ng'adi lawi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 2,956
- 1,115
akawasaidie monduli
Kweli umempa za uso. Monduli kuna umaskini wa kutupwa. Aonyeshe hata kiwanda kimoja anachomiliki na ambacho kimeajiri vijana jimboni kwake. Mbona hakemei mafisadi au ndiyo wenzake? Wajinga ndiyo waliwao. Tule fedha zake urais hapana.