Lowassa kuhutubia saa 3 usiku huu ITV

Lowassa kuhutubia saa 3 usiku huu ITV

huna jipya wewe zaidi ya kuongopewa na makomeo kuwa atakupa kibarua,pooooleeeeeee

mkuu nakuheshimu sana
magufuli wala anijui kama kuna mtu kama mimi duniani ila nachokwambia mkuu ni ukweli na ukweli utabaki kuwa ukweli daima,

 
lowassa anapoteza muda wa kulala, sisi tulishamuelewa hata bila sera na hutuba kura zetu anapata.

Sihitaji sera mimi kumchagua lowassa, nimeichoka ccm kwa hiyo sitaki sera nataka atakaeitoa ccm tu maana kama ni sera ccm wamezisoma kwa miaka 54 na hakuna chochote.

Angepumzika tu mzee wa watu alale kura zetu kwake zipo, lowassa tumekupenda bure,hatujakupendea hotuba wala sera. Sera hata akiwa anakupa mkeo unaongoza nchi haina shida sisi tutaridhika tu, hatuna shida na sera, tunatak uitoe kwanza ccm.

Lowassa we dearly love you from deepest parts of our hearts. Huna haja ya kusema chochote mheshimiwa.

kama ukawa wote mna akili kama za huyu.kweli mkapa hakukosea kuwaita "wajinga" na "malofa".mimi ningependa niwaongezee sifa nyingine kua mnastahili kuitwa "mapunguani"
 
mkuu nakuheshimu sana
magufuli wala anijui kama kuna mtu kama mimi duniani ila nachokwambia mkuu ni ukweli na ukweli utabaki kuwa ukweli daima,


Hakuna cha ukweli wowote,magufuri hapati urais,maana urais ni kwa lowasa.
 
Yaani katika cku ambayo nimeumia na kujickia vibaya ni Leo ..chadema imetutia aibu wanachadema ..haiwezekan lowasa atuambie mda hautoshi na huku huku tukiona akina tambwe ,mrema na wengine wakizungumza kwa mda mwingi kuliko hata lowasa

We ni gamba wala cyo Chadema
 
Dah uku nlko hakuna umeme sijui itv watarudia lini hiyo hotuba asee
 
Magufuli hakupi cheo wewe

MAGUFULI HAJUI KAMA NIKO DUNIANI MKUU
BALI NAMKUBALI SANA NI MTU SAHIHI TUMPE KURA ,
MWINGINE AMBAYE NILIKUWA NAMKUBALI ILI WAMEFITINI NI DR SLAA ILa NAAMINI MUNgU ATANIPA MAGUFULI MBADARA WAKE AMABYE,
mimi sio mfasi wa vyama bali mtu sahihi,

 
kamuulize yafuatayo,
1,bunge ataliutubia kwenye mitandao?
2,sherehe za kitaifa ataziutubia kwenye webset?
3,mikutano ya kitaifa na kimataifa ataihutubua kwenye midandao?
4,sherere za majeshi ataziutubuia kwenye mitandao ?
Kamisheni za maofisa wa kijeshi na vyombo vya dora atazitolea kwenye mitandao?

Akikupa majibu haya njoo tena utujuze mkuu,

na hayo mambo ni lazima kwa mjibu wa katiba ya jamuhuli ya muungano wa tanzania.



mama yako ana majibu yote.. kamuulize..yuko chumbani kwake ndo ameinga mda huu akitokea kuoga we ingia bila hodi umuulize
 
Raisi alikuwa anahutubia taifa ameshamaliza sasa tunaangalia yaliyotokea uwanjani leo umeme walitufanyia hujuma.
POMBE TUTAMWAGA NA MAGUFULI TUTAVUNJA IKULU LOWASA ANATOSHA.
 
kamuulize yafuatayo,
1,bunge ataliutubia kwenye mitandao?
2,sherehe za kitaifa ataziutubia kwenye webset?
3,mikutano ya kitaifa na kimataifa ataihutubua kwenye midandao?
4,sherere za majeshi ataziutubuia kwenye mitandao ?
Kamisheni za maofisa wa kijeshi na vyombo vya dora atazitolea kwenye mitandao?

Akikupa majibu haya njoo tena utujuze mkuu,

na hayo mambo ni lazima kwa mjibu wa katiba ya jamuhuli ya muungano wa tanzania.


Huna jipya, kuandika kwenyewe tabu sijui lugha ya wapi hiyo! sherere ndio kitu gan
 
Back
Top Bottom