wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,460
- 3,152
eti roho inamsukuma kumpa! Huyu jamaa atakuwa MliberaliHuu upuuzi wa dizaini hii ndo tutaendelea kuingia chaka kama taifa! ETI ukimuona tu roho inakusukuma!!!
eti roho inamsukuma kumpa! Huyu jamaa atakuwa MliberaliHuu upuuzi wa dizaini hii ndo tutaendelea kuingia chaka kama taifa! ETI ukimuona tu roho inakusukuma!!!
Yesu huyu Masihi au yesu mwingine? Masihi hakuwahi kutuhumiwa kwa ufisadi! Na masihi Angekuwa na usongo wa madaraka kama Lowassa mbona Angeanguka mara moja tu pale alipojaribiwa jangwani? Shetani alimwahidi kumpa himaya zote hapa duniani. Imagine kama huyu angekuwa ndo Lowassa mweh! Muwe mnafikiri kwanza kabla ya kuropoka na huu usambamba wenu zigzag!Lowassa kama Yesu...yaani...UKAWA it is TIME for CHANGE
sababu tuna imani nae, ogopa imani ya mtu! CCM Ni chama cha vibaka na wajinga
mafisadi wanafugwa CCM wa kutosha, kuanzia Baba, mama, watoto, wajukuu, vitukuu! Hivi :wave:Kweli we nyani asiyeona kundule!
Mmewakaribisha mafisadi na wtu ambao ni zaidi ya vibaka we huoni wala husikii.
Mpaka uibiwe mkeo ndo utaamini!!!!!
Kwa hiyo na nyie mmeamua kuwaiga CCM kwa kufuga fisadi Lowasa au siyo?mafisadi wanafugwa CCM wa kutosha, kuanzia Baba, mama, watoto, wajukuu, vitukuu! Hivi :wave:
Nilikuwa sijabahatika kumwona Lowassa kwa karibu,Nilipata bahati hiyo pale mlimani city aisee Lowassa mungu kamjalia nuru ya ajabu.
Yani ukimwona tu,Roho yako inakusukuma kumpa kura kwa jinsi alivyo mtaratibu,mng'aavu na jasiri.
Yani kwa ufupi Lowassa ni President material kamzidi sana Magufuli kwa kila kitu. Magufuli pupa zimemzidi sio mtu wa kutafakari anapenda kukurupuka na utulivu hana hata chembe.
Hakika Baada ya kumwona Lowassa nimejiridhisha anahitaji kura yangu na za watanzania wenzangu.
Sasa mafisadi mnao wa kutosha, subirini mnyolewe!mafisadi wanafugwa CCM wa kutosha, kuanzia Baba, mama, watoto, wajukuu, vitukuu! Hivi :wave:
Nilikuwa sijabahatika kumwona Lowassa kwa karibu,Nilipata bahati hiyo pale mlimani city aisee Lowassa mungu kamjalia nuru ya ajabu.
Yani ukimwona tu,Roho yako inakusukuma kumpa kura kwa jinsi alivyo mtaratibu,mng'aavu na jasiri.
Yani kwa ufupi Lowassa ni President material kamzidi sana Magufuli kwa kila kitu. Magufuli pupa zimemzidi sio mtu wa kutafakari anapenda kukurupuka na utulivu hana hata chembe.
Hakika Baada ya kumwona Lowassa nimejiridhisha anahitaji kura yangu na za watanzania wenzangu.
Wanawake Ndivyo walivyo. Wanampa mtu kura kwa sura tu. Msamehe huyo dadaKwa fikra hizi tusitegemee mabadiliko. Yani kumuona mtu na kura yako umeamua kumpa. Kuwa third world country hakukuja hivi Hivi.
Wee Mama. Mumeo anajua hili? Halafu mkipewa talaka mnaanza kulia.Nilikuwa sijabahatika kumwona Lowassa kwa karibu,Nilipata bahati hiyo pale mlimani city aisee Lowassa mungu kamjalia nuru ya ajabu.
Yani ukimwona tu,Roho yako inakusukuma kumpa kura kwa jinsi alivyo mtaratibu,mng'aavu na jasiri.
Yani kwa ufupi Lowassa ni President material kamzidi sana Magufuli kwa kila kitu. Magufuli pupa zimemzidi sio mtu wa kutafakari anapenda kukurupuka na utulivu hana hata chembe.
Hakika Baada ya kumwona Lowassa nimejiridhisha anahitaji kura yangu na za watanzania wenzangu.
Siyo kura tu mkuu. Hata mbunye wanatoa. Hovyo kabisa!Wanawake Ndivyo walivyo. Wanampa mtu kura kwa sura tu. Msamehe huyo dada