damien Baghonic
Member
- Sep 15, 2015
- 47
- 10
Uwanja ni upi maana furahisha hapatoshi
Aje na sera,kwa sababu kwanza alikuja kama ccm kuomba udhamini,pili kutambulishwa kama mgombea ukawa,hii ni ya mwisho atuthibitishie uwezo wake sisi wananchi,kwa sababu hatapata nafasi nyingine tena
karibu Mza mh.E.L.But...jipange na wajumbe wako...CCM Wako safi sana hapa..mza.
Mkutano utakuwa uwanja gani wakuu?
Aje na sera,kwa sababu kwanza alikuja kama ccm kuomba udhamini,pili kutambulishwa kama mgombea ukawa,hii ni ya mwisho atuthibitishie uwezo wake sisi wananchi,kwa sababu hatapata nafasi nyingine tena
moja ya maeneo ambayo masolex atapoteza zaidi ni usukumani.Na kinachowaponza zaidi ccm ni matusi kwa lowasa hii ni laana wanajitengenezea wenyewe na kibaya zaidi mnaemtukana wala hajibu lolote.Kwa kweli mtatusamehe sana mwaka huu ni Lowasa kila kona
Hakika kesho zamu ya mwanza wataandika historia mpya mgombea uraisi kupitia CHADEMA kipenzi cha watanzania Edaward Lowasa atakuwepo atafanya mkutano wa kuwaeleza wananchi wa mwanza atawafanyia nini wakimchagua kuwa raisi wa Tanzania.
Sipati kesho mwanza itakuwaje?
LOWASA HUYO ANAKUJA NA TANZANIA MPYA
Ni mkombozi wa tanzania mpya ijayo mh raisi Edward lowasa kesho trh 12 atatia team mwanza akitokea musoma.
Kila sehemu jijini mwanza ni shangwe, vigelegele, ndelemo ujio wa raisi wetu mpendwa lowasa.
Baadhi ya makundi akina mama,wadada tuko kwenye maandalizi ya kipekee, wengine wanaandaa vitenge, kanga, vitambaa, kapeti kwa ajiri ya kutandika barabarani gari la raisi litakapopita.
Hii ni taarifa mbaya kwa upande wa pili ila hakuna namna mabadiliko ni lazima.
Nitawaletea habari moto moto kutoka rock city ni mm mwanahabar wako luckyline.
Stay tuned.
Nyie jidanganyeni tu na mafuriko ya kutengeneza, wasukuma watamchagua ndugu yao kwa wingi sana. Muulize mama lowassa na Salum mwalimu kilichowakuta huko. Tar 26 mje hapa mniprove wrong
Wachaga, Washashi, Wakurya walianza kuingia Mwanza toka Ijumaa..... na walishaanza maandamano barabarani...Kwa bahati nzuri hawa wote sio wapiga kura wa hapa...ni wakuja tu....Mwaka huu hatuna sababu ya kufanya makosa...MWANZA inarudi rasmi Kwa MAGUFULI.... hadi madiwani...!!! TUMESTUKA!
aje na sera,kwa sababu kwanza alikuja kama ccm kuomba udhamini,pili kutambulishwa kama mgombea ukawa,hii ni ya mwisho atuthibitishie uwezo wake sisi wananchi,kwa sababu hatapata nafasi nyingine tena