Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
wanapiga stori tu hawa,Hakuna jipya
Mbona anaongea kama yeye ni mkuu sana hapa nchini??
Anaongelea nyumba za serikali kwenye balozi mbali mbali.
Huko washngton wanataka USD 1mil ili wakarabati waweze kupangisha.
Wanataka NSSF iwe inakopesha serikali kujenga nyumba nje ya nchi.
Duh!
Leo tarehe 20/08/2012 saa 3.00 Usiku Edward Lowassa atakuwa ndani ya dakika 45 za ITV. Je kuna jipya? Natarajia atajibu hoja za JK kwamba wanaozungumzia vita kati ya Malawi na Tanzania ni wapinzani.
Source: Radio One
Huyu Mtangazaji anakomaa na Ubalozi wakati kuna mambo muhimu ya kumuuliza
hapo mtakuwa mnambebesha mzigo usiokuwa wa kwake maana hakuna jambo la richmond alilolifanya ambalo rais alikua halifahamu. :car:
Huyu jamaa ukimsikiliza unaweza jiuliza anafaa hata kuwa Dc?
Bora LOWASA AONGELEE HILI, maana naona mkuu kashindwa kazi kaogopa!!!!! Lowassa mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama...ongea bwana hao Malawi wasitutanie. Siwa letu afu wanatuchezea kisa....nanukuu 'udhaifu wa rais wetu'
wanapiga stori tu hawa,Hakuna jipya
Namsikiliza kwa makini sana!