TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Siku hizi makanisa yamebaki kutukuza pesa. Hayaangalii tena masuala ya uadilifu ndio maana jamaa anayatumia kujisafisha, na kwa kweli kafanikiwa makanisani.
Tusubiri sanduku la kura.
Yaani mzee Mhas.ASKOFU NDOROBO?mtaangamiza kanisa kwa kuingilia utabiri wa hayati Julius K Nyere juu ya huyu mtu.