wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,051
- 2,462
Last edited by a moderator:
Huyu mtu hafai kabisaa! Kwake criterion # 1 ya kuingia Ikulu ni utajiri! Na hapa naona kama vile alicopy maneno aliyotumia lile tajiri jinga Trump jana kutangaza nia ..Alisema Tanzania ni nchi yenye rasilimali nyingi sana hivyo watu wake hawapaswi kuwa masikini. Nikiingia Ikulu nitaendesha nchi kwa mchakamchaka....siombi nafasi hii kwenda Ikulu tu, Ikulu mimi napafahamu, alisema na kuongeza;. ...Wala sina njaa, Mwenyezi Mungu amenijalia kuwa nacho kidogo kwa hiyo siendi pale Ikulu kujitafutia bali ni kwenda kupambana ili wananchi waondokane na umasikini .
umasikini umekithiri, nami nauchukia sana umasikini, alisema Lowassa na kusisitiza kuwa, kiongozi masikini hafai kuingia Ikulu kwani hatakuwa na jipya.
Nashangazwa na baadhi ya wagombea wanaojinadi kuwa eti wanaweza kuongoza nchi kwa kuwa wao wanatoka kwenye familia masikini. Kiongozi anayesujudu umasikini msimchague, alisema na kuongeza; ...Nchi hii inakabiliwa na changamoto nyingi; sasa kama kiongozi naye atakuwa masikini atawaongozaje watu masikini? Alihoji Lowassa.
Kumbe Lowasa mjinga kiasi hiki sasa ngoja.....
Kweli wametuona watanzania ni mazuzu. Atapambana vipi na umaskini wetu wakati naye ni mmoja wa vyanzo vya umaskini wetu!
Very good. Abraham Lincoln once said' YOU CANNOT HELP THE POOR BY DESTROYING THE RICH'.
Huwezi saidia maskini kama wewe mwenyewe ni Maskini.
Vivaa Lowassa yuko sahii
Kw hyo ww unaupenda umaskini mkuu,ama unataka uonekane tu na ww ulicomment hapa
Lowasa wewe ni mwizi, huna moral integrity hata chembe
Hii ni zaidi ya kufuru!!
Kwa kauli hii jina lake linastahili kukatwa katika hatua za awali kabisa.
Yaani hafai kabisa.
Pasco huyu ndio mtu ulikuwa ukimpigia chapuo!
Hiyo kauli ni ya kibaguzi dhidi ya masikini.Hafai kabisa.You're just a salary slip and not a PAYROLL. Hayo maoni yako hayana logic yoyote na impact yoyote kwa mtu ambae anachambua mambo.
Who told you kwamba a president has to be poor in order for him to lead well?
Lowasa weka wazi utawafanya nini wezi wa richmond??? Au utawasamehe na kujisamehe??
And who told you a good leader must not be Poor? Kiongozi mzuri ni yule anayeelewa matatizo ya wananchi na ambaye yuko tayari kusaidia kuyatatua tena kama ni tajiri hata kwa fedha zake.You're just a salary slip and not a PAYROLL. Hayo maoni yako hayana logic yoyote na impact yoyote kwa mtu ambae anachambua mambo.
Who told you kwamba a president has to be poor in order for him to lead well?
Hiyo kauli ni ya kibaguzi dhidi ya masikini.Hafai kabisa.