Nashauri Lowassa amuhakikishie Magufuli post ya Uwaziri mkuu

kwamtoro

JF-Expert Member
Nov 15, 2010
4,922
3,234
Ukweli ni kwamba Magufuli hana sifa na vigezo vya kuwa Rais wa Jamuhuri ya watu wa Tanzania. Nipo karibu sana na watu wa System na baadhi ya vigogo wa inchi hii. Ukweli tukubali tukatae Magufuli hana sifa ya kutuliza akili na kufikiria, katika mishipa iliyopo mwilini mwake, amekosa mshipa wa (BUSARA) as well ni mtu wa haraka sana kulewa na madaraka.

Magufuli ni mtu wa kuamrisha na ufuatiliaji ndio maana anajiita hapa kazi tu. Mtu wa namna hii ni ngumu kuongoza Taifa lenye watu million 44 kiufasaha. Endapo Magufuli ataweza kushinda nafasi ya Urais, ni mtu hatari sana kwa CCM Wenyewe. Katika kampeni anazo zifanya wamekwisha mstukia, kucheka wanashidwa, kujisaidia haja ndogo wanashidwa. Mabadiliko ya Magufuli ni mabadiliko ya kutumia mahakama, dola kuinyoosha CCM na wafanyakazi wa Tanzania.

CCM katika kuvunja makundi kamati ya maadili ilishidwa kukumbuka kama Magufuli ni mtu asiye heshimu sheria na mamlaka. Ukweli ni kwamba Magufuli alikereka sana na usleki wa Kikwete. Kati ya Marais alio fanya nao kazi Magufuli aulizwe nani anamkubali bila mawaa wala shaka atamchagua mkapa kwa sababu alikuwa na Element za Ukatili.

Kwa vile mgombea Urais wa ukawa anazo sifa zote za President material, pia katika kampen zake anataka Tanzania ipate maendeleo ya kasi, ni vyema sasa atuthibitishie atafanya kazi na Magufuli ili tumpe kura za wingi, hasa ampe nafasi ya Uwaziri mkuu. Siyo mbaya Lowassa akianza kumtaharisha Magufuli kisaikolojia mapema kwa kumpigia simu pamoja na kutamka hadharani kwamba atafanya nae kazi

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa.
 
Ukweli ni kwamba Magufuli hana sifa na vigezo vya kuwa Rais wa Jamuhuri ya watu wa Tanzania. Nipo karibu sana na watu wa System na baadhi ya vigogo wa inchi hii. Ukweli tukubali tukatae Magufuli hana sifa ya kutuliza akili na kufikiria, katika mishipa iliyopo mwilini mwake, amekosa mshipa wa (BUSARA) as well ni mtu wa haraka sana kulewa na madaraka.

Magufuli ni mtu wa kuamrisha na ufuatiliaji ndio maana anajiita hapa kazi tu. Mtu wa namna hii ni ngumu kuongoza Taifa lenye watu million 44 kiufasaha. Endapo Magufuli ataweza kushinda nafasi ya Urais, ni mtu hatari sana kwa CCM Wenyewe. Katika kampeni anazo zifanya wamekwisha mstukia, kucheka wanashidwa, kujisaidia haja ndogo wanashidwa. Mabadiliko ya Magufuli ni mabadiliko ya kutumia mahakama, dola kuinyoosha CCM na wafanyakazi wa Tanzania.

CCM katika kuvunja makundi kamati ya maadili ilishidwa kukumbuka kama Magufuli ni mtu asiye heshimu sheria na mamlaka. Ukweli ni kwamba Magufuli alikereka sana na usleki wa Kikwete. Kati ya Marais alio fanya nao kazi Magufuli aulizwe nani anamkubali bila mawaa wala shaka atamchagua mkapa kwa sababu alikuwa na Element za Ukatili.

Kwa vile mgombea Urais wa ukawa anazo sifa zote za President material, pia katika kampen zake anataka Tanzania ipate maendeleo ya kasi, ni vyema sasa atuthibitishie atafanya kazi na Magufuli ili tumpe kura za wingi, hasa ampe nafasi ya Uwaziri mkuu. Siyo mbaya Lowassa akianza kumtaharisha Magufuli kisaikolojia mapema kwa kumpigia simu pamoja na kutamka hadharani kwamba atafanya nae kazi

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa.

Arudi wizara ya Ujenzi
 
Ukweli ni kwamba Magufuli hana sifa na vigezo vya kuwa Rais wa Jamuhuri ya watu wa Tanzania. Nipo karibu sana na watu wa System na baadhi ya vigogo wa inchi hii. Ukweli tukubali tukatae Magufuli hana sifa ya kutuliza akili na kufikiria, katika mishipa iliyopo mwilini mwake, amekosa mshipa wa (BUSARA) as well ni mtu wa haraka sana kulewa na madaraka.

Magufuli ni mtu wa kuamrisha na ufuatiliaji ndio maana anajiita hapa kazi tu. Mtu wa namna hii ni ngumu kuongoza Taifa lenye watu million 44 kiufasaha. Endapo Magufuli ataweza kushinda nafasi ya Urais, ni mtu hatari sana kwa CCM Wenyewe. Katika kampeni anazo zifanya wamekwisha mstukia, kucheka wanashidwa, kujisaidia haja ndogo wanashidwa. Mabadiliko ya Magufuli ni mabadiliko ya kutumia mahakama, dola kuinyoosha CCM na wafanyakazi wa Tanzania.

CCM katika kuvunja makundi kamati ya maadili ilishidwa kukumbuka kama Magufuli ni mtu asiye heshimu sheria na mamlaka. Ukweli ni kwamba Magufuli alikereka sana na usleki wa Kikwete. Kati ya Marais alio fanya nao kazi Magufuli aulizwe nani anamkubali bila mawaa wala shaka atamchagua mkapa kwa sababu alikuwa na Element za Ukatili.

Kwa vile mgombea Urais wa ukawa anazo sifa zote za President material, pia katika kampen zake anataka Tanzania ipate maendeleo ya kasi, ni vyema sasa atuthibitishie atafanya kazi na Magufuli ili tumpe kura za wingi, hasa ampe nafasi ya Uwaziri mkuu. Siyo mbaya Lowassa akianza kumtaharisha Magufuli kisaikolojia mapema kwa kumpigia simu pamoja na kutamka hadharani kwamba atafanya nae kazi

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa.
Poor you...huna uelewa wa katiba na haki ya chama kilichoshinda kuunda serikali yake. Sasa jiulize Kama lowassa akishinda Kwanini amchague magufuli na si mtu mwingine yeyote kwenye chadema?
 
Kikwete Alivokuwa Mpole Mlimsema Sana,oh Hana Maamuzi,anaendekelea Na Kuwabeba Marafiki Zake Lakini Leo Tunaletewa Magufuli Naye Tunamsema Kuwa Hafai Wakati Ni Wapinzani Wenyewe Mliokuwa Mkimsifia Huyu Mtu Kwa Uwajibikaji Na Utendaji Wake.
 
Pole sana mkuu!! Umepitwa na wakati !! Watu wanaoitwa wa system na vigogo wapeleke huko system na uvigogo wao..... Ungesema upo karibu na watanzania waadilifu, wachapa kazi na wenye nia njema...ungetuvutia..... Vigogo kama lowasa, sumayi, kingunge,msindai, na wengine wameitafuna nchi yetu na kuinyonya kama kupe..... Potelea mbali na vigogo wako.....tinga tinga linakuja kung'oa visiki na vigogo vyote ili shamba tanzania liwe safi...... Ndugu watanzania naomba tumzomeee anayetutishia vigogo na watu wake wa system...... Ooohhhhhh!!
 
Poor you...huna uelewa wa katiba na haki ya chama kilichoshinda kuunda serikali yake. Sasa jiulize Kama lowassa akishinda Kwanini amchague magufuli na si mtu mwingine yeyote kwenye chadema?

Tambua kwamba Chameda ikishinda Rasimu ya Warioba inarudishwa kama ilivyo as well ni marekebisho tu yatafanyika kufanya yasiyo wezekana kuwezekana. Aiwezekana mtu anazo sifa alafu ashidwe kuwatumikia watanzania sababu ni chama tu. Dhama ya mabadiliko ni mabadiliko ya dhati
 
Hafai kwenye ngazi ya uRais kwa sababu hana hekima na busara. Aje ukawa ana uhakika wa kupewa uwaziri
 
Tambua kwamba Chameda ikishinda Rasimu ya Warioba inarudishwa kama ilivyo as well ni marekebisho tu yatafanyika kufanya yasiyo wezekana kuwezekana. Aiwezekana mtu anazo sifa alafu ashidwe kuwatumikia watanzania sababu ni chama tu. Dhama ya mabadiliko ni mabadiliko ya dhati

Unarudishaje Rasimu Ya Katiba Wakati Huna Waziri Mkuu,waziri Mkuu Kwanza Ndo Hayo Mengine Hufwata
 
Ukweli ni kwamba Magufuli hana sifa na vigezo vya kuwa Rais wa Jamuhuri ya watu wa Tanzania. Nipo karibu sana na watu wa System na baadhi ya vigogo wa inchi hii. Ukweli tukubali tukatae Magufuli hana sifa ya kutuliza akili na kufikiria, katika mishipa iliyopo mwilini mwake, amekosa mshipa wa (BUSARA) as well ni mtu wa haraka sana kulewa na madaraka.

Magufuli ni mtu wa kuamrisha na ufuatiliaji ndio maana anajiita hapa kazi tu. Mtu wa namna hii ni ngumu kuongoza Taifa lenye watu million 44 kiufasaha. Endapo Magufuli ataweza kushinda nafasi ya Urais, ni mtu hatari sana kwa CCM Wenyewe. Katika kampeni anazo zifanya wamekwisha mstukia, kucheka wanashidwa, kujisaidia haja ndogo wanashidwa. Mabadiliko ya Magufuli ni mabadiliko ya kutumia mahakama, dola kuinyoosha CCM na wafanyakazi wa Tanzania.

CCM katika kuvunja makundi kamati ya maadili ilishidwa kukumbuka kama Magufuli ni mtu asiye heshimu sheria na mamlaka. Ukweli ni kwamba Magufuli alikereka sana na usleki wa Kikwete. Kati ya Marais alio fanya nao kazi Magufuli aulizwe nani anamkubali bila mawaa wala shaka atamchagua mkapa kwa sababu alikuwa na Element za Ukatili.

Kwa vile mgombea Urais wa ukawa anazo sifa zote za President material, pia katika kampen zake anataka Tanzania ipate maendeleo ya kasi, ni vyema sasa atuthibitishie atafanya kazi na Magufuli ili tumpe kura za wingi, hasa ampe nafasi ya Uwaziri mkuu. Siyo mbaya Lowassa akianza kumtaharisha Magufuli kisaikolojia mapema kwa kumpigia simu pamoja na kutamka hadharani kwamba atafanya nae kazi

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa.

Naona mmelipwa ili walau kuiteka Jf kww hiki kipindi kilichobaki kwamba marehemu anastahili aongoze nchi, mnatumia staili ya kuweka threads nyingiii ili eti tuamini jambazi lenu linaweza hata kuingia 3 bora, tunawahakikishia kama mtapata hata 30% basi mjue mmeongezewa ..mnatembea na marehemu na watu tayari washawashtukia kitambo sana kilichobaki ni kupiga pesa yake tu
 
kwamtoro pengine hili limekupita!

Hoja unayozungumza Balozi Mwapachu alikwisha pigilia msumari siku nyingi.


[h=3]Alichoandika Juma Mwapachu mara tu Sumaye alipotangaza ku[/h]
What is most interesting about this particular election is that, in as much as we would popularly wish to think that the contest is between the CCM and UKAWA candidates, the reality is different. The contest is between '
leadership' and 'management'.

In my view and a well considered one, Edward Ngoyai Lowassa will provide the much needed leadership that our country desperately requires. John Pombe Magufuli will only, in contrast, give us what he is best at, mere good management.
[/QUOTE]
 
Last edited by a moderator:
Unarudishaje Rasimu Ya Katiba Wakati Huna Waziri Mkuu,waziri Mkuu Kwanza Ndo Hayo Mengine Hufwata

Hapa silewi kabisa jamaa hapo juu anajibu nini?

quote_icon.png
By kwamtoro

Tambua kwamba Chameda ikishinda Rasimu ya Warioba inarudishwa kama ilivyo as well ni marekebisho tu yatafanyika kufanya yasiyo wezekana kuwezekana. Aiwezekana mtu anazo sifa alafu ashidwe kuwatumikia watanzania sababu ni chama tu. Dhama ya mabadiliko ni mabadiliko ya dhati
 
Hakuna cha waziri mkuu wala waziri wa ujenzi.

Hapewi kitu labda apewe ukurugenzi wa TANROADS, zaidi ya hapo aungane na wastaafu wengine.
 
Watu wamesahau alivyo WAYANG'ANYA vigogo magari (TX) ile miaka ya 90. Hatabiriki huyo, anaweza kuwarudi hata watangulizi wake (achilia mbali wananchi wake).
 
Back
Top Bottom