maganjwa
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 2,806
- 2,349
- Thread starter
- #21
Unamaana kuwa tunapotoa sadaka kanisani tunahonga? Msianzevkutuletea hoja mfu humu jamvini! Sadaka ni sehemu ya ibada takatifu. Narudia tena ili iwangie akilini jitahidini kujifunza dhana ya utoaji hii ni ibada takatifu na injili ya kweli. Lowassa alijunza hili yangu akiwa shule ya jumapili. Mbegu ile ilishaota na kusambaa.
Nguvu ya kisiasa aliyonayo Leo Lowassa ni matokeo ya ibada hii takatifu. Kuna baadhi ya watumishi wa Mungu wanalifahamu hili Wakirsto kwa Waisilamu. Kwa hivyo katika mapito anayoputia Edward ni ya kawaida kabisa.
Hata kwa nabii Isah alishajua kuwa ndugu yake Wa karibu Yuda angemsaliti lakini hakuna kilichomzuia Yesu kushinda majaribu Yale!
kinachogomba ni matumiz ya fedha kuendea safar yake ya kuwa rais sadaka sio shida anachofanya lowasa na mambo aliyofanya ni zaidi ya sadaka ametoa hela nyingi kwa vikundi vya kwaya kwaya na hela izi anatoa wap? hii ndio hoja kama unajua kisima anachotumia lowasa kuchota hiz hela utuambie