Ni vizuri akinyang'anywa ili tuendelee mbele.Serikali kupitia waziri wa ardhi nyumba na makazi, imetangaza uamuzi huo bungeni wa kumnyang'anya shamba la makuyuni lililopo monduli, waziri mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya Richmond ndugu Lowassa, na kuwagawia wananchi wa eneo hilo.
Chanzo: Jambo leo
Wale wenye mashamba kule mvomero, karagwe n.k watafuatia baada ya hili