Pinokyo Jujuman
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 552
- 104
Kwa namna nionavyo mie nadhani ni uamuzi tu wa jeshi la police kufanya escort kwa misafara hiyo kulingana na sababu zao za kiusalama wa mkoa huo kwa wakati husika lkn tofauti na hivyo hata huyo Rais mstaafu mwenyewe huwa hana escort ya Police mbali na ile pikipiki inayo mfungulia njia"