My City RockCity huwa hawatuangushi kamwe......
Yaani kanda ya Ziwa kiukweli asanteni sana nina hakika sote tuna hamu ya kumtoa shetani mtu CCM, tukowatoa tule samaki weeeeeee
jamani kila kona kowassa????why???
Hahahahaaaa nimecheka sana aiseee...
Tatizo Asprin wewe sio mdada,hilo limekunyima upendeleo.
Historia ya kwanza ilikua kujinyeee
Ataachaje kushinda kwa mfano wakati Mungu ameahidi kumpigia kura?Hahahahahaaa siwezi kuacha kukutafuta mpenzi,tuombe uzima Lowassa ashinde tuje tule bata la hatari hapo Mwanza.
Mnaninyanyapaa kijinsia. Lakini potelea mbali, ntamchagua Halima Mdee hata kama ni mwanamke mwenzenu.
Msifanye hivyo, wanamabadiliko hatubaguani mjue.
Kwa mfano mi nikimfumania Mpipoz mwenzangu na wife wangu.... ntamuacha amalizane naye kabisaaaaa....
Ole wake nimfumanie na mfisiem....... ntaoa mwanamme mwenzangu hakyamama:doh:
Hata kule Mara wamejaa wachaga na wamasai tu! Si uliona?mwambie aje.... na wale wachaga na wamasai ili wajaze
Ni mkombozi wa tanzania mpya ijayo mh raisi Edward lowasa kesho trh 12 atatia team mwanza akitokea musoma.
Kila sehemu jijini mwanza ni shangwe, vigelegele, ndelemo ujio wa raisi wetu mpendwa lowasa.
Baadhi ya makundi akina mama,wadada tuko kwenye maandalizi ya kipekee, wengine wanaandaa vitenge, kanga, vitambaa, kapeti kwa ajiri ya kutandika barabarani gari la raisi litakapopita.
Hii ni taarifa mbaya kwa upande wa pili ila hakuna namna mabadiliko ni lazima.
Nitawaletea habari moto moto kutoka rock city ni mm mwanahabar wako luckyline.
Stay tuned.
Ya tatu iyakuwa kugegedwa kwa mama yako.
Vipi atakuwa viwanja vipi? Tunamsubilia kwa ham tar 13 huku mkoa wa Geita (nyumbani kwa Magu) yani kila kona, vijiwe vya kahawa, soko kuu na magenge yote LOWASA NDO HABARI YA MJINI.