Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,278
- 8,868
Nilikuwa sijabahatika kumwona Lowassa kwa karibu,Nilipata bahati hiyo pale mlimani city aisee Lowassa mungu kamjalia nuru ya ajabu.
Yani ukimwona tu,Roho yako inakusukuma kumpa kura kwa jinsi alivyo mtaratibu,mng'aavu na jasiri.
Yani kwa ufupi Lowassa ni President material kamzidi sana Magufuli kwa kila kitu. Magufuli pupa zimemzidi sio mtu wa kutafakari anapenda kukurupuka na utulivu hana hata chembe.
Hakika Baada ya kumwona Lowassa nimejiridhisha anahitaji kura yangu na za watanzania wenzangu.
Yani ukimwona tu,Roho yako inakusukuma kumpa kura kwa jinsi alivyo mtaratibu,mng'aavu na jasiri.
Yani kwa ufupi Lowassa ni President material kamzidi sana Magufuli kwa kila kitu. Magufuli pupa zimemzidi sio mtu wa kutafakari anapenda kukurupuka na utulivu hana hata chembe.
Hakika Baada ya kumwona Lowassa nimejiridhisha anahitaji kura yangu na za watanzania wenzangu.