radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,427
- 32,196
Kwa kuwa hawezi lazima ingekuwa story ila jk inafahamika kashirik michezo sio story.Kama lema,lissu na mbowe walipata kifafa cha muda kwanini isiwe habari kubwa hata kama lowassa asinge toa maoni kitendo cha kufika ikulu tu ingekua habari kubwa kuliko magufuli kupiga dana dana mpira!