nosocomial
JF-Expert Member
- Dec 6, 2013
- 404
- 44
El. mbona jimbon kwetu monduli unakoongoza si kila kijana ana pikipiki? au ndio yaleyale nabii hatambui kwao!!
Ni ujinga kwa kijana tena anayejitambua kushabikia wezi kama huyu na mbinu zao za kuwanua watu eti tu waweze kuingia ikulu! Hebu jiulize tu kuwa ili kijina ajiajiri anatakiwa amiliki tu bodaboda? Maendeleo yatakuja pale tu kutakapokuwepo na viwanda vikubwa,vya kati na vidogo hali itakayopelekea thamani ya mazao yetu kupanda na si kwa bodaboda.tunataka sera sahihi na ambazo kamwe haziwezi kutoka kwa hao waliofail kwa miaka 52 ya uhuru wetu! IKULU SI PANGO LA WEZI NA WANYANG'ANYI.Mwl.Nyerere
Awatengenezee na barabara zao, halafu kama kila kujana akiwa na boda boda yake, basi awatafutie na abiriakupitia ukurasa wake wa facebook amesema alipokuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya bodaboda amegundua asilimia 50 si zao.
hivo tarehe 15 mwezi wa kwanza atakutana na viongozi wa bodaboda kisha ataandaa harambee kubwa sana ili hiyo asilimia 50 itapewa bodaboda bure ili kujiajiri wenyewe
Merry X-Mass
- 2015 atamobilize watu wajitokeze kwa wingi kupiga kura kumchagua mgombea wa chama chake!, with politics you may never know atakuwa chama gani, hivyo he could be the only hope kwa kupatikana kwa ule ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania na kutimia kwa lile neno la rais wa 2015, lazima atoke Kaskazini!.
- Na mwisho, alilolipanga Mungu ndilo liwalo, na huweza kuyafanya yale ambayo kwa binadamu hayawezekani kama alipowaambia makutano "Jiwe Walilolikataa Waashi, Litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni!". Subirieni 2015 kutimia kwa maneno ya unabii huu, 2015 TB Joshua atautangaza rasmi!.
Pasco.
ijuaji mwingi huondoa maarifa. Wewe umeambiwa anaandaa harambee. Ficha aibu yako.hizo pesa anatoa wapi na zitarudije? au kishauza nchi tayari?
Noma Sana alisema bodaboda zimeajiri vijana laki 4 so 50% means atawanunulia bodaboda vijana laki 2 piga mahesabu boda boda 1 sh 1.7m,Du 340B hatazitoa wapi huyu mzee?
Cc: Pasco wa JF.
Hiyo kwa kizungu inaitwa Political statement if you know what I mean.........ukweli na uwongo humohumo.......waambie wanaschotaka kusikia.......
Huu ni udanganyifu.. Vijana wote Dar hawafanyi kazi ya kuendesha bodaboda... Na Bodaboda siyo ajira pekee apanue akili kidogo aone fursa zilizopo kwenye hii nchi na azitumie kuliko kuwageuza vijana ambao ni nguvu kazi ya taifa wote kuwaza bodaboda kuwa ndo ajira pekee.. Wanasiasa waache kuwamanipulate vijana.
kupitia ukurasa wake wa facebook amesema alipokuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya bodaboda amegundua asilimia 50 si zao.
hivo tarehe 15 mwezi wa kwanza atakutana na viongozi wa bodaboda kisha ataandaa harambee kubwa sana ili hiyo asilimia 50 itapewa bodaboda bure ili kujiajiri wenyewe
Hii ni sehemu nzuri ya kupata kafara ya damu!kwa sababu zinaua kila kukicha.Si kila msaada ni msaada.tafakari!!!kupitia ukurasa wake wa facebook amesema alipokuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya bodaboda amegundua asilimia 50 si zao.
hivo tarehe 15 mwezi wa kwanza atakutana na viongozi wa bodaboda kisha ataandaa harambee kubwa sana ili hiyo asilimia 50 itapewa bodaboda bure ili kujiajiri wenyewe