Lowassa na Kiingereza chake!

Lowassa na Kiingereza chake!

Kwani Lowassa ni mzungu? Hata baraza la Congress ya USA anaruhusiwa kuongea kiswahili
 
"Improve poverty" is subject to tye latger context. English is a ridiculous language.

So that is arguable.

Kuna sehemu Lowasa kasema "our people are getting more poorer".

Nikasema duh.

Nafikiri unajua lugha ya Tanzania ni KISWAHILI.
Hivyo sioni hata haja ya kuja na vitu kama ivi kwenye hili jukwaa. Jivunie lugha yako. Kwani kajitaidi kwa hapo alipofikia. Hata uku ulaya tunapokaa hakuna mashindano ya kuongea kizungu kuliko lugha yako. Na wenye lugha yani waingereza hawana habari hata ukikosea vp wala hawana muda wa kukusema kwani wanajua siyo lugha yako. Hili linatokea tu kwenu ninyi wenye akili ndogo mnaojidai kuwa kizungu ni lugha yenu. Pole kijana Jivunie lugha yako. Wazungu hawana lugha zao, wanatamani wawe na lugha yao kuliko kizungu kilichovamiwa na mbulula kama ww
 
Lowassa anasema, "without education you cannot improve poverty." Is he serious? Improve poverty?

Ili kuweka record sahihi juu ya uwezo wa kuzungumza Kiingereza kati ya Magufuli na Lowassa ni vema kuangalia video hii;


Watch "Edward Lowassa" on YouTube


It was just a slip of tongue....he intended to mean 'life or standard of living',but Dr Magufuli went completely off the line with his outrageous broken english.
 
Last edited by a moderator:
Ujumbe huwasilishwa kwa kutumia maneno, ishara n.k. Ukitumia maneno na ishara visivyo ujumbe unaweza kufika but si kwa maana iliyokusudiwa. Wapambe wa EL msitake kumlisha EL kile ambacho hakukisema, inawezekana alikusudia hicho mnachokiamini but lugha imempiga mwereka
Lugha haina upambe, lugha ni utamaduni, hivyo kama huijui lugha husika kaa pembeni. Hadhira iliyokusudiwa ilimwelewa na ndio maana haakuna aliyelalamika zaidi ya nyie wa shule za kata mnao tafsiri neno! poleni sana wajinga wakubwa nyie.
 
Watanzania wenye akili na uelewa haya sio yakuyajadil kabisa, hebu tujiulize maisha yetu ya watanzania, then tuamue kuwaachia dora wezi wa ccm au tuamue kumpa dora mtu mwenye uthubutu na aliyezungukwa na watu makin na wenye uchungu wa kutupa katiba mpya itakayo leta usawa na maisha safi..... lugha sio kitu chaaa maana sana
 
Lugha haina upambe, lugha ni utamaduni, hivyo kama huijui lugha husika kaa pembeni. Hadhira iliyokusudiwa ilimwelewa na ndio maana haakuna aliyelalamika zaidi ya nyie wa shule za kata mnao tafsiri neno! poleni sana wajinga wakubwa nyie.

wajinga wakubwa kama huwajui ni wazazi wako waliokuzaa na kutokana na ujinga wao wakashindwa kukufunza maadili mema! ni bahati mbaya kwamba ulichobahatika kurithi kutoka kwao ni ujinga wao.

Hao wajinga wenzako waliomuelewa siwashangai kwa sababu wewe na wao mngekua na akili basi mngetambua kwamba EL ni mgonjwa na amejichokea mzee wa watu na mngekua na akili basi mngemshauri ajipumzikie.
 
Just FYI, Kiingereza changu ni level kubwa sana.

Mkuu kadri siku zinavyosonga mbele ndio inadhihirika hawa nyumbu wa ukawa ni watu hovyo kabisa. Mtikila amewaona kwamba wana ugonjwa wa akili. Hata wakiona rangi nyeupe wao watakuambia ni nyekundu tena povu litawatoka kulinda upofu wao huo, nyambafu wakubwa hao
 
"Improve poverty" is subject to tye latger context. English is a ridiculous language.

So that is arguable.

Kuna sehemu Lowasa kasema "our people are getting more poorer".

Nikasema duh.

Mi nasikia kama "improve property " Lugha ya Malkia.... dah!
 
wajinga wakubwa kama huwajui ni wazazi wako waliokuzaa na kutokana na ujinga wao wakashindwa kukufunza maadili mema! ni bahati mbaya kwamba ulichobahatika kurithi kutoka kwao ni ujinga wao.

Hao wajinga wenzako waliomuelewa siwashangai kwa sababu wewe na wao mngekua na akili basi mngetambua kwamba EL ni mgonjwa na amejichokea mzee wa watu na mngekua na akili basi mngemshauri ajipumzikie.
Mpovu yanini wewe mtoto! kama ulijua hunauvumilivu kwanini ulidandia hoja usio iweza? Sasa wewe hayo ndio maadili uliyofundishwa? wazazi wangu wanakujaje hapa? Mbona unajitafutia laana ya bure! usiwatukane watu usiowajua, mwisho utapinda domo bure. Nani kakudanganya kuwa yule anayepiga push up majukwaani ni mzima? kwani yule mtakayemzika kesho Moro aliwatangazia kama atakufa?
 
[h=2]Kampuni ya waisrael yatoa mafunzo ya kikomando kwa walinzi binafsi wa lowassa[/h]
Taarifa za uhakika zimevuja zikieleza kuwa Kampuni ya MAX SECURITY SOLUTION ya nchini Israel imelipwa milioni 450 za Kitanzania kwa ajili ya tenda ya kuwapatia mafunzo ya ulinzi wa viongozi, walinzi binafsi wa mgombea Urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ndugu Edward Lowassa.
Mafunzo hayo yanayoongozwa na Mwalimu wa Kiisrael aliyetajwa kwa jina moja la Shaul yanafanyika katika nyumba iliyoko maeneo ya Mbezi Beach. Baadhi ya vijana ambao wanaendelea kupokea mafunzo hayo ni pamoja na: Evance Benno Munembuka anayetumia namba ya simu ya mkononi (0717 291 979), Keneth Kunambi (0767 838 218, 0716 838 218), Yohana Sitta (0789 918 088), Buhimira Golani Mboje maarufu Spencer (0757 200 002), Kombo Mohamed (0717 030 311) na Saimon Chamila (0752 882 462).
Wengine ni Ramadhani Magambo (0719 230 945), Msila Kombo (0713 746 181), Edward Iteba (0754 209 323), Johnstone Malunda (0758 758 183), Josephat Sosphter (0765 073 135) na Mussa Burhan (0786 185 881). Wanyetishaji wamezidi kueleza kuwa miongoni mwa mafunzo ambayo vijana hao wamepewa ni pamoja na namna ya kutengeneza ‘uzio’ wa kumzunguka Lowassa akiwa katika halaiki ya watu, ulinzi wa gari lake, jinsi ya kutembea na kiongozi kwenye msongamano wa watu, namna ya kuwasiliana na namna ya kumuokoa kiongozi wao inapotokea ‘hatari ya ghafla’.
Hata hivyo, imezidi kunyetishwa kuwa, walinzi hao wanaokaa kwenye Hoteli ya B & B ya Mikocheni huku wakilipwa shilingi laki tano kwa mwezi, wameambiwa wawe ‘tayari hata kutoa roho ya mtu’ iwapo mazingira yataruhusu.
Ingawa haikuelezwa iwapo kuna hatari yoyote ambayo wanadhani inamkabili kiongozi wao na kwanini tahadhali hiyo isitolewe kwa Jeshi la Polisi iwapo kuna tishio kubwa kama hilo, wanyetishaji wanasema kuwa kambi ya Lowassa imejiapiza kuwa vyovyote iwavyo ni lazima waingie Ikulu.
Apson Mwang’onda, mkurugenzi mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa, ndiye anatajwa kuwa msimamiaji mkuu wa suala zima la kuletwa kwa wakufunzi hao wa Kiisrael huku walinzi hao wa Lowassa wakipokea maelekezo moja kwa moja kwa kiongozi wao anayetajwa kwa jina la Aloyce Patrick Tendewa.
Ni wazi kuwa taarifa hizi ni muendelezo wa taarifa za awali zilizowahi kuripotiwa na baadhi ya magazeti na mitandao ya jamii kuwa katika moja ya mikakati ya muda mrefu ya Lowassa, ni kuandaa kundi la vijana wa kufanya fujo katika maeneo mbalimbali kwa kisingizio cha kulinda kura ifikapo Oktoba 25, mwaka huu.
Tayari zipo taarifa kuwa wapo, pia, vijana ambao wamepelekwa maeneo mbali mbali nchini na wengine nchini Rwanda, kwa ajili ya mafunzo ya ‘kuwaweka fiti’ ili wawe na uwezo wa hata kusababisha maumivu makubwa ya kimwili na hata uharibifu wa mali kwa wapinzani wao, hususan wale watakaoonekana kuwa ni kikwazo kwa harakati zao za kuingia magogoni.​
 
Kampuni ya waisrael yatoa mafunzo ya kikomando kwa walinzi binafsi wa lowassa

Taarifa za uhakika zimevuja zikieleza kuwa Kampuni ya MAX SECURITY SOLUTION ya nchini Israel imelipwa milioni 450 za Kitanzania kwa ajili ya tenda ya kuwapatia mafunzo ya ulinzi wa viongozi, walinzi binafsi wa mgombea Urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ndugu Edward Lowassa.
Mafunzo hayo yanayoongozwa na Mwalimu wa Kiisrael aliyetajwa kwa jina moja la Shaul yanafanyika katika nyumba iliyoko maeneo ya Mbezi Beach. Baadhi ya vijana ambao wanaendelea kupokea mafunzo hayo ni pamoja na: Evance Benno Munembuka anayetumia namba ya simu ya mkononi (0717 291 979), Keneth Kunambi (0767 838 218, 0716 838 218), Yohana Sitta (0789 918 088), Buhimira Golani Mboje maarufu Spencer (0757 200 002), Kombo Mohamed (0717 030 311) na Saimon Chamila (0752 882 462).
Wengine ni Ramadhani Magambo (0719 230 945), Msila Kombo (0713 746 181), Edward Iteba (0754 209 323), Johnstone Malunda (0758 758 183), Josephat Sosphter (0765 073 135) na Mussa Burhan (0786 185 881). Wanyetishaji wamezidi kueleza kuwa miongoni mwa mafunzo ambayo vijana hao wamepewa ni pamoja na namna ya kutengeneza ‘uzio’ wa kumzunguka Lowassa akiwa katika halaiki ya watu, ulinzi wa gari lake, jinsi ya kutembea na kiongozi kwenye msongamano wa watu, namna ya kuwasiliana na namna ya kumuokoa kiongozi wao inapotokea ‘hatari ya ghafla’.
Hata hivyo, imezidi kunyetishwa kuwa, walinzi hao wanaokaa kwenye Hoteli ya B & B ya Mikocheni huku wakilipwa shilingi laki tano kwa mwezi, wameambiwa wawe ‘tayari hata kutoa roho ya mtu’ iwapo mazingira yataruhusu.
Ingawa haikuelezwa iwapo kuna hatari yoyote ambayo wanadhani inamkabili kiongozi wao na kwanini tahadhali hiyo isitolewe kwa Jeshi la Polisi iwapo kuna tishio kubwa kama hilo, wanyetishaji wanasema kuwa kambi ya Lowassa imejiapiza kuwa vyovyote iwavyo ni lazima waingie Ikulu.
Apson Mwang’onda, mkurugenzi mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa, ndiye anatajwa kuwa msimamiaji mkuu wa suala zima la kuletwa kwa wakufunzi hao wa Kiisrael huku walinzi hao wa Lowassa wakipokea maelekezo moja kwa moja kwa kiongozi wao anayetajwa kwa jina la Aloyce Patrick Tendewa.
Ni wazi kuwa taarifa hizi ni muendelezo wa taarifa za awali zilizowahi kuripotiwa na baadhi ya magazeti na mitandao ya jamii kuwa katika moja ya mikakati ya muda mrefu ya Lowassa, ni kuandaa kundi la vijana wa kufanya fujo katika maeneo mbalimbali kwa kisingizio cha kulinda kura ifikapo Oktoba 25, mwaka huu.
Tayari zipo taarifa kuwa wapo, pia, vijana ambao wamepelekwa maeneo mbali mbali nchini na wengine nchini Rwanda, kwa ajili ya mafunzo ya ‘kuwaweka fiti’ ili wawe na uwezo wa hata kusababisha maumivu makubwa ya kimwili na hata uharibifu wa mali kwa wapinzani wao, hususan wale watakaoonekana kuwa ni kikwazo kwa harakati zao za kuingia magogoni.​
 
Kampuni ya waisrael yatoa mafunzo ya kikomando kwa walinzi binafsi wa lowassa

Taarifa za uhakika zimevuja zikieleza kuwa Kampuni ya MAX SECURITY SOLUTION ya nchini Israel imelipwa milioni 450 za Kitanzania kwa ajili ya tenda ya kuwapatia mafunzo ya ulinzi wa viongozi, walinzi binafsi wa mgombea Urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ndugu Edward Lowassa.
Mafunzo hayo yanayoongozwa na Mwalimu wa Kiisrael aliyetajwa kwa jina moja la Shaul yanafanyika katika nyumba iliyoko maeneo ya Mbezi Beach. Baadhi ya vijana ambao wanaendelea kupokea mafunzo hayo ni pamoja na: Evance Benno Munembuka anayetumia namba ya simu ya mkononi (0717 291 979), Keneth Kunambi (0767 838 218, 0716 838 218), Yohana Sitta (0789 918 088), Buhimira Golani Mboje maarufu Spencer (0757 200 002), Kombo Mohamed (0717 030 311) na Saimon Chamila (0752 882 462).
Wengine ni Ramadhani Magambo (0719 230 945), Msila Kombo (0713 746 181), Edward Iteba (0754 209 323), Johnstone Malunda (0758 758 183), Josephat Sosphter (0765 073 135) na Mussa Burhan (0786 185 881). Wanyetishaji wamezidi kueleza kuwa miongoni mwa mafunzo ambayo vijana hao wamepewa ni pamoja na namna ya kutengeneza ‘uzio’ wa kumzunguka Lowassa akiwa katika halaiki ya watu, ulinzi wa gari lake, jinsi ya kutembea na kiongozi kwenye msongamano wa watu, namna ya kuwasiliana na namna ya kumuokoa kiongozi wao inapotokea ‘hatari ya ghafla’.
Hata hivyo, imezidi kunyetishwa kuwa, walinzi hao wanaokaa kwenye Hoteli ya B & B ya Mikocheni huku wakilipwa shilingi laki tano kwa mwezi, wameambiwa wawe ‘tayari hata kutoa roho ya mtu’ iwapo mazingira yataruhusu.
Ingawa haikuelezwa iwapo kuna hatari yoyote ambayo wanadhani inamkabili kiongozi wao na kwanini tahadhali hiyo isitolewe kwa Jeshi la Polisi iwapo kuna tishio kubwa kama hilo, wanyetishaji wanasema kuwa kambi ya Lowassa imejiapiza kuwa vyovyote iwavyo ni lazima waingie Ikulu.
Apson Mwang’onda, mkurugenzi mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa, ndiye anatajwa kuwa msimamiaji mkuu wa suala zima la kuletwa kwa wakufunzi hao wa Kiisrael huku walinzi hao wa Lowassa wakipokea maelekezo moja kwa moja kwa kiongozi wao anayetajwa kwa jina la Aloyce Patrick Tendewa.
Ni wazi kuwa taarifa hizi ni muendelezo wa taarifa za awali zilizowahi kuripotiwa na baadhi ya magazeti na mitandao ya jamii kuwa katika moja ya mikakati ya muda mrefu ya Lowassa, ni kuandaa kundi la vijana wa kufanya fujo katika maeneo mbalimbali kwa kisingizio cha kulinda kura ifikapo Oktoba 25, mwaka huu.
Tayari zipo taarifa kuwa wapo, pia, vijana ambao wamepelekwa maeneo mbali mbali nchini na wengine nchini Rwanda, kwa ajili ya mafunzo ya ‘kuwaweka fiti’ ili wawe na uwezo wa hata kusababisha maumivu makubwa ya kimwili na hata uharibifu wa mali kwa wapinzani wao, hususan wale watakaoonekana kuwa ni kikwazo kwa harakati zao za kuingia magogoni.​

kajiunge na wewe
 
Lowassa anasema, "without education you cannot improve poverty." Is he serious? Improve poverty?

Ili kuweka record sahihi juu ya uwezo wa kuzungumza Kiingereza kati ya Magufuli na Lowassa ni vema kuangalia video hii;


Watch "Edward Lowassa" on YouTube

Opinion polling for Tanzania General Presidential Election 2015
[TABLE="class: MsoNormalTable, width: 100"]
[TR]
[TD="width: 120"]
Mh. Dr. John Pombe Magufuli (CCM)
[/TD]
[TD][/TD]
[TD="width: 40"]
16.8%
[/TD]
[TD="width: 30"]
2449
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 120"]
Mh. Edward Lowassa (CHADEMA)
[/TD]
[TD][/TD]
[TD="width: 40"]
81.9%
[/TD]
[TD="width: 30"]
11961
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 120"]
Other
[/TD]
[TD][/TD]
[TD="width: 40"]
1.4%
[/TD]
[TD="width: 30"]
199
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Total Vote 14609
- See more at: VOTE ONLINE FOR TANZANIA PRESIDENT | #VOTE4TPO | Mayocoo , Special Voting portal
 
Last edited by a moderator:
Paul Alex, Arusha waliweka maboksi mahali. ENL 3500, JPM 9!

Wameswekwa kwa udhalilishaji!!
 
Last edited by a moderator:
Hiyo sentensi wandugu....Lowasa yuko sahihi kabisa!!! waulizeni watu wanaojua advanced English...
 
watanzania wenye akili na uelewa haya sio yakuyajadil kabisa, hebu tujiulize maisha yetu ya watanzania, then tuamue kuwaachia dora wezi wa ccm au tuamue kumpa dora mtu mwenye uthubutu na aliyezungukwa na watu makin na wenye uchungu wa kutupa katiba mpya itakayo leta usawa na maisha safi..... Lugha sio kitu chaaa maana sana

kabisa
 
Mfano mtu akiuliza....How do you make it? unajua anataka kujua nini? JAMANI kiingereza kigumu....huyo mheshimiwa amepatia kabisa sentensi yake.....ulizeni wataalamu wa Lugha hiyo watakwambieni....
 
Back
Top Bottom