Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 12,231
- 9,552
Kama ameanza kutunyanyapaa masikini kabla hajaingia hata Ikulu siku akibahatika kuingia Ikulu kuna hatari ya kuja kuagiza maloli ya zunguke mtaa kwa mtaa kutusomba masikini na kutumwaga baharini tukiwa hai kama Idd Amin alivyowafanya waganda ili Tanzania nzima imilikiwe na matajiri kama atakavyo ifanya Ikulu kuwa ya matajiri.