Lowassa ni msafi, Lakini kuna kitu hiki...

Lowassa ni msafi, Lakini kuna kitu hiki...

Hii nchi huko tuendako kama vyombo vyetu vya usalama havitakuwa makini na kutekeleza wajibu wake ipasavyo ipo hatari kubwa tunaweza kuja kupata Rais atakayeliongoza Taifa hili ambaye ni 'drug dealer' mkubwa.

Kwa kuwa kwa namna trend inavyoelekea ya nchi yetu ni kuwa qualification no 1 ya kupata uongozi mkubwa nchini mwetu, ni kwa namna gani mgombea huyo yupo tayari kuyagawa mabilioni yake na kwa bahati mbaya sana hao wanaogawiwa hayo mabilioni hawako interested kabisa kujua source ya utajiri wa mgombea wao.

Kwa hiyo hata kama mabilioni hayo waliyogawiwa yatakuwa yamepatikana kwa njia ya drug trafficking it is non of their business!

kuna tetesi mtaani kuwa hayo uliyoyaeleza yapo!
 
Sisi watanzania sijui tukoje. Tutaongozwaje na mtu mwenye tuhuma mbaya hivi?

Mtu ni historia yake. Kama miaka mingi ya maisha na utumishi wake amekuwa Mtu wa ufisadi atakuja uacha akishazeeka?
 
Ni kitu gani kinawasumbua na Lowassa??muda mwingi mnapoteza mkijadili mnasahau kutuambia huyo mnaemtaka atatutoaje hp
 
mda mwing mnaupoteza kwa sababu ya lowasa njoon mtupe mkakati wa rais ajayeee Ila kwa sasa tunamhitaji rais wa kutuondolea umaskin @ lowasa kwanza
 
Lowassa hata aje nyumbani kwetu aibe kila kitu hadi nyumba lakini kura yangu nampa yeye asipo pitishwa naharibu kura
 
Kwann hizo taarifa hamkuleta kabla ya nia kutangazwa after all wapiga kura wengi hawajui kingereza wala hawatembelei mitandao ya kijamii
 
Afu Lowassa Alisha sema msiongelee vichochoroni jitokeze toa ushahidi mambo yaishe nyie mnaleta jamii forum huku hii ndo mahakama
 
Itv wapo hewan bora mungalie mnaweza kupunguza hasira za bungen
 
Kha Sasa mnadhani Kwa Gia Hii mambo yote fresh ee
 
Katika wote nayemsikitikia ni Invisible..! Da Sijui dau kiasi gani kapewa Hadi kaamua Rasmi JF byebye.. Pesa mbaya Nyie acheni. Basi bana Ndo ivo
 
Mimi namlaumu Lowasa na kambi yake kwa kushindwa kujibu hoja uchwara na za kujinga zinazoelekezwa kwake kama tuhuma.
Nafikiri hata wapinzani wake wametambua kuwa huyo mh. ana domo zege ndio maana kila kukicha wanamtukana na yeye anakaa kimya tu wakati sheria zipo wazi kumlinda. Hata sheria za mitandao zimepitishwa ili kulinda haki za mtu lakini bado ameshindwa kuzitumia.Mbona Mwakyembe alipoona mitandao inatumika vibaya akaamua kuwasaka wabaya wake na akawapata.
Hapo ndipo ninapojiuliza kuwa kama Lowasa anashindwa kutetea haki yake mwenyewe na utu wake na heshima yake atawezaje kutetea haki na heshima ya watanzania.

Hata washauri wake naona ni watu wasiojishughulisha kupata habari na kumjulisha nini kinaendelea na ajitokeze vipi kujibu.

Mfano ni juzi tu Madabida amemkashifu kiongozi mkuu wa waislam mtume Mohamad.Labda hakua na nia mbaya. Lakini kama kweli hakuwa na nia mbaya ni kwanini mpaka leo sio Lowasa wala Madabida aliyejitokeza kuwaomba masamaha waislam wa Tanzania na dunia msamaha.
Je,ina maana Lowasa na kampani yake hawaoni madhara makubwa ya nayoweza kujitokeza kwa kupuuza suala hili. Na haoni kuwa watu wanaomzunguka wanaweza kuwa wametumwa na watawala ambao kwa kiwango kukibwa ndio wanaompiga vita!! Hivi Kweli washauri wake wanashindwa kumshauri namna ya kujitokeza na kuwaomba msamaha waislam ambao kwa asilimia kubwa ndio na watawala kutekeleza azma yao.Au anasubiri mpaka waislam wasambaze waraka nchi nzam wa tamko la kumkataa ?.

Hivi Lowasa anashindwa kujitokeza na kutoa ufafanuzi juu ya hicho kinachoitwa MOU ammbachokimetajwa sana kwamba ndiye aliyesababisha wakristo wawe wanachotewa mabilioni ya pesa na serikali. Hili nalo linamwia gumu kufafanu?

Na kama kweli mpaka sasa hajawajua watu wanaotumia vijana wasomi kumtukana na kumchafua kwenye mitandao basi ataingoza nchi kwa tabu kwani hatapata taarifa toka chini mpaka juu.Kama ana taarifa amechukua hatua gani ili kuondoa hizi siasa za majitaka.
Kama Lowasa na kundi lake wanashindwa kupambana kisheria na kubaina kakundi kadogo ka vijana wanaotumiwa na mahahasimu wake kiasiasa kwa lengo la kumchafua tu badala ya kuwanadi watu wao, atawezaje kupambana na uhalifu nchi nzim?
100 digits kwani hapo kwenye post yangu kuna mahali popote nilipomtaja Lowassa?

Nilichosema mimi ni kuwa baadhi ya watia nia martumizi yao kwenye hiyo kuisaka Ikulu ndiko kuna utata mkubwa.

Hebu tujiulize swali moja tu, hivi inwezekanaje mtia nia ambaye chama chake kimemuelekeza atafute wadhamini 450 kutoka mikoa 15, yeye anaenda zoa 'rundo' la wadhamini/wapiga kura wake 800,000 plus kutoka mikoa yote 31?

Hivi alikuwa na maana gani kukiuka kwa makusudi maelekezo ya chama chake?

Tutaendelea kukumbuka maneno ya busara sana aliyowahi kuyatoa Mwalimu Nyerere, aliposema Ikulu kuna biashara gani hadi mtu atumie mabilioni ya pesa zake 'kuinvest' kwenda huko?
Akaendelea kuuliza kama huyo mtu ameyakopa mabilioni hayo[Lowassa ametwambia anapewa na rafiki zake] atawezaje kuyalipa wakati Ikulu hakuna biashara yoyote?
Akamalizia wosia wake muhimu sana kwa Taifa hili kuwa mtu huyo ni wa kumuogopa zaidi ya UKOMA.
 
I cant read th doc.lm not intitled.neithr l cant believ it in totality,and only reasonable men wil undstnd that tj alleged Fredrick Lowassa is not Edward Ngoyai Lowassa whom we know.finaly EDWARD NGOYAI LOWASSA IS OUR ONLY PRESIDENT TO BE AND NEITHR INTRPOL NOR LONDON WITH USA CANT DETERMINE WHTS IS GOOD FOR TANZANIA BUT THY CAN ONLY WISH US TO HAV WHT IS BAD FOR TANZANIA. TAK CARE. LOWASSA REPLY NO ONE . WE ALREADY KNW TH GAM THY AR PLOTN.

Why dont u tel us Bush and Obama's scandals ? Instead of ur malicious allgations against our African leader especial thos who look best for th intrst of our peopl?
 
Mbonanhivyo ni vijiesnt tuu!!!!! No wonder, watu wanajilimbikizia mipesa namna hiyo na wengine hawajui leo wala kesho watakula nini...........don't take life so seriously. It isn't permanent.......waache wajilimbikizie maana nchi na vyote vijazavyo ni mali ya bwana.....tutaviacha vyote hapa....
 
Back
Top Bottom