Mdau umewahi kumsikia Lowassa akizungumza kiingereza????hebu mtazame hapa rais wetu huyu mpya halafu just imagine siku yuko cnn anahojiwa na Larry King na hivi vingereza vya kuandika kwanza then kukariri
Toka hapa na Akili za kitumwa, kingereza sio lugha rasmi kwetu, Putin huongea kirusi anapohojiwa na CNN o bbc, acha us%/;nge.. Ndio wote nyie mnao dhani kuongea kingereza kwa mtoto ndio kaelimika... Puuuuf.... Magamba Akili zenu fupi Sana .
TUKUTANE OCT 25.
kiingereza ni lugha ya waingereza. we leo ukijifunza kispanish, au kirussia, tukucheke kwa sababu hujui vizuri?? kwani ni lugha yako ya kuzaliwa?....kujua kingereza sana sio sifa nzuri, ni dalili ya kutawaliwa kiutamaduni (cultural imperialism)
Mdau umewahi kumsikia Lowassa akizungumza kiingereza????hebu mtazame hapa rais wetu huyu mpya halafu just imagine siku yuko cnn anahojiwa na Larry King na hivi vingereza vya kuandika kwanza then kukariri
Kazi ipo!!!! Vipi kiingereza cha Mh. JK na Rais wa China? Kisha tupime maendeleo ya China na hapa kwetu kama hoja ni lugha... UTUMWA MWINGINE... HERI KUNYAMAZA KULIKO KUROPOKWA.
Acha ujinga wa kudhani kuwa kujua kiingereza ndo kuwa na akili....people's intelligence can never be measured by a certain type of language he/she knows....) Language is not status rather is only a means of communication. ..
Kuna watu wengi tu maarufu duniani hawajui kiingereza
Pep Guardiola
Rais wa china
Lionel Messi
Phillip lahm
Vladimir putin
Benjamin Netanyahu
Sasa wewe baki na ukoloni mamboleo wako..kudhani kuia kingereza ndo kuwa na akili
Kweli hili mburula ndo maana ji ping alibonga kikwao alivyokuja hapa kwani kazaliwa uingereza? Ninachojua lowwasa kazaliwa monduli kikubwa no utendaji kazi jinga kabisa mtoa uzi