Lowassa na Drunken Master Kungfuu style

Hayo pia ni maoni,kwanini mnapenda kulazimisha,sio lazima lowasa au chadema ipendwe na kila mtanzania.hio ndio maana ya vyama vingi.

Umesomeka na unachosema ni ukweli. Ila kwenye siasa mipasho kati ya watani wa jadi ni vizuri ili kupeana hamasa. Samahani kama nimekukwaza!!!
 
Tutaifanyia evaluation Novemba kuona impact yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…