Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,932
- 4,697
Waziri Mkuu Mstaafu EL amewasili Mkoani Kigoma hv punde. Amealikwa kuja kuendesha Harambee kanisa la PENTEKOSTE ..............
Mengi Tutawajuza.
.
Unafikiri ni kwa nini kina Karanga hawaamini uwepo wa Mungu? Ni kwa matendo kama haya, ya wale wanaojitangaza kuwa waatumishi wa Mungu aliyemtakatifu wakizitamani kwa udi na uvumba pesa za Shetani ili wazifanyie kazi ya kuzitakasa nje ya njia waanayowahubiria wengine. Maana neno la Mungu wanaedai kumtumikia linaagiza mwivi akiiona haki, basi arudishe mali ya wizi kwa wenyewe na kisha amfuate yeye(Mungu).
Yaani nakuhakikishia vyombo vya habari vikikutangaza leo kuwa wewe ni fisadi na umekwapua bilioni kadhaa, kesho yake utaona jinsi utakavyogombaniwa na mialiko mingi ya harambee na viongozi wa dini kuchangia cash.
.