Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Lowasa anampenda sana mungu na sasa ameamua kufanya kazi ya kulieneza neno kwa kuwawekea waumini miundombinu mbadala. Kazi kwenu waumini mshindwe wenyewe kuhudhuria ibada. Lowasa ubarikiwe sana
hAHAHAHAHAHAHA!!!
Kueneza neno kwa fedha za wizi??
Any way;upo sahihi;kwani miungu wapo wengi tu;inawezekana Mungu wa freemasons;huwezi jua!!!