Huyu ambaye hata hawezi kuongea vizuri na kumaliza hotuba akiwa amesimama ndo presidential material? Nataka kumuona kwenye grueling campaign trail nchi nzima kama ata-survive. Msifieni kwa mengine (mf. kutafuta hela) lakini siyo presentation. The guy is real tired and is terrible at public speaking. These are facts!
sababu tuna imani nae, ogopa imani ya mtu! CCM Ni chama cha vibaka na wajingadu
kweli bavicha mnashida!
mtu anaongea kama mgonjwa nyie mmo tu!
Mnadhania tunahongeka kama unavyohongwa wewe?? CCM chama cha vibaka na wajinga, ccm hana tofauti na shetaniHahahahahahah.
Huyo ni zaidi ya UKAWA nzima, hata daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa mmempiga chini.
Cheza na fedha wewe?
Mchagga kwa pesa kasema "shetani kawa malaika".
Muulize Lipumba, mchumi.
Kuna watu washamla sana sana pesa zake au au haujuwi kuhusu "friends of Lowasa"? na tukampiga chini.
Hahahahahahah.
Huyo ni zaidi ya UKAWA nzima, hata daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa mmempiga chini.
Cheza na fedha wewe?
Mchagga kwa pesa kasema "shetani kawa malaika".
Magufuli sura ngumu kinyama.... Infact kumuuza Magufuli ni ngumu sana sana
Labda kama kigezo kinavhotumika ni kiwango vha ufisadi alichofanya mgombea
Ujue kuna kitu sijaelewa! !!!
Mnaposema lowassa ni fisadi yawezekana mko sahihi kabisa!
Mkaenda mbali na kusema ni kati ya wale hatar 11 (walioifirisi serikali and I am sure walikuwa ccm )
Swali ni je!
Kati ya hao 11 lowassa katoka ambaye ni mmoja meaning wamebaki 10! Je hao 10 wako wapi hadi sasa?
Na ni Kwanini ccm wanajiona sasa ni wasafi bila lowassa ikiwa hao 10 wako ndani yao?
Huyo aliekunja ngumi je sio fisadi?
FaizaFoxy; Kumbe upo! Ulikwenda kuzichimbia uchagoni ndo umerudi?? Hakuzimaliza ameona awaletee UKAWA nao wazilambe.
Usihofu amekuja huku kutufundisha mbinu zenyu za goli la mkono. Mwaka huu mtaji.ha.rishia tu. Kaeni karibu na bomba la maji. Oktoba si mbali bado siku ka 79 tu
Hivi huyo Lowasa anazopesa kiasi gani kwamba CCM na wanachama wake wamegawana Makanisa Misikiti kama mnavyosema hamkuzimaliza kaelekea CHADEMA na UKAWA dado anagawa hela hivi TRA wako wapi wamekusanya kodi au nao wamegawiwa fungu lao jamani kumbe ndio maana anasema anauchukia UMASKINI kwanini asiwe RAISI wetu akatuambukiza UTAJIRI au wenzangu mmezoa UMASKINI si hata chama cha mapesa huko majimboni huoni takukuru walivyotuonyesha maburungutu yaliokamata toka kwa wagawaji
Kura ni siri yako
sababu tuna imani nae, ogopa imani ya mtu! CCM Ni chama cha vibaka na wajinga
Conclusion nzuri. Tatizo ni mihemko iliyokuongoza mpaka kuifikia conclusion hii....Ccm ni chama cha wajinga ipo wazi,
Hahahahahahah.
Huyo ni zaidi ya UKAWA nzima, hata daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa mmempiga chini.
Cheza na fedha wewe?
Mchagga kwa pesa kasema "shetani kawa malaika".