Nani anaitaka CCM, mafisadi? yes, vitoto vyao vilivyoko uvccm? yes, wapambe wanaokula makombo ya ufisadi kama Anold, Nanu, Salimia, Majimshindo, Nduka,Kaumza, Kashaga, itahwa et al? yeeeeeeeeeees!Pamoja na ukweli kuwa mimi si mwanachama wa ccm lakini kwa sasa huyu ndiyo tishio kwa wale wote watakao taka kugombea nafasi ya urais 2011 kwa ccm. .
nawaonea huruma kambi ya rowasa sababu hata adui yenu hamumfahamu poleni sana! najua mnalipwa pesa nyingi ila mjue adui yenu mkubwa yumo ndani ya ccm VILAZA NINYI!
Lowasa ningemuunga mkono sana kama angemtoa kafara Rostam, Watz tungeweza kujaribu kufanya jambo lakini kwa hali ya Rostam hawezi kuwa safi, ningemshauri aachane na mtandao wa akina Chenge atafute uhusiano mzuri na akina Mwakyembe atatoboa.
mamaaaaaaaaaaaaaa!!
Yani fisi aache urafiki na kina mbweha na chatu atafute uhusiano mzuri na kondoo! Are you serious? Hebu angalia Avatar hii!
Halafu jaribu ku-imagine fisi anasogea karibu nae!! What'll happen next JF?
Kama sisi ni wazalendo wa nchi hii Tusimwangalie lowassa. Tukiweka macho yetu kwa lowassa ina maana ccm hata wakituwekea bogus yeyote yule isipokuwa lowassa basi tunaridhika.
Hapa jf nilidhani tulikuwa intellectuals lakini kwa sasa hata watoto wa shule ya msingi hawachangii mada kwa namna hii (naomba samahani kwa kusema haya).
Ndugu,
Nimefuatilia kwa mamini majibu ya wengi humu. Inaonyesha dhahiri kwamba bila kujali itikadi za kichama, wengi hawamkubali LOWASSA. Na mimi mmojawapo. Si kwa ushabiki wa kichama wala nini, ni kwa masilahi ya Taifa tu.
Ila sasa, lisemwalo lipo, kama tumeshajua hivi na nia ya mtu huyu iliyojaa tamaa, nawaomba tusimame kidete kwa pamoja na kuondoa tofauti za kichama ili kumpinga huyu mtu. Ni TISHIO kwa nchi hii.
Tumpinge kwa nguvu zote kwa sababu itatugharimu. Nina maana kusema kwamba maoni haya mnayotoa yasiishie humu tu kwa kumjibu huyu kibaraka KAUMZA sijui KAUZU, ambaye sina hakika amelipwa kiasi gani kuandika utumbo kama huu.
Kama ni Rais niko tayari kumuunga mkono mwingine yeyote awe Slaa, Sitta, Membe au Magufuli lakini si Lowassa.
Watanzania wanzangu mbona ni mapema mno kuanza kampeni za uchaguzi wa 2015. Ni vema tukafikiria masuala mengine ya kimaendeleo kama vile kuboresha shule zetu hususani za kata, namna ya kupata umeme wa uhakika kufufua viwanda vyetu vilivyokufa baada ya ubinafsishaji, nk
naunga mkono hoja,na ndio anayewatia homa CDM,na ndio maana cdm wakilala wakiamka ni lowasa,huyu jamaa akisimama chadema chali coz lowasa anajua siasa za kisasa,ni msomi na ni msikivu na si mropokaji kama padri slaa! sasa wanachofanya cdm ni kumchafua kwa kashfa ambazo hawawezi kuthibitisha,wanabase kwenye rumours only! cdm need to be realistic with people na waambie sera zao na mipango yao,politics of critizing others imeshapitwa na wakati!
Sishangai kuwa hatuko sayari moja, unatoka sayari ya mafisadi, we have nothing, nothing at all in common.
Kwenye Bluu; Za kukkwapua mabillioni ya hela za waTZ, kujilimbikizia, hadi kuvimbiwa na kuzitumia kuingia madarakani, if yes then Lowasa anajua siasa za kisasa.
Kwenye nyekundu: anasikiliza nani? Au unamaanisha alivowasikiliza wachawi wa Thailand na kuwaleta TZ kunya Mvua?
Anawasikiliza mafisadi wenzake wanapopanga uharamia kwa TZ. Au ulikuwa unamaanisha kuwa Lowasa anasikilizia wananchi wanavolalama na hali ngumu ilhali ana limbikizi la milenium?
Kwenye Purple: Lowasa anachafuliwa? Hivi utasema jalala/dampo linachafuliwa?
Anyways, Kamati ya Mwakyembe iliyomwondoa EL uPM ilikuwa na wajumbe wangapi wa CDM? Hii kashfa Richmond ilichunguzwa na nani?
Kwenye Black; kwa nini haendi court kwa kuchafuliwa jina?
Kama uko kwenye sayari hii tunayoiishi, basi ni mgonjwa wa akili, Kuna kitengo kiko Muhimbili utapata msaada.
LOWASSA TISHIO?!
Tusiandike kwa mate wakati wino upo:
1972 - 1973 Milambo High School (combi: Swahili, History na English - SHE) Division III
1975 - 1970 University of Dar es Salaam (B.A. Theatre Arts "Sanaa ya maigizo") Pass
AMA KWELI TISHIO!
itahwa, najaribu kukupata asili yako napata wasiwasi kidogo. Watanzania wote sasa hv wanalia na madeni makubwa ya nishati kwa sababu ya huyu unayesema ni msomi, siasa za kisasa zikoje unazozizungumzia?Hz za kulazimisha tenda? Hz za kulazimisha wananchi kujenga miundombinu ya kijamii ilhali pesa za serikali ambazo zingefanya kazi hizo zikitiwa ktk mifuko yao binafsi? Msipeleke siasa za ushabiki hata mahali palipo wazi makosa kutendeka. Kwani alipotakiwa kujiuzulu haikuthibitishwa kwamba alihusika moja kwa moja na kashfa ya Richmond? Richmond mpaka leo tunapozungumza si kashfa kwa serikali? Na mtendaji unapojihusisha na chombo chenye kashfa unakwepaje kuwa mwenye kashfa? Hakupewa nafasi huyu kujisafisha na kashfa hiyo? Je, alifanikiwa kujisafisha?
Mimi sitaki kusema na wewe umelipwa pia lkn hebu jitolee doa hilo mwenyewe!
Huo ndiyo ukweli ambao wengi hawataki kuusikia. Nakuhakikishia kuwa Lowasa kama atapata nafasi ya kugombea kituchochote katika nchi hii, kwa mtandao alio nao na kwa idadi ya watu wanaomuunga mkono nakuhakikishia kuwa kura atakazopata zitakuwa za ajabu. Pamoja na ukweli kuwa mimi si mwanachama wa ccm lakini kwa sasa huyu ndiyo tishio kwa wale wote watakao taka kugombea nafasi ya urais 2011 kwa ccm. Nyota ya Lowasa inawaka kwa kiasi kikubwa ndiyo maana waandishi wa habari kama Saed Kubenea wanafanya kila linalowezekana kujaribu kukumbusha watanzania maisha ya Lowasa ili wasije wakamkubali. Ni bahati mbaya sana kuwa inavyoonyesha wengi wanamuunga mkono kisirisiri moyoni ila mbele za umma wanajifanya kumpinga. Na hii ndiyo kusema kuwa wengi hawataki kujionyesha misimamo yao kwani endapo atafanikiwa kupenya 2011 basi siasa za visasi zinaweza kuwazoa wale wote wanaompinga hadharani, ndiyo maana hata viongozi waandamizi wa ccm pamoja na vyama vingine huwezi kukuta wanamsema Lowasa vibaya. Hao wenye ujasiri wa kumkosoa ni wale wasiojua hatari inyoweza kuwa mbele ya safari kama bahati itamrudia na hawa ni watu wa kawaida ambao hawana sauti za kutosha kuwaeleza wananchi.
Again another mental disorder of some jf members
mtoa maada kaeleza vizuri kwa nini ni tishio...nilidhani mngekuja na hoja ya kusema ni jinsi gani ya kumzuia
wengi mmechukulia kuwa mtoa maada anamsafisha lowassa!!!! What a shame?? Shame!!! Shame!!!! Shame!!!!
Mbona hata Nyerere alishasema tangu miaka ile ya Tisini kuwa Lowasa ni Tishio na hafai kushika uongozi wa Nchi hii.