barafu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 6,739
- 32,936
Leo katika kipindi cha Clouds Fm asubuhi,watangazaji wa kipindi hicho wamesema Mbunge wa Monduli,Ndugu Edward Ngoyai Lowassa atatangaza maamuzi magumu na mazito kuhusu hatma yake ndani ya chama na uamuzi wake wa kutangaza nia ya urais kuelekea October 2015
Katika kipindi hicho Lowassa atajibu maswali yote yanayoelekezwa kwake,kashfa na sintofahamu mbalimbali dhidi yake.
QItakumbukwa toka kashfa ya Richmond iliyomuondoa madarakani mwaka 2008,Mh.Lowassa hakuwahi kuongea rasmi na vyombo vya habari kuhusu yeye,mambo yake ya richmond na nia yake kuelekea Magogoni 2015.
Mara zote alipokuwa akiulizwa swali la kutaka urais,Lowassa amekuwa akijibu "We will cross the brigde when we reach there"
Nafasi hii inawapa wananchi fursa ya kumuuliza na kupata ufafanuzi wa mambo yenye utata kumuhusu yeye na hasa ktk nia ya kuelekea Magogoni 2015...watu wana maswali mengi,hasa kuhusu afya yake,matumizi makubwa ya pesa kuelekea Magogoni,msimamo wake kuhusu rushwa na makundi ndani ya chama n.k
Ningeomba wadau na hasa Mods, pengine kuanzisha uzi maalumu ambao wadau mbalimbali wangetupia maswali ili hata watangazaji wa Clouds Fm kupitia kipindi cha Power Breakfast hiyo kesho kutwa.
Kupata maswali ya ziada ya kumuuliza yanayotokana na sintofahamu za wananchi wa kawaida wasio na nafasi ya kuonana na E.N. Lowassa
Kulekea Magogoni 2015 ni kishindo kikuu
Katika kipindi hicho Lowassa atajibu maswali yote yanayoelekezwa kwake,kashfa na sintofahamu mbalimbali dhidi yake.
QItakumbukwa toka kashfa ya Richmond iliyomuondoa madarakani mwaka 2008,Mh.Lowassa hakuwahi kuongea rasmi na vyombo vya habari kuhusu yeye,mambo yake ya richmond na nia yake kuelekea Magogoni 2015.
Mara zote alipokuwa akiulizwa swali la kutaka urais,Lowassa amekuwa akijibu "We will cross the brigde when we reach there"
Nafasi hii inawapa wananchi fursa ya kumuuliza na kupata ufafanuzi wa mambo yenye utata kumuhusu yeye na hasa ktk nia ya kuelekea Magogoni 2015...watu wana maswali mengi,hasa kuhusu afya yake,matumizi makubwa ya pesa kuelekea Magogoni,msimamo wake kuhusu rushwa na makundi ndani ya chama n.k
Ningeomba wadau na hasa Mods, pengine kuanzisha uzi maalumu ambao wadau mbalimbali wangetupia maswali ili hata watangazaji wa Clouds Fm kupitia kipindi cha Power Breakfast hiyo kesho kutwa.
Kupata maswali ya ziada ya kumuuliza yanayotokana na sintofahamu za wananchi wa kawaida wasio na nafasi ya kuonana na E.N. Lowassa
Kulekea Magogoni 2015 ni kishindo kikuu