Lutulgia ni kitu gani? anataja sana hilo neno.
Huyu hata akipambanishwa na Nzi, mie nachagua Nzi. Awe Rais kwa kuchaguliwa na wengine lakini sio mimi
Hv hiki kipindi marudio yake ni lini?
Na saa ngap?
Jumatano saa 7:30 mchana.Hv hiki kipindi marudio yake ni lini?
Na saa ngap?
Nikisikia lowasa tu huwa natapika na kuharisha. Samahani sn wana jf kwa hili.
Ameongea vizuri ameonyesha msimamo kuwa ziwa nyasa tuna share, kiongoz anatakiwa alinde mipaka ya nchi, the way forward wakulima waruhusiwe kuuza mazao popote penye maslahi, tunahitaji kilimo cha mashamba makubwa of course hili linaeleweka.
Mkulima awezeshwe kwa kuwa na bank ya wakulimwa wakopeshwe pembejeo, tuwe na sera ya madini, na mengine mengi mazuri siyo kila kitu kipingwe!
Ndiye Raisi wako huyu umtakaye mbona hana Confidence zaidi ya kulalamika tu ni kweli aliyoyasema JK Kule Maputo wanaotaka Vita ni wapinzani...Namsikiliza kwa makini sana!
Mvua za kutengeneza zinapatikana Indonesia alishawahi tumia pesa za walipa kodi kwenda kuzinunua.. Mpeni uraisi atazileta. Trekta za Shimbo na yeye so amefurahia biashara yao imeenda vizuri na ataleta mengine!! kwa jinsi asivotaka watu wa Songea wasiwauzie watu wa Arusha Mahindi wayauze Zambia oi.. Liwalo na liwe kwelitulete matrekta, matrekta matrekta!
Hata enzi za Bwana Yesu walikuwa wameacha jembe la mkono.
Walete meengi zaidi, mvua je?
Leo kapita wanapouza akakuta yameisha akafarijika sana.
Bila bila,Mwenye matokeo ya Man U na Everton msaada tafadhali. Pia ningependa kujua kana RVP ameanza.
Ndio Tumeanza 2nd half RVP bado yupo Bench anasoma game kwanza... Babu bado hajaamua kumuingizaMwenye matokeo ya Man U na Everton msaada tafadhali. Pia ningependa kujua kana RVP ameanza.
Bila bila,
Mechi ipo Half-Time,
Man U wanashambuliwa,
RVP kaanzia kusugua benchi a.k.a "From Hero to Zero"
Ndio Tumeanza 2nd half RVP bado yupo Bench anasoma game kwanza... Babu bado hajaamua kumuingiza
If I were his daughter, I would advise him to retire from active politics and concentrate more on improving his deteriorating health. His seemingly irresistible presidential ambitions, which seem now to be really beyond his reach, only serve to beguile him of his body strength.
Asante sana!
Mkuu unamaanisha ile laana kama aliyompa Nasri?Kitu everton 1 man useless 0 hapo
Laana ya wenger imeanza kumuandama RVP...75th min