Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Wananchi wanapopolewa kama maembe na vyombo vya usalama mwenyekiti na kamati yake ya bunge wako wapi? Mbona la Malawi hakuchelewa kwenda JWTZ kufuatila?
Wananchi wanapopolewa kama maembe na vyombo vya usalama mwenyekiti na kamati yake ya bunge wako wapi?mbona la Malawi hakuchelewa kwenda JWTZ kufuatila?
Wananchi wanapopolewa kama maembe na vyombo vya usalama mwenyekiti na kamati yake ya bunge wako wapi?mbona la Malawi hakuchelewa kwenda JWTZ kufuatila?
Pasco,Mkuu yuko bize akijipanga kupanga na kupangilia mipango mkakati kamambe wa 2015, hivi hiki kifo cha raia mmoja tuu, hakiwezi kuleta milage kubwa, hata wale waliouwawa maandamano ya Arusha, hawakuwa na political milege, yeye huwa ana comment issues zenye political milage za kitaifa tuu!. Kwa vile mimi sio msemaji wake rasmi, kwa kuwasaidia tuu wanabodi, msemaji wake rasmi kwa sasa pia ni member wa jf, akiona inafaa ataleta statement humu!.
Mkuu yuko bize akijipanga kupanga na kupangilia mipango mkakati kamambe wa 2015, hivi hiki kifo cha raia mmoja tuu, hakiwezi kuleta milage kubwa, hata wale waliouwawa maandamano ya Arusha, hawakuwa na political milege, yeye huwa ana comment issues zenye political milage za kitaifa tuu!. Kwa vile mimi sio msemaji wake rasmi, kwa kuwasaidia tuu wanabodi, msemaji wake rasmi kwa sasa pia ni member wa jf, akiona inafaa ataleta statement humu!.
Mkuu yuko bize akijipanga
kupanga na kupangilia mipango mkakati kamambe wa 2015, hivi hiki kifo
cha raia mmoja tuu, hakiwezi kuleta milage kubwa, hata wale waliouwawa
maandamano ya Arusha, hawakuwa na political milege, yeye huwa ana
comment issues zenye political milage za kitaifa tuu!. Kwa vile mimi sio
msemaji wake rasmi, kwa kuwasaidia tuu wanabodi, msemaji wake rasmi kwa
sasa pia ni member wa jf, akiona inafaa ataleta statement
humu!.
Mkuu yuko bize akijipanga kupanga na kupangilia mipango mkakati kamambe wa 2015, hivi hiki kifo cha raia mmoja tuu, hakiwezi kuleta milage kubwa, hata wale waliouwawa maandamano ya Arusha, hawakuwa na political milege, yeye huwa ana comment issues zenye political milage za kitaifa tuu!. Kwa vile mimi sio msemaji wake rasmi, kwa kuwasaidia tuu wanabodi, msemaji wake rasmi kwa sasa pia ni member wa jf, akiona inafaa ataleta statement humu!.
Pole Mkuu FJM, nisome hapa kuhusu police brutality igp-mwema-please-stop-this-police-brutalityMtu mmoja tu (tu)!- human life = statistics! Kwa wazazi wa ndugu Ally, hiki ni kifo cha mtu mmoja tu!, kwa kaka/dada, wana ukoo wa ndugu Ally, hiki ni kifo cha mtu mmoja tu!
Hata mtu wa kawaida ukiua kwa mara ya kwanza, unakuwa haunted na guilt conscous, ukiua tena inapungua, ukiua na kuua na kuua, inaisha kabisa mpaka unafikia point ya kufanya cold blooded murder without a blink!.Ina maana mauaji ya raia mikononi mwa vyombo vya usalama kamati yake haiwezi kuhoji. Siku wakiuawa kumi kwa mpigo nina uhakika atajitokeza. Kama alivyosema Pasco hiki ni kifo cha mtu mmoja Lowassa kitamsumbua nini?