Lowassa kukaangwa kama Yesu!

Lowassa kukaangwa kama Yesu!

Kwa hiyo hata wale makada wengine waliosimamishwa nao wanakaangwa??
 
Watu wale wale propaganda zile zile Eti Lowassa ni Mchafu! Kuliko nani ndani ya CCM? Hao Beneficiaries wa ESCROW, UJANGILI, SEMBE, EPA, RICHMOND/DOWNS/SYMBION? ... Nani asiejua kuwa baadhi ya Mapapa ya CCM hawamtaki EL kwakuwa wanaogopa atawalipizia kisasi? Kifungo hutolewa na Mahakama? CCM imegeuka mahakama? CCM maslahi wajiandae kwa permanent damage ...
Tatizo lowasa hasafishiki.ni mchafu kuliko uchafu wenyewe.
 
Kuna taarifa kwamba CCM wana mpango wa kurefusha kifungo cha makada waliofungiwa kwa mwaka mmoja zaidi mpaka uchaguzi utakapokwisha lengo kubwa hasa likiwa kumkaanga Lowasa.

Kada maarufu wa CCM ambaye hakutaka kutaja jina lake anayefanya kazi Makao Makuu ya CCM, Dodoma alisema kuwa mpango huo wa kumuangamiza Lowasa umekamilika na hakuna mtu anayeweza kuupindua.

"Si unajua kwamba amehukumiwa pamoja na makada wenzake...hivyo njia nzuri ni kuwafungia wote ili kupunguza malalamiko kutoka kwa wafuasi wake (Lowasa) na kugawanyika kwa chama. Unajua huyu mtu ana wafuasi wengi sana hivyo tukimfungia ovyo anaweza kukigawa chama chetu". Alisema.

KAMA YESU?
Wakristo mnakumbuka wakati mtoto Yesu alipozaliwa, mafarisayo waliwaua watoto wote wa kiume lakini target yao hasa ilikuwa ni kumuua Yesu. Naona CCM wameamua kukopa mbinu hiyo kwa kum-target Lowasa. Hili ni jambo la ajabu sana.

MAONI YANGU
CCM mnajaribu kuliziba jua kwa kutumia ungo lakini mjiandae vizuri kwa madhara yatakayotokea. Lowasa hazuiliki.

:israel:
Mkuu mambo ya kuingiza jina la Yesu unakosea unaweza kuzua mjadala wa kidini uwa nacheka sana wafuasi wa Chadema kuwa wasemaji wa Lowassa.
 
Watu wale wale propaganda zile zile Eti Lowassa ni Mchafu! Kuliko nani ndani ya CCM? Hao Beneficiaries wa ESCROW, UJANGILI, SEMBE, EPA, RICHMOND/DOWNS/SYMBION? ... Nani asiejua kuwa baadhi ya Mapapa ya CCM hawamtaki EL kwakuwa wanaogopa atawalipizia kisasi? Kifungo hutolewa na Mahakama? CCM imegeuka mahakama? CCM maslahi wajiandae kwa permanent damage ...

Watanzania sisi siyo wajinga wewe rockspider hatununuliwi kama mafungu ya mchicha sokoni.hivi unafikiri hatuoni huyo lowasa anavyotoa mapesa kununuwa watu? Ametudharau sana watanzania huyu mtu hawezi kutudhalilisha kiasi hiki.uongozi haununuliwi kwa rushwa.Lowasa Big NO hakubaliki.
 
Bora tuongozwe na Fisadi aliyetuibia na akawekeza hapa kuliko kuwa na viongozi mafisadi waliotuibia na hatujui wamewekeza wapi!
Mkuu amewekeza kwenye kitu gani coz huku mtaani kwetu kuna vijana wengi hawana ajira niwapaeleke hata wakapate mkate wa kila siku,
"Hopeless is not hope"
 
Mkuu amewekeza kwenye kitu gani coz huku mtaani kwetu kuna vijana wengi hawana ajira niwapaeleke hata wakapate mkate wa kila siku,
"Hopeless is not hope"[/QUOTE
Wewe unataka Mkate wakati hutaki kujishulisha sio?
 
Anayemfagilia lowasa si bure......mtakuwa mmerogwa tu.
 
Kuna taarifa kwamba CCM wana mpango wa kurefusha kifungo cha makada waliofungiwa kwa mwaka mmoja zaidi mpaka uchaguzi utakapokwisha lengo kubwa hasa likiwa kumkaanga Lowasa.

Kada maarufu wa CCM ambaye hakutaka kutaja jina lake anayefanya kazi Makao Makuu ya CCM, Dodoma alisema kuwa mpango huo wa kumuangamiza Lowasa umekamilika na hakuna mtu anayeweza kuupindua.

"Si unajua kwamba amehukumiwa pamoja na makada wenzake...hivyo njia nzuri ni kuwafungia wote ili kupunguza malalamiko kutoka kwa wafuasi wake (Lowasa) na kugawanyika kwa chama. Unajua huyu mtu ana wafuasi wengi sana hivyo tukimfungia ovyo anaweza kukigawa chama chetu". Alisema.

KAMA YESU?
Wakristo mnakumbuka wakati mtoto Yesu alipozaliwa, mafarisayo waliwaua watoto wote wa kiume lakini target yao hasa ilikuwa ni kumuua Yesu. Naona CCM wameamua kukopa mbinu hiyo kwa kum-target Lowasa. Hili ni jambo la ajabu sana.

MAONI YANGU
CCM mnajaribu kuliziba jua kwa kutumia ungo lakini mjiandae vizuri kwa madhara yatakayotokea. Lowasa hazuiliki.

:israel:

Hivi UKAWA nako kuna wavuta bangi kama wewe? Hasara hii.
 
Eti Lowasa awe Rais wa nchi hii!!!?? Nani kawarogaa?? Watu wengine mnatia huruma kwa jinsi mnavyoongozwa na njaa zenu!!! Huyo Lowasa wenu mpimeni pia nje ya ccm muone anguko linavyomkuta!
 
Kuna taarifa kwamba CCM wana mpango wa kurefusha kifungo cha makada waliofungiwa kwa mwaka mmoja zaidi mpaka uchaguzi utakapokwisha lengo kubwa hasa likiwa kumkaanga Lowasa.

Kada maarufu wa CCM ambaye hakutaka kutaja jina lake anayefanya kazi Makao Makuu ya CCM, Dodoma alisema kuwa mpango huo wa kumuangamiza Lowasa umekamilika na hakuna mtu anayeweza kuupindua.

"Si unajua kwamba amehukumiwa pamoja na makada wenzake...hivyo njia nzuri ni kuwafungia wote ili kupunguza malalamiko kutoka kwa wafuasi wake (Lowasa) na kugawanyika kwa chama. Unajua huyu mtu ana wafuasi wengi sana hivyo tukimfungia ovyo anaweza kukigawa chama chetu". Alisema.

KAMA YESU?
Wakristo mnakumbuka wakati mtoto Yesu alipozaliwa, mafarisayo waliwaua watoto wote wa kiume lakini target yao hasa ilikuwa ni kumuua Yesu. Naona CCM wameamua kukopa mbinu hiyo kwa kum-target Lowasa. Hili ni jambo la ajabu sana.

MAONI YANGU
CCM mnajaribu kuliziba jua kwa kutumia ungo lakini mjiandae vizuri kwa madhara yatakayotokea. Lowasa hazuiliki.

:israel:

Huwezi kuzuia mafuriko kwa mkono.
 
CCM jiandaeni kumkubali Lowasa...huyu ni mwali wenu, mnapaswa kumkubali jinsi alivyo na hakuna jinsi ya kumuepuka. Kwanini mnawekea mikingamo ya ovyo ovyo? Nyota ya mtu iking'ara hakuna awezaye kuizima isipokuwa Mungu tu. Kwani CCM mmekuwa Mungu hadi mumzibie njia Laigwanan Lowasa? Acheni hizo figisufigisu zenu.

Au Lowassa amekuwa Mungu kiasi kwamba CCM lazima wampitishe?

Kwa nini autafute U-Rais kwa gharama yoyote? Itakuwa rahisi ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko Kamati Kuu ya CCM kupeleka jina la Lowassa kwenye Halmashauri Kuu ya CCM.

Kama kweli ana umaarufu kiasi hicho, kwa nini asianzishe chama chake ili wafuasi wake waende huko?
 
huwa najiulizaga kwanini hadi leo lowasa hajawaambia watanzania kwamba anahuskaje katka richmond na masoo yake mengine,waige mfano wa marekani ukitaka kugombea urais hakikisha umsafi kwelikweli, halafu huyu lowasa anaonekana ni rafiki wa karibu na mafisad wote wa tanzania.watanzania wenzangu tusijae matope kichwani kiasi cha kumtetea lowasa namna hiyo
 
Back
Top Bottom