Hahahaa kweli mnabana matumizi mchukue na ng'ombe wakee maana hawatumii
Hahahaa kweli mnabana matumizi mchukue na ng'ombe wakee maana hawatumii
Hata mrema alikuwa msumbufuMmh...huyu mtu ni super power....namuona 2020 akisumbua tena.
kama kuna ng'ombe wake anawafuga humo kwanini anyanganywe?Hahahaa kweli mnabana matumizi mchukue na ng'ombe wakee maana hawatumii
Wapangaji wenzanguuu naona mna lalama sana. Mlikua wapi kuwekezaaa? Acheni roho za kicha......we areEbu ficha ujinga wako hakuna aliye juu ya sheria, kama una ardhi kubwa na hauitumii ni lazima wagawiwe watu wengine, Tanzania siyo kama Kenya na naunga mkono uamuzi huu wa serikali.
Hivi Lowasa amewaroga hata akili za kufikiri zimekwenda likizo? Hata Sumaye kule Mabwepande akiendelea kufuga mapori tu naye wanyang'anye tu, nachukizwa sana na tabia ya watu kuhodhi ardhi wasiyoitumia wakati kuna wananchi hawana ardhi.
mbona yapo mengi tu alijimilikisha kwa kutumia madaraka yake? Sumai je?..mashamba makubwa yasiyotumika bora wakagaiwa wananchi wa eneo husika. Anatakiwa akubaliane na hali ile kiuzalendo tu..
Nassari amuongelee na huyu mmeru mwenzake ....sio wahindi tu
HavihusianiWanaotumiwa kupewa nyumba visivyo halali hawanyang'anywi?
Wanaotumiwa kupewa nyumba visivyo halali hawanyang'anywi?
Havihusiani
Mimi si mpangaji, bali wapo wanaoniita baba mwenye nyumba, lakini siyo issue kwangu hoja hapa hatuwezi kuukumbatia ubepari wa aina hii wa kina Lowasa, Sumaye na wengineo, Chrisant Mzindakaya ana eneo kubwa lakini ranchi inayotumika i mean iko active sina tatizo naye, tatizo langu ni kwa yeyote anayefuja ardhi.Wapangaji wenzanguuu naona mna lalama sana. Mlikua wapi kuwekezaaa? Acheni roho za kicha......we are
Mada ni Lowassa kunyang'anywa nyumbaHuwa sielewi watu wanaushaidi wote juu ya huyu jamaa lakini hawampeleki mahakamani.sana sana wanaishia kua keyboard warriors nyuma ya smartphones zao.
Jamaa atakua sio mtu wa mchezo kabisa,super genius. Imagine UKAWA particularly CHADEMA walivyo mchafua then akawaza kwanini walio nichafua nisiwatumie wao wenyewe kunisafisha...Na wakamsafisha kama haitoshi na fomu ya kugombea uraisi wakampa.
Mtaa wa pili nao wakawa wanahaha balaa ikimaanisha aliacha bonge la pengo huko.
Leo bado wanamzungumzia huyo huyo Lowassa.
Ni kwanini watu hawana balls za kumchukulia hatua huyu babu wanabaki kutupigia kelele tu!?!!
Your ID define you.Hata mrema alikuwa msumbufu
UNANITISHA, WEWE ULIOWATUKANA KUWA AKILI ZIMEKWENDA LIKIZO UNADHANI NI KAULI NZURI. UKISEMA MANENO YA KUUDHI NAWE UTAJIBIWA KAMA ULIVYONENA. UJINGA NI NENO LA STAHA? NA LAZIMA KWA MAISHA YA LEO UJUE UNAZAA WATOTO WANGAPI ILI UWEZE KUWAMUDU NA SIYO KUTEGEMEA MASHAMBA YA WATU ETI HAWAYATUMII!Usiniprovoke, tuheshimiane, unachokitafuta utakipata tu tena very soon. endelea.....
Mi nipo Monduli ntachukuahakuna mwananchi wa monduli atakayekubali kuchukua hilo shamba
Siyo kosa lako, nimekupuuza maana hujui hata sheria za ardhi zinasema nini, msongo wa mawazo unakusumbuwaUNANITISHA, WEWE ULIOWATUKANA KUWA AKILI ZIMEKWENDA LIKIZO UNADHANI NI KAULI NZURI. UKISEMA MANENO YA KUUDHI NAWE UTAJIBIWA KAMA ULIVYONENA. UJINGA NI NENO LA STAHA? NA LAZIMA KWA MAISHA YA LEO UJUE UNAZAA WATOTO WANGAPI ILI UWEZE KUWAMUDU NA SIYO KUTEGEMEA MASHAMBA YA WATU ETI HAWAYATUMII!