Mr.Venture
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 1,609
- 605
hizi ni propaganda tu hazina ukweli wowote
Kuona ni kuamini fungua page ya Timu Lowassa utakuta tangazo hapo la mkutano wake na wananchi tar 16 May Jumamosi Arusha.
hizi ni propaganda tu hazina ukweli wowote
Nitamuuliza maswali matatu tu.akijibu aende Kuchukuwa fomu kwa upande wangu nitaridhika labda kwa watanzania wengine.
breaking newzzz!!!!.leo katika kipindi cha clouds fm asubuhi,watangazaji wa kipindi hicho wamesema mbunge wa monduli,ndugu edward ngoyai lowassa atatangaza maamuzi magumu na mazito kuhusu hatma yake ndani ya chama na uamuzi wake wa kutangaza nia ya urais kuelekea october 2015
katika kipindi hicho lowassa atajibu maswali yote yanayoelekezwa kwake,kashfa na sintofahamu mbalimbali dhidi yake.
Qitakumbukwa toka kashfa ya richmond iliyomuondoa madarakani mwaka 2008,mh.lowassa hakuwahi kuongea rasmi na vyombo vya habari kuhusu yeye,mambo yake ya richmond na nia yake kuelekea magogoni 2015.
Mara zote alipokuwa akiulizwa swali la kutaka urais,lowassa amekuwa akijibu "we will cross the brigde when we reach there"
nafasi hii inawapa wananchi fursa ya kumuuliza na kupata ufafanuzi wa mambo yenye utata kumuhusu yeye na hasa ktk nia ya kuelekea magogoni 2015...watu wana maswali mengi,hasa kuhusu afya yake,matumizi makubwa ya pesa kuelekea magogoni,msimamo wake kuhusu rushwa na makundi ndani ya chama n.k
ningeomba wadau na hasa mods, pengine kuanzisha uzi maalumu ambao wadau mbalimbali wangetupia maswali ili hata watangazaji wa clouds fm kupitia kipindi cha power breakfast hiyo kesho kutwa.
Kupata maswali ya ziada ya kumuuliza yanayotokana na sintofahamu za wananchi wa kawaida wasio na nafasi ya kuonana na e.n. Lowassa
kulekea magogoni 2015 ni kishindo kikuu
Hakika Lowassa akiukosa urais .............
Leo katika kipindi cha Clouds Fm asubuhi,watangazaji wa kipindi hicho wamesema Mbunge wa Monduli,Ndugu Edward Ngoyai Lowassa atatangaza maamuzi magumu na mazito kuhusu hatma yake ndani ya chama na uamuzi wake wa kutangaza nia ya urais kuelekea October 2015
Katika kipindi hicho Lowassa atajibu maswali yote yanayoelekezwa kwake,kashfa na sintofahamu mbalimbali dhidi yake.
QItakumbukwa toka kashfa ya Richmond iliyomuondoa madarakani mwaka 2008,Mh.Lowassa hakuwahi kuongea rasmi na vyombo vya habari kuhusu yeye,mambo yake ya richmond na nia yake kuelekea Magogoni 2015.
Mara zote alipokuwa akiulizwa swali la kutaka urais,Lowassa amekuwa akijibu "We will cross the brigde when we reach there"
Nafasi hii inawapa wananchi fursa ya kumuuliza na kupata ufafanuzi wa mambo yenye utata kumuhusu yeye na hasa ktk nia ya kuelekea Magogoni 2015...watu wana maswali mengi,hasa kuhusu afya yake,matumizi makubwa ya pesa kuelekea Magogoni,msimamo wake kuhusu rushwa na makundi ndani ya chama n.k
Ningeomba wadau na hasa Mods, pengine kuanzisha uzi maalumu ambao wadau mbalimbali wangetupia maswali ili hata watangazaji wa Clouds Fm kupitia kipindi cha Power Breakfast hiyo kesho kutwa.
Kupata maswali ya ziada ya kumuuliza yanayotokana na sintofahamu za wananchi wa kawaida wasio na nafasi ya kuonana na E.N. Lowassa
Kulekea Magogoni 2015 ni kishindo kikuu
Jogoo ndio linataka kuweka huko Dodoma. Team Membe wanakiwewe cha kufa mtu![/QUOTE
Kambi Membe mambo Linda ishampiku .
Picha sasa ndio linaanza rasmi trela zimeisha!
Hakika Lowassa akiukosa urais .............
Kwa akili yako wewe ataukoseje? Hivi nyinyi munaishi nchi gani?
Atakuwa alikosa sabuni ya kumsafishia mzee atakuwa mchafu sana.Kumbe Semfue alisahau kumsafisha !!
Sasa kazi hiyo ataifanya yeye mwenyewe.
Mkuu nitumieni nauli kama laki tano tu itanifikisha dodoma.breaking newzzz!!!!.
Kwa wote marafiki wa lowassa ambao mnahitaji kwenda arusha.muda ni saa kumi na moja jioni.
Leo tunakikao cha maandalizi pale dodoma carnival..karibia na stand ya mkoa.
Unakaribishwa sana kwani ni mhimu kufika kwako.ukipata ujumbe huu mjulishe na mwingine ambaye ni friend of lowassa.
Ahsanteni
Maswali yanahusu maadili,ufisadi na utajiri alionao ambao kaupata kutokana na nafasi yake kama kiongozi wa umma,kutoa rushwa ili apitishwe kugombea urais.akiweza kujibu haya maswali kwa ufasaha watanzania wakamwelewa ruksa kugombea uongozi wa nchi hii.Maswaliii yapi mkuu share apa nasubiri kumsikia jamaa