirifu wa mashakamashaka goli moja,sifa 13 alizotangaza Mangula magoli 4 amfungwa Lowassa

Hebu oneni:-
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Kigezo [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Jaji Agustino Ramadhani [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Edward Ngoyayi Lowassa [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Umri [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Miaka 70 [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] 62 [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Elimu [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Ni ya juu ngazi ya shahada ya sheria [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Elimu ya juu ngazi ya shahada [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Uzoefu wa kazi [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Amebobea kwenye mhimili wa dola upande wa mahakama [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Amebobea kwenye mhimili wa dola upande wa serikali na bunge [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Uadirifu [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Hakuna mashaka yoyote kuhusu uadirifu wake [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Kuna mashaka mengi sana kuhusu suala la uadirifu [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Kazi alizofanya [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Jaji, mwanajeshi, mchungaji [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Kichunga ng`ombe, katibu wa chama, mkurugenzi IACC, mbunge, waziri, waziri mkuu. [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Historia kazini [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Amefanya kazi serikalini hadi amestaafu kwa mjibu wa sheria [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Alijihudhuru uwaziri mkuu kwa tuhuma ya kuipa tenda ya kufua umeme na kuiuzia Tanesco kampuni ya richmond ambayo haikuwa na sifa [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Kugombea urais [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Hajawahi kugombea labda hii itakuwa ni mala ya kwanza [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Aligombea mwaka 1995 jina lilikatwa kwa kukosa sifa [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Hali ya kugombea urais iliyopo hivi sasa [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Ameombwa agombee tena ameombwa sana [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Alianza mda mrefu kuonyesha nia ya kugombea urais, kuna mashaka mengi anahonga, ananunua makundi ili yamuunge mkono [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Afya [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Afya yake ni imala sana [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Afya ni mgogoro mala nyingi huenda Ugermani kupima afya, mala kadhaa huwa na kitetemeshi hasa asubuhi, hana uwezo wa kuhimili mikikimikiki kwa mda mrefu [/h] [/TD]
[h=1] [/h]

Nendeni chooni mende anawasubiri.
 
yaani huyo ukimchapa kibao tu ni umeua! ccm balaa gani hili mnataka kutuletea yairahi!

wanataka akafie ikulu nchi ipate hasara ya kuandaa maziko ya kitaifa. sijui hasa hawa CCM ni nani aliyewaroga.
 
Last edited by a moderator:
Mwakyembe said Msabaha was reported to have told MP's that he had no powers on the irregularities because the company belonged to the ‘big boss', meaning the Prime Minister. "I am only taken as `Bangusilo,` meaning in the Zaramo language, a ‘sacrificial lamb' to die for others" – Guardian.
Hivi huyu Msabaha yuko hai?!
 
Lowassa kafungwa magoli ya urais ,uadirifu wa mashakamashaka goli moja,sifa 13 alizotangaza Mangula magoli 4 amfungwa Lowassa

Hebu oneni:-
Kigezo

[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Jaji Agustino Ramadhani
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Edward Ngoyayi Lowassa
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Umri
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Miaka 70
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] 62
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Elimu
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Ni ya juu ngazi ya shahada ya sheria
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Elimu ya juu ngazi ya shahada
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Uzoefu wa kazi
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Amebobea kwenye mhimili wa dola upande wa mahakama
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Amebobea kwenye mhimili wa dola upande wa serikali na bunge
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Uadirifu
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Hakuna mashaka yoyote kuhusu uadirifu wake
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Kuna mashaka mengi sana kuhusu suala la uadirifu
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Kazi alizofanya
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Jaji, mwanajeshi, mchungaji
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Kichunga ng`ombe, katibu wa chama, mkurugenzi IACC, mbunge, waziri, waziri mkuu.
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Historia kazini
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Amefanya kazi serikalini hadi amestaafu kwa mjibu wa sheria
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Alijihudhuru uwaziri mkuu kwa tuhuma ya kuipa tenda ya kufua umeme na kuiuzia Tanesco kampuni ya richmond ambayo haikuwa na sifa
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Kugombea urais
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Hajawahi kugombea labda hii itakuwa ni mala ya kwanza
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Aligombea mwaka 1995 jina lilikatwa kwa kukosa sifa
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Hali ya kugombea urais iliyopo hivi sasa
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Ameombwa agombee tena ameombwa sana
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Alianza mda mrefu kuonyesha nia ya kugombea urais, kuna mashaka mengi anahonga, ananunua makundi ili yamuunge mkono
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Afya
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Afya yake ni imala sana
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Afya ni mgogoro mala nyingi huendaUgermani kupima afya, mala kadhaa huwa na kitetemeshi hasa asubuhi, hana uwezo wa kuhimili mikikimikiki kwamda mrefu
[/TD]

Kiswahili kinakugonga sana pole hata uchambuzi wako unatokana na kutojua mambo. Kasahihishe kiswahili kwanza ndugu au karudie std seven.
 
ccm wana hali ngumu sana kuelekea kupata mgombea wao.lowasa amewanunua wajumbe karibu wote wa mkutano mkuu.
 
I can't imagine ni jinsi gani unavyoumia haswa unapojijua fika unajitahidi kupingana na ukweli unaouona zahir bin shahir!

I cant imagine jinsi unavyoruhusu akili yako kuongozwa na akili ndogo! Sioni ukweli wowote ambao unasema ninauona mkuu! Nchi hii haitaongozwa tena na mafisadi kama unavyotaka wewe!
 
Back
Top Bottom