Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,584
- 284,139
Kumekucha mkuu, Wakati umefika tutajua nani Rais wa wasafi na yupi wa Akudo. Vijana tunamtaka Lowassa Full stop
uongo umekupa faida gani tangu uanze hiyo tabia ? vijana wa wapi wanaotaka kuongozwa na viongozi waliofirisi nchi ?