Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 13,053
- 18,015
Lowassa hausiki na Richmond. Wahusika watajitetea Mahakamani.
Lini?nani atawapeleka huko mahakamani?au wataenda wenyewe wakijisikia?
Lowassa hausiki na Richmond. Wahusika watajitetea Mahakamani.
Kwani si kweli kwamba masikini wapo? Kuna tatizo gani kusema atawasaidia wananchi? Kama hawezi kutusaidia kuondokana na umaskini sasa kwanini tumchague?
Abraham Lincoln aliewaikua Rais wa Marekani alisema hivi' You cannot help the poor by destroying the rich'
'Huwezi saidia maskini kwa kuwakandamiza matajiri'
Amka kaka!!
And who told you a good leader must not be Poor? Kiongozi mzuri ni yule anayeelewa matatizo ya wananchi na ambaye yuko tayari kusaidia kuyatatua tena kama ni tajiri hata kwa fedha zake.
Tanzania ni Masikini, huyu amekuwa Kiongozi wa Masikini toka awamu ya kwanza, na hii ni ya nne na yeye anataka kuongoza ya Tano, Kwanza awaambie watanzania Masikini kuwa amewezaje kujitajirisha tena akiwa mtumishi wa Umma ili wawe na cha kujifunza toka kwake.
Si dhambi Kiongozi kuwa Tajiri na hasa kama ameupata kihalali.
Hivi Richmond imesaidi kupunguza au kuongeza umasikini?
Angekuwa kweli anachukia umasikini wa mtanzania angejiuzulu mapema kupinga dhuluma hiyo na si kusubiri shinikizo la Bunge.
Lini?nani atawapeleka huko mahakamani?au wataenda wenyewe wakijisikia?
Nani kakuambia Richmond ni scandal. ? Kama Richmond ilikua haipo kama tume ya Mwakyembe inavyosema,mbona Hillary Clinton na Obama wote walikuja kuifungua?
Watanzania tuamke!! Richmond is Dowans na Dowans is Symbion na bado inazalisha umeme Ubungo.
Kama yeye kausika kwanini wasimpeleke mahakamani? Mbona Mramba, Mgonja na Yona wote wameburuzwa?
Think brother wake up!!
Mwogopeni maskini kwenda Ikulu kama ukoma!! atanyonya kama kupe!! twendeni na tajiri ilituutokomeze umaskini!!!
lowasa namkubali.maana ameona waliopita wote njaa.yeye anamiliki utajiri toka babu wa babu yake........