Nakubaliana na wewe kuwa sikijui kiswahil.Unajua siku zote huwa na sema mtu usiongee kitu usicho kijua usije jikuta kwenye matatizo bure.najua wewe unamshabikia Mwanakijiji kwa kuwa makala makala zake zina kuvutia,ungejua yeye anatumiwa hizo na makala halafu yeye ana copy na kupaste hapa.sitaki kuongea mengi kuhusu Mwanakijiji nisije onekana nina nia mbaya nae au nime tumwa,maana waswahili hamchelewi.maandishi ya rangi nyekundu hapo juu: hapa atupo kutukanana au kakashifiana bali tupo kujenga hoja na kuelimishana pamoja na kukosoana.
I see,
Watawapata "Ze Komedi" wengine na kuwatumia! Subiri uone. Vipindi vitakuwa merged na Televisheni yenu ya Taifa. Mtaangalia mtake msitake!
Wamejipanga mkuu...
Katika vita Ngumu ya kupata Uhuru, tanzania hatukumwaga damu japo baadhi ya mababu zetu walimwaga damu.
Nina uhakika katika vita hii ya Kiuchumi na Kifikra tutashida. Kila kitu na wakati wake na Zama zake.
Time. Time. Time will tell. And soon and very soon all will be clear.
God Bless Tanzanians!
Huku Arusha kuna Studio ya TANMEDIA imeanza kujengwa, ni ghofa tatu maeneo ya Njiro na ni studi ya Radio na TV na inasemekana ni ya Lowasa, pengine ndo maandalizi ya Redio hiyo ambayo baadaye itakuwapo na TV pia.
hivi wewe unamjua Mwanakijiji vizuri kweli? kwa taarifa yako Mwanakijiji ni Ndumilakuwili achelewi kukugeuka mda wowote,pia anatumiwa na baadhi ya watu kwenye shughuli zao.Hivyo kuweni makini nae sana hasa Thread zake anazo anzisha ilikupima upepo wenu then anapeleka report kwa wahusika.be care full guys.
Yessir,
subiri ina kuja orodha ya member wa JF wanao tumiwa ha baadhi ya watu hapa,
El amefanya jambo jema kufungua TV station, huu ndio ujasiriamali tunaotaka wazawa waufanye na kupanua uwigo wa ajira ndani ya nchi.
Anatekeleza kwa vitendo Ilani ya uchaguzi ya chama chake. Na hii iwe ni changamoto kwa wengine miongoni mwetu kufuata mfano mzuri huu.
Watakuwepo wapinganji wa hapa na pale hilo ni jmabo la kawaida waswahili husema "panapo riziki hapakosi fitna" Namuomba mzee wetu huyo asife moyo hizi ni kelele za malngo tu...
who is elias lukumay?
who is elias lukumay?
Now kwenye hoja:
Kama mtu ameamua kuanzisha biashara yake nihaki yake kwa kadiri ya kwamba biashara hiyo imeanzishwa kihalali na fedha zilizotumika ni za halali. Hadi hivi sasa sijaona madai kuwa hawa jamaa wametumia kwa namna yoyote fedha za serikali au nafasi ya kisiasa ya Lowassa kujipatia leseni hiyo au mtaji wa biashara yao.
Lakini vile vile, hatuwahukumu watoto moja kwa moja kwa makosa ya wazazi wao isipokuwa kama watoto hao wanatumika na wazazi wao kuficha madhambi yao. So, kwenye hili mimi sijui hawa jamaa wanabiashara gani nyingine ya kuweza kuwapatia kipato cha kuweza kuanzisha televisheni. Kama uwezo huo wanao kibiashara basi ni haki yao kama mtanzania yeyote mwenye uwezo, kipaji na nia ya kutumia uwezo huo kujipatia mlo wa kila siku.
Vinginevyo, endapo kuna tetesi zenye kuashiria kuwa fedha hazikupatikana kihalali, utaratibu wa leseni haukufuatwa au sheria zimepindwa au kuvunjwa katika mchakato mzima basi vidokezwe. Vinginevyo, ABC kama zilivyo shughuli nyingine itapimwa kwa matunda yake, na tutaipima kwa kadiri inavyotumika aidha katika kupinga ufisadi, kutetea utawala bora na utawala wa sheria au kama itatumika kinyume na hayo. Hapo ndipo hukumu ya wananchi inapaswa kutolewa.
Kwa sasa nawapa asilimia 100!
hivi wewe unamjua Mwanakijiji vizuri kweli? kwa taarifa yako Mwanakijiji ni Ndumilakuwili achelewi kukugeuka mda wowote,pia anatumiwa na baadhi ya watu kwenye shughuli zao.Hivyo kuweni makini nae sana hasa Thread zake anazo anzisha ilikupima upepo wenu then anapeleka report kwa wahusika.be care full guys.
Elias Lukumay is Elias Lukumay...what else do you want to know? you want to 'tapeli' him?