Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,566
ushahidi gani unataka wakati coment zako zinaonyesha wewe endelea kutumika tuu kama toilet paper lowasa hawezi kuwa raisi labda wa ukoo wenulete ushahidi acha longo longo
ushahidi gani unataka wakati coment zako zinaonyesha wewe endelea kutumika tuu kama toilet paper lowasa hawezi kuwa raisi labda wa ukoo wenulete ushahidi acha longo longo
raisi ajaye huyu hapa
View attachment 219744
Wewe ni mke wake?
mbona povu limekutoka hivyo Lowasa mgonjwa raisi ajaye ni DR SLAA tuuu.Lowassa haongi ila husaidia wahitaji. Mbona Regnald husaidia mara nyingi tu? Naomba tuache kumhusisha Nyerere na siasa hizi coz zama zake zimepita tayari. Lowassa ana moyo wa kutoa na wala si kana kwamba no tajiri
kumbe ndo mnavyomupa moyo huyu raisi wa monduli.
ikikuuma utajikuna tulia dawa ikuingie vizuri ,toa hoja acha utoto hapa sio facebook kwa watoto wenzako huu ni uwanja wa Great Thinkers
ikulu hakuna wodi ya wagonjwa.Lowasa ni rais wa Tanzania anaesubiri kuapishwa rasmi October, hata majukumu mengine ya Urais JK ameshaanza kumkabidhi Lowasa
ushahidi gani unataka wakati coment zako zinaonyesha wewe endelea kutumika tuu kama toilet paper lowasa hawezi kuwa raisi labda wa ukoo wenu
lowasa anaombwa kusaidia na wenye hizo taasisi hatoi rushwa walio chapa hadi ma T-shirt hamuwaoni ila lowasa tu. acheni chuki? wapi lowasa katoa rushwa? kuna watu wanajinadi wazi wazi hamuwaoni ila lowasa tu. acheni hofu mnaogopa nini. na ni kweli jamaa akipita wapiga dili wote watakuwa hatarini.mwacheni akakataliwe kwa kura halmashauri kuu.
ikulu hakuna wodi ya wagonjwa.
raisi wa monduli sawa.Lowasa ni rais ajae wa Tanzania ,taka usitake ndio hivyo mkuu, kama umechefuka lamba ndimu kichefu chefu kiishe
toa hoja acha utoto hapa sio facebook kwa watoto wenzako huu ni uwanja wa Great Thinkers
ikikuuma utajikuna tulia dawa ikuingie vizuri ,
bora mzee afya yake inaruhusu kuliko mgonjwa ambaye hawezi hata kukimbia mitaa 100.Bali kuna wodi ya wazee
ukweli unauma ujumbe umefika hatuwezi kumchagua mtu mchafu kama lowasa kuwa raisi wa tanzania.we utakuwa Robot
My foot! Na wewe ni Great thinker? Kama ni hivyo mtu akiniita Great thinker tutapigana nilikuwa sijapata tafsiri ya hili neno.
wanajanvi nimekuja na hoja hii kwamba lowasa kuwa rais sina shida lakin kwa nin ana tumia hela nyingi kuhonga honga makanisan na misikitin? "nyerere alisema anayetaka urais kwa kuhonga watu huyo mwogopeni kama ukoma" akijenga hoja kwamba ikulu kuna biashara gani? hela anayotumia kuhonga watu amepewa na nani? na atarudishaje akiwa rais wetu? haya ni maswali ya msingi sana tunatakiwa kuweka ushabiki pembeni namtaka yeye mwenye lowasa aje atujibu kwa ufasaha kama anataka kuwa kiongoz wetu kwa sabab ikulu ni mahali pa takatifu haiwez kuwa pango la walanguz lowasa anachofanya ni ulanguz mkubwa ili aingie ikulu. nawasilisha.
View attachment 219764we utakuwa Robot
bora mzee afya yake inaruhusu kuliko mgonjwa ambaye hawezi hata kukimbia mitaa 100.