jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,990
- 22,523
Ufisadi wa Lowassa utaendelea kuwa a hear say hadi hapo atakapofikishwa mahakamani na kukutwa na hatia, tofauti na hapo ni blah blah tu.
Hivyo bado uamuzi wa JK wa kutokumweka kwenye listi ya hao recipients ni uamuzi wa kisiasa tu, JK ana uhakika gani kwamba huuyu jamaa hatakuwa Rais?!
Hivyo bado uamuzi wa JK wa kutokumweka kwenye listi ya hao recipients ni uamuzi wa kisiasa tu, JK ana uhakika gani kwamba huuyu jamaa hatakuwa Rais?!