mwambadog
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 1,736
- 1,446
Serikali kupitia Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi, imetangaza uamuzi huo bungeni wa kumnyang'anya shamba la Makuyuni lililopo Monduli, Waziri Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya Richmond ndugu Lowassa, na kuwagawia wananchi wa eneo hilo.
View attachment 350604
kelele za chura