Nyamsusa JB
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 567
- 1,565
Hekima na Busara ni zaidi ya kila kitu.
Mtu akiwanavyo hivi vingine vyote anazidishiwa.
Magufuli ni Mtendaji mzuri lakini anapungukiwa na hivi vitu.
Sifa Kuu za raisi ni kuwa na Hekima na Busara ya hali ya juu.
Maamuzi mengi mazuri hayategemei Utendaji wa mtu husika bali yanategemea Hekima na Busara yake.
Magufuli hana hivi viwili na Maamuzi mengi yanaamuliwa na Utendaji wake matokeo yake Maamuzi yake mengi yatakua ya Kukurupuka tu na kutengenezea Matatizo makubwa kwa Taifa.
Magufuli hana Hekima na Busara ya kutosha kua raisi na hivyo hana Uvumilivu.
Kiongozi mzuri ni yule mwenye uvumilivu ili apate muda wa kutafakari kabla ya kuamua bila kukurupuka.
Katika vitu muhimu alivyonavyo Lowassa ni hivi vitu viwili Hekima na Busara.
Busara na Hekima ya Lowassa imepimwa kwa magumu aliyopitia.
Katika magumu hayo Lowassa aliongozwa na Hekima na Busara yake kua Mvumilivu.
kama Lowassa angeamua mambo kwa kutegemea Utendaji wake huenda leo CCM na Taifa kwa ujumla tungekua na histolia nyingine kabisa.
Mungu alimuuliza Mfalume Suleimani ampe chochote atakacho, Suleimani alichagua Hekima na Busara na hivi vilimuongoza Mfalume Suleimani kua kiongozi bora kuliko yeyote hapa Duniani.
Lowassa ana bahati ya kua na hivi viwili Hekima na Busara.
Kwa Hekima na Busara za Lowassa ni zaidi ya kila kitu sio utendaji tu kama ilivyo kwa Magufuli.
"Mabadiliko Lowassa"
"Lowassa Mabadiliko"
Mtu akiwanavyo hivi vingine vyote anazidishiwa.
Magufuli ni Mtendaji mzuri lakini anapungukiwa na hivi vitu.
Sifa Kuu za raisi ni kuwa na Hekima na Busara ya hali ya juu.
Maamuzi mengi mazuri hayategemei Utendaji wa mtu husika bali yanategemea Hekima na Busara yake.
Magufuli hana hivi viwili na Maamuzi mengi yanaamuliwa na Utendaji wake matokeo yake Maamuzi yake mengi yatakua ya Kukurupuka tu na kutengenezea Matatizo makubwa kwa Taifa.
Magufuli hana Hekima na Busara ya kutosha kua raisi na hivyo hana Uvumilivu.
Kiongozi mzuri ni yule mwenye uvumilivu ili apate muda wa kutafakari kabla ya kuamua bila kukurupuka.
Katika vitu muhimu alivyonavyo Lowassa ni hivi vitu viwili Hekima na Busara.
Busara na Hekima ya Lowassa imepimwa kwa magumu aliyopitia.
Katika magumu hayo Lowassa aliongozwa na Hekima na Busara yake kua Mvumilivu.
kama Lowassa angeamua mambo kwa kutegemea Utendaji wake huenda leo CCM na Taifa kwa ujumla tungekua na histolia nyingine kabisa.
Mungu alimuuliza Mfalume Suleimani ampe chochote atakacho, Suleimani alichagua Hekima na Busara na hivi vilimuongoza Mfalume Suleimani kua kiongozi bora kuliko yeyote hapa Duniani.
Lowassa ana bahati ya kua na hivi viwili Hekima na Busara.
Kwa Hekima na Busara za Lowassa ni zaidi ya kila kitu sio utendaji tu kama ilivyo kwa Magufuli.
"Mabadiliko Lowassa"
"Lowassa Mabadiliko"