I have always been positive of this man.
Lowassa tukisema ukweli is very visionary, sifa ya kiongozi ni kuwacna maono, anayependa umoja, mwenye ujasiri katika kutoa maamuzi sahihi kwa wakati anayewajibika, mwadilifu, msikivu na mwenye majibu katika kuwaongoza watanzania, Lowassa kwa CCM, anakijua chama chake na historia yake,ndo maana kwa watu wasioelewa mambo wanalazimisha eti ajivue gamba kwa kuondoka sababu eti ametajwa tajwa Richmond, loooh.
Unajua kwa mwanasiasa yeyote makini lazima ujiulize unapotka kufukuza mtu ambaye anasupport kubwa kiasi hiki,na watu tumeona nini amelifanyia hili taifa unakua haueleweki. Jamani, mimi sijawahi kupewa hata kumi moja na huyu Mzee, tukiwaambia watu kuwa huyu jama hata kama mnasema ni tajiri, Lakini anazo sifa zisizo na mashaka katika kuongoza hili taifa