Lowassa kunyang'anywa shamba

Lowassa kunyang'anywa shamba

Lazima watakuwa wamemfuata na kumuomba wagawie maana limekaa muda na haliendelezi! Kwa maslahi mapana ya wananchi wa eneo lile na busara zake atakuwa amekubali walichukue

Wamuombe ye nani? Huyo jamaa yako hilo shamba alilifisadi.

Kwa mjibu wa Lukuvi Mkapa enzi Rais alitoa kibali shamba hilo wagawiwe wananchi, lakini cha ajabu Lukuvi anaona hati yenye jina La Lowasa.

Kweli ukipenda hata chongo utaita.....
 
Hivi kama ameamua shamba lake liwe mazalia ya swala na digidigi kunaweza tatizo! Watz bwana, wanataka kila mtu alime. Hatuna ubunifu.


Ingekuwa hiyo ni kweli basi asingenyag'anywa, tatizo ni kwamba amehodhi bila ya kulitumia na sheria iko wazi juu ya hilo kama angekuwa anafuga digidigi kama ulivyosema kwa manufaa yake na ya wananchi ambao wangekuwa wameajiriwa hakuna ambaye angemnyang'anya!
 
Wakimaliza wainyan'ganye ccm viwanja vya wananchi .
 
Back
Top Bottom