Lowassa kuongea na Wananchi 14/05/2015 kupitia Clouds FM

Lowassa kuongea na Wananchi 14/05/2015 kupitia Clouds FM

barafu

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
6,739
Reaction score
32,936
Leo katika kipindi cha Clouds Fm asubuhi,watangazaji wa kipindi hicho wamesema Mbunge wa Monduli,Ndugu Edward Ngoyai Lowassa atatangaza maamuzi magumu na mazito kuhusu hatma yake ndani ya chama na uamuzi wake wa kutangaza nia ya urais kuelekea October 2015

Katika kipindi hicho Lowassa atajibu maswali yote yanayoelekezwa kwake,kashfa na sintofahamu mbalimbali dhidi yake.

QItakumbukwa toka kashfa ya Richmond iliyomuondoa madarakani mwaka 2008,Mh.Lowassa hakuwahi kuongea rasmi na vyombo vya habari kuhusu yeye,mambo yake ya richmond na nia yake kuelekea Magogoni 2015.

Mara zote alipokuwa akiulizwa swali la kutaka urais,Lowassa amekuwa akijibu "We will cross the brigde when we reach there"

Nafasi hii inawapa wananchi fursa ya kumuuliza na kupata ufafanuzi wa mambo yenye utata kumuhusu yeye na hasa ktk nia ya kuelekea Magogoni 2015...watu wana maswali mengi,hasa kuhusu afya yake,matumizi makubwa ya pesa kuelekea Magogoni,msimamo wake kuhusu rushwa na makundi ndani ya chama n.k

Ningeomba wadau na hasa Mods, pengine kuanzisha uzi maalumu ambao wadau mbalimbali wangetupia maswali ili hata watangazaji wa Clouds Fm kupitia kipindi cha Power Breakfast hiyo kesho kutwa.

Kupata maswali ya ziada ya kumuuliza yanayotokana na sintofahamu za wananchi wa kawaida wasio na nafasi ya kuonana na E.N. Lowassa
Kulekea Magogoni 2015 ni kishindo kikuu
 
Kumbe Semfue alisahau kumsafisha !!

Sasa kazi hiyo ataifanya yeye mwenyewe.
 
Lowassa anapatq shida sana, hakuna Mtanzania anaeweza kukubali huyu bwanq ajisafishe na akaaminika!
Safari ya matumaini inaishia 2015...
 
Tunasubiri...kinachoweza kumsaidia Lowassa ni yeye kujitahidi kuvuka vihunzi viwili tu ndani ya chama chake..kile cha NEC....Na Kamati kuu...tu..
 
Lowassa anapatq shida sana, hakuna Mtanzania anaeweza kukubali huyu bwanq ajisafishe na akaaminika!
Safari ya matumaini inaishia 2015...
Hata atumie JIK hawezi kufanikiwa kuondoa japo ukurutu wa juu kwenye uchafu wake.
 
Tunasubiri...kinachoweza kumsaidia Lowassa ni yeye kujitahidi kuvuka vihunzi viwili tu ndani ya chama chake..kile cha NEC....Na Kamati kuu...tu..

Kizingiti cha NEC alishakivuka kilichobaki ni kimoja tu cha kamati kuu.
 
Jogoo ndio linataka kuweka huko Dodoma. Team Membe wanakiwewe cha kufa mtu!
 
Let me buy more popcorns for the most exciting movie coming ahead,not to be missed.
 
Lini atatinga ktk serious Radio na TV Station - Radio One / ITV ktk dk 45...?
 
baada ya kusoma uchambuzi wa Mtatiro ndo ameona IPO haja ya kuongea????....
 
"We will cross the brigde when we reach there" Kwa kiswahili tungesemaje?
 
Back
Top Bottom