Lowassa kukaangwa kama Yesu!

Lowassa kukaangwa kama Yesu!

Kuna taarifa kwamba CCM wana mpango wa kurefusha kifungo cha makada waliofungiwa kwa mwaka mmoja zaidi mpaka uchaguzi utakapokwisha lengo kubwa hasa likiwa kumkaanga Lowasa.

Kada maarufu wa CCM ambaye hakutaka kutaja jina lake anayefanya kazi Makao Makuu ya CCM, Dodoma alisema kuwa mpango huo wa kumuangamiza Lowasa umekamilika na hakuna mtu anayeweza kuupindua.

"Si unajua kwamba amehukumiwa pamoja na makada wenzake...hivyo njia nzuri ni kuwafungia wote ili kupunguza malalamiko kutoka kwa wafuasi wake (Lowasa) na kugawanyika kwa chama. Unajua huyu mtu ana wafuasi wengi sana hivyo tukimfungia ovyo anaweza kukigawa chama chetu". Alisema.

KAMA YESU?
Wakristo mnakumbuka wakati mtoto Yesu alipozaliwa, mafarisayo waliwaua watoto wote wa kiume lakini target yao hasa ilikuwa ni kumuua Yesu. Naona CCM wameamua kukopa mbinu hiyo kwa kum-target Lowasa. Hili ni jambo la ajabu sana.

MAONI YANGU
CCM mnajaribu kuliziba jua kwa kutumia ungo lakini mjiandae vizuri kwa madhara yatakayotokea. Lowasa hazuiliki.

:israel:

Lowassa kukatwa ni ndoto za Abunuasi..... CCM watakuwa wajinga sana kama watamkata mtu ambaye atakibeba chama hicho ambacho kinapoteza mvuto kwa wananchi as days goes
 
Lowasa na Yesu Kristo wap na wap yani ni giza na nuru na ni vema ungetubu mkuu ili usamehewe
 
Lowasa na Yesu Kristo wap na wap yani ni giza na nuru na ni vema ungetubu mkuu ili usamehewe

sijasema lowasa ni Yesu ila CCM wanataka kumuangamiza KAMA mafarisayo walipotaka kumuua mtoto Yesu. mkuu kama hujui biblia ni bora ukakaa kimya.
 
Last edited by a moderator:
Lowassa kukatwa ni ndoto za Abunuasi..... CCM watakuwa wajinga sana kama watamkata mtu ambaye atakibeba chama hicho ambacho kinapoteza mvuto kwa wananchi as days goes

umeongea vema sana mkuu ocampo four. haya uliyosema hapa kama CCM hawatayazingatia, imekula kwao!
 
Last edited by a moderator:
Kuna taarifa kwamba CCM wana mpango wa kurefusha kifungo cha makada waliofungiwa kwa mwaka mmoja zaidi mpaka uchaguzi utakapokwisha lengo kubwa hasa likiwa kumkaanga Lowasa.

Kada maarufu wa CCM ambaye hakutaka kutaja jina lake anayefanya kazi Makao Makuu ya CCM, Dodoma alisema kuwa mpango huo wa kumuangamiza Lowasa umekamilika na hakuna mtu anayeweza kuupindua.

"Si unajua kwamba amehukumiwa pamoja na makada wenzake...hivyo njia nzuri ni kuwafungia wote ili kupunguza malalamiko kutoka kwa wafuasi wake (Lowasa) na kugawanyika kwa chama. Unajua huyu mtu ana wafuasi wengi sana hivyo tukimfungia ovyo anaweza kukigawa chama chetu". Alisema.

KAMA YESU?
Wakristo mnakumbuka wakati mtoto Yesu alipozaliwa, mafarisayo waliwaua watoto wote wa kiume lakini target yao hasa ilikuwa ni kumuua Yesu. Naona CCM wameamua kukopa mbinu hiyo kwa kum-target Lowasa. Hili ni jambo la ajabu sana.

MAONI YANGU
CCM mnajaribu kuliziba jua kwa kutumia ungo lakini mjiandae vizuri kwa madhara yatakayotokea. Lowasa hazuiliki.

:israel:
waliojaribu kumzuia Yesu walijikuta kikaangoni, sasa huyo kada asiye na jina mwambie awe makini asije kukaangwa yeye instead
 
Lowassa kukatwa ni ndoto za Abunuasi..... CCM watakuwa wajinga sana kama watamkata mtu ambaye atakibeba chama hicho ambacho kinapoteza mvuto kwa wananchi as days goes

kama wanataka kukiua chama, basi njia nzuri ya kukizika ni kumuondoa lowassa, ila kama wanataka uhai wa chama wasijaribu hizo mambo aiseee watabadilisha historia ya tanzania
 
mknd wako! kama huamini nguvu za lowasa, basi kateni jina lake muone kama chama hakijawafia mikononi, gamba mkubwa!

tpaul, mkuu punguza hasira na ongeza busara
 
Last edited by a moderator:
Ni ujinga sana kumfananisha YESU na Lowasa. Acha kabisa huo upu******** wako
 
Ni ujinga sana kumfananisha YESU na Lowasa. Acha kabisa huo upu******** wako

Mknd wako! Hujui kiswahili nini? Nani kakuambia Lowassa ni Yesu? Lowasa fisadi atafananaje na Bwana Yesu. Ficha upumb...u wako wewe!
 
hoja yako ni nzuri ila ondoa kabisa neno YESU

.....Daah! Mi mwenyewe nashangaa, yaani kakosa vitu vya kutaja hadi amtaje Yesu kwenye masuala asiyostahili ktajwa.

Hawatendei haki watu wanaomuheshimu Yesu.
 
Kuna taarifa kwamba CCM wana mpango wa kurefusha kifungo cha makada waliofungiwa kwa mwaka mmoja zaidi mpaka uchaguzi utakapokwisha lengo kubwa hasa likiwa kumkaanga Lowasa.

Kada maarufu wa CCM ambaye hakutaka kutaja jina lake anayefanya kazi Makao Makuu ya CCM, Dodoma alisema kuwa mpango huo wa kumuangamiza Lowasa umekamilika na hakuna mtu anayeweza kuupindua.

"Si unajua kwamba amehukumiwa pamoja na makada wenzake...hivyo njia nzuri ni kuwafungia wote ili kupunguza malalamiko kutoka kwa wafuasi wake (Lowasa) na kugawanyika kwa chama. Unajua huyu mtu ana wafuasi wengi sana hivyo tukimfungia ovyo anaweza kukigawa chama chetu". Alisema.

KAMA YESU?
Wakristo mnakumbuka wakati mtoto Yesu alipozaliwa, mafarisayo waliwaua watoto wote wa kiume lakini target yao hasa ilikuwa ni kumuua Yesu. Naona CCM wameamua kukopa mbinu hiyo kwa kum-target Lowasa. Hili ni jambo la ajabu sana.

MAONI YANGU
CCM mnajaribu kuliziba jua kwa kutumia ungo lakini mjiandae vizuri kwa madhara yatakayotokea. Lowasa hazuiliki.

:israel:

Good team Lowassa.
 
Mknd wako! Hujui kiswahili nini? Nani kakuambia Lowassa ni Yesu? Lowasa fisadi atafananaje na Bwana Yesu. Ficha upumb...u wako wewe!

Nimegundua we ni dhaifu sana..not matured , huwezi kutambua makosa yako thats means you lack ingenuity to make a good and reasonable threads...go and dig more ...also know how to avert pensive mood of yours... anyway you are too little to argue with me...go to hell..hahahaha. CC tpaul
 
Wewe uliyeleta hii thread utakuwa umesindikwa,si bure!
 
We unamjua Yesu vizuri wewe. Usimfananishe Yesu na mishe.nzi yako hiyo.
 
Back
Top Bottom