Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 178,173
- 1,077,253
Uchaguzi ungekuwa unafanyikia hapa JF bila shaka Eddo angekuwa Magogoni tayari. Ishu ni huko vijijini wapendwa. Wapiga kura hawako JF wala mijini. Kamwe msilisahau hili na mkija kushindwa msishangae!