Lowassa ndani ya Kigoma

Lowasa anampenda sana mungu na sasa ameamua kufanya kazi ya kulieneza neno kwa kuwawekea waumini miundombinu mbadala. Kazi kwenu waumini mshindwe wenyewe kuhudhuria ibada. Lowasa ubarikiwe sana

hAHAHAHAHAHAHA!!!
Kueneza neno kwa fedha za wizi??
Any way;upo sahihi;kwani miungu wapo wengi tu;inawezekana Mungu wa freemasons;huwezi jua!!!
 
wATANZANIA TUWE MAKINI MAANA NI DHAHIRI HUYU FISADI AMEAZIMIA KUINGIA IKULU;TENA KWA NGUVU YA FEDHA!
NI DHAHIRI ATAHITAJI KURUDISHA FEDHA HII PALE IKULU!
MWL.JK NYERERE ALINENA VEMA;"IKULU KUNA BIASHARA GANI?"
NA HAO "RAFIKI ZAKE" NI KINA NANI?SI NDIO KINA ROSTAM?WATAFIDIA VIPI HIZI PESA KAMA SI KUINGIA MIKATABA YA KUUZA NCHI YETU?WATANZANIA TUMUOGOPE MTU HUYU,TUTAJUTA!!!
SIJUI MAASKOFU WETU WANA MASLAHI GANI NA MWIZI HUYU!
EEH MUNGU,ANGALIA KANISA LAKO LILIVYO GEUKA PANGO LA WANYANG'ANYI!
 
EL amelifanyia nini taifa zaidi ya kuiba fedha za tz na kusimamisha wakurugenzi majukwaani?

Usichukue maneno ya mtaani na kuyaleta kwa watu,toa mfano,ameiba hapa kiasi,hiki naushahidi huu,ukisema tuu mwizi haikupi uhalali wa hoja yako,mimi nina mifano ifuatayo,ambayo nina ushahidio juu ya umahiri na uchapa kazi wa Lowwassa,1.Alisimamia kidete wizara ya maji na kufanikisha kuvunja mwiko kwa kuvuta maji kutoka Ziwa Victoria hadi mikoa ya mwanza na Shinyanga na hivyo kuwasaidia watu wetu kupata maji ya uhakika,hili lilihitaji kuthubutu na kusimamia, 2.Serikali ilikosa pesa za kujenga Chuo Kikuu cha Dodoma ndani ya muda mfupi Lowwasa alisimamia kidete mifuko ja jamii kutoa pesa na kuwajengea watoto wa kitanzania Chuo kikubwa kabisa katika ukanda wa Africa ya mashariki na kusini leo hii tunajivunia chuo hakijaota bali ni mipango na usimamizi wa huyu jemedari wa kazi chini ya mzee wetu Kikwete 3.Lowasa kwa kuona watoto wa wanyonge wanakosa elimu alisimamia kwa dhati na kidete hadi zikajengwa shule za kata nchi nzima na kufanya idadi ya sekondari kuongwezeka kwa asilimia elfu maja na mia tano karibu.4.Palipotokea tatizo la umeme nchni na kuonekaka kuwa Richmond haikua na uwezo wa kuzalisha umeme kwani ilikua ni kampuni isiyo na uwezo,Lowasa alikua tayari kuwajibika na kujiuzulu uongozi mkubwa kabisa wa nchi ili kupunguza joto la kisisa kwa Jemedari wetu Rais Kikwete 5.Lowwasa ameonesha uvumilivu na ukomavu wa kiuongozi baada ya kutukanwa sana na kuamua kukaa kimya jambo ambalo angeweza kukurupuka na kujibu mapigo 6.Lowwasa ameweza kuona tatizo la ajira kwa vijana katika taifa letu jambo ambalo hata Rais wetu Kikwete alilizungumzia kwa mkazo
 
lowasa anataka kutumia karata ya ajira kwa vijana. kutokana na utafiti, hadi kufikia mwishoni mwaka 2014 asilimia 80 ya wapiga kura itakuwa ni vijana, wengi wa hao watakuwa wametoka vyuoni na wengine wamemaliza elimu za sekondari na msingi, asilimia kubwa watakuwa hawana ajira.

katika hotuba nyingi za lowasa amekuwa akizungumzia swala la ajira kwa vijana, akijaribu kuungwa mkono na vijana akitengeneza mawazo kuwa yeye ndo atakuwa MKOMBOZI WAO. ( good tack tick)
 
Ninyi People, Ninawaambie Ukweli This man is better than JK..kweli kabisa
Ana Maamuzi ya papo kwa hapo na kweli nina imani naye sana..kuanguka mara moja si mpaka kifo kuwa hafai..Kumbukeni City Water yeye aliukatilia mbali ule mkataba.Sasa huko hamkumbuki mmebakia na ufisadi tuu.Mnajuaje kama Maembe naye akisukwa kuuwa mtu?? Je linalompata ni Majibu ya kazi yake au ni jambo la kawaida..Ee Mungu simama na watu wako na uwape maamuzi mema ya amani kwako na taifa lao.
 
Siyo waziri mkuu staafu,ni waziri mkuu alijiuzulu!Huyu mzee kahamia makanisan sa hivi!kampeni zake zimekuwa makanisani!kwanini asialikwe mwingine kuchangisha?yeye ni kama nani!?

Afanyacho ni kizuri miundombinu hii itatufaa sote mkuu,ni mtazamo tu.
 
Tupungeze wivu na vinyongo, hata kama wewe mmoja humpendi wengi wakampenda basi unachotakiwa ni kufuata wengi.

Mwenye data za wizi wa Mh E. Lowassa alete hapa kama hakuna, Lowasa oyeeeeeee! 2015 vote for Lowassa.

Chaguo la Mungu hilo. Hakuna msafi hapa Duniani wooooote tu wachafu. Wewe ni mara ngapi umemwangalia mke wa mtu kwa jicho la mahaba? Huo ni uchafu mbaya sana kuliko wezi wa pesa, na wewe ni mara ngapi umemhusudu mume wa mtu?

Lowassa oyeeeee
Unakazwa ww!!
 
Usichukue maneno ya mtaani na kuyaleta kwa watu,toa mfano,ameiba hapa kiasi,hiki naushahidi huu,ukisema tuu mwizi haikupi uhalali wa hoja yako,mimi nina mifano ifuatayo,ambayo nina ushahidio juu ya umahiri na uchapa kazi wa Lowwassa,1.Alisimamia kidete wizara ya maji na kufanikisha kuvunja mwiko kwa kuvuta maji kutoka Ziwa Victoria hadi mikoa ya mwanza na Shinyanga na hivyo kuwasaidia watu wetu kupata maji ya uhakika,hili lilihitaji kuthubutu na kusimamia, 2.Serikali ilikosa pesa za kujenga Chuo Kikuu cha Dodoma ndani ya muda mfupi Lowwasa alisimamia kidete mifuko ja jamii kutoa pesa na kuwajengea watoto wa kitanzania Chuo kikubwa kabisa katika ukanda wa Africa ya mashariki na kusini leo hii tunajivunia chuo hakijaota bali ni mipango na usimamizi wa huyu jemedari wa kazi chini ya mzee wetu Kikwete 3.Lowasa kwa kuona watoto wa wanyonge wanakosa elimu alisimamia kwa dhati na kidete hadi zikajengwa shule za kata nchi nzima na kufanya idadi ya sekondari kuongwezeka kwa asilimia elfu maja na mia tano karibu.4.Palipotokea tatizo la umeme nchni na kuonekaka kuwa Richmond haikua na uwezo wa kuzalisha umeme kwani ilikua ni kampuni isiyo na uwezo,Lowasa alikua tayari kuwajibika na kujiuzulu uongozi mkubwa kabisa wa nchi ili kupunguza joto la kisisa kwa Jemedari wetu Rais Kikwete 5.Lowwasa ameonesha uvumilivu na ukomavu wa kiuongozi baada ya kutukanwa sana na kuamua kukaa kimya jambo ambalo angeweza kukurupuka na kujibu mapigo 6.Lowwasa ameweza kuona tatizo la ajira kwa vijana katika taifa letu jambo ambalo hata Rais wetu Kikwete alilizungumzia kwa mkazo
Unapumuliwa ww!!
 
Jamaa ni mtu wa watu, anayekubalika,hata kama haupendi. Matatizo yetu viongozi wengi hawayajui kwa kuwa hawapo karibu na wananchi, viongozi wengi wapo mijini, ila EL muda mwingi yupo na wananchi wa kada zote, wa kada ya chini na juu.

EL hana mipaka. Fanya utafiti maeneo mengi ya nchi utaupata ukweli.

Nyie mnawaza urais 2011 kwa kufanya fitna, ila jamaa anapambana na umasikini na kujenga chama chake.

Tafakari.
Wanakukamerun ww!!
 
jingofresh. Mimi sina hakika kama wanasiasa nao wako ktk kundi la kuitwa wastaafu. Kwasababu leo hii Warioba,Salim,Sumaye nk wakiteuliwa tena kuwa Waziri Mkuu sidhani kama watakataa wakadai wao ni wastaafu. Kwa wote hawa tuwaite mawaziri wakuu wa zamani.
 
Wanakukamerun ww!!

Jibu kwa hoja, sio matusi. Kama JF watu wangekuwa kama wewe isingetoa mchango chanya kwa taifa letu kama inavyofanya sasa.

Jifunze kubishana kwa hoja, itakusaidia kukuza ufahamu wako na kutoa mchango kwa taifa. Matusi ni dalili za kulazimisha hoja.
 
Nakubaliana 100% kuwa huku ndugu siyo Waziri Mkuu Mstaafu. Na siyo yeye tu hapana! Mpaka sasa tukubali kwamba kuna tofauti kati ya KUJIUZULU na KUSTAAFU ( resignation and retired). Kwa mawaziri wakuu walio hai hadi leo tukubaliane kwamba waliostaafu ni Sumaye; Salim; Msuya na Warioba. Kwamba wametumikia nafasi hiyo hadi mwisho wa utawala husika i.e. 5YARS.

Kwa hiyo basi watu kama Sitta; msekwa pia kuwaita spika wastaafu ni makosa kwani waliondolewa kwa sanduku la kura bungeni. kumbuka Msekwa alishindwa na Sitta 2005; Sitta alishindwa na Makinda 2010.

lakini kwa hoja iliopoko mezani ni usafi wa Lowassa. Mimi naomba kama kuna mtu mwenye ushahidi kwamba EL ni mwizi atoe hadharani au ampeleke mahakani badala ya kufikiri tu. pili tuna wezi wangapi wanaoibia inchi hii? Mikataba yote ya madini hakutengeneza EL, ununuzi wa rada na ndege ya rais hakufanya EL. Rishmond pia mlisikia na haijawahi kukanushwa popote tangu EL aseme kwenye NEC_CCM kwamba mhusika mkuu yupo kama alivyowahi kusema DR.Slaa.

Mtu kwa tajiri siyo dhambi, kwahiyo kama EL ni tajiri ni baraka kwake. Leo tunaenda kuombaomba majuu kwa sababu pengine hatuna matajiri kwetu na kama wapo basi hawataki kujitolea kama EL.

EL sijawahi kula hata shilingi yake lakini namkubali kwa kuchapa kazi.

Mwacheni EL afanye kazi yake wala msiogope kivuli chake kama Mungu kampa urais basi atapata tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom