MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,280
Lowassa ndiye Rais wa awamu ijayo. Nina uhakika 100%.
Kavunja rikodi ya kuwanunua wachagaa. No doubt.
Mie nilifikiri Mmasai hana ujanja kwa wachagga, kumbe ujanja wake ni mdogo sana, pesa tu.
Hahahahahah
Alikuwa mtendaji Mkuu wa Serikali kwa miaka miwili aliuondoa umasikini wa nani?
Mimi nnaona alituzidishia tu umasikini, akashtukiwa.
Lowassa ndiye Rais wa awamu ijayo. Nina uhakika 100%.
alivoshtukiwa na kufukuzwa umaskini ukatokomezwa kabisa kikwete hoyeeee
Kavunja rikodi ya kuwanunua wachagaa. No doubt.
Mie nilifikiri Mmasai hana ujanja kwa wachagga, kumbe ujanja wake ni mdogo sana, pesa tu.
Kavunja rikodi ya kuwanunua wachagaa. No doubt.
Mie nilifikiri Mmasai hana ujanja kwa wachagga, kumbe ujanja wake ni mdogo sana, pesa tu.
Linganisha miaka 2 ya lowasa,na 8 ya PindaHahahahahah
Alikuwa mtendaji Mkuu wa Serikali kwa miaka miwili aliuondoa umasikini wa nani?
Mimi nnaona alituzidishia tu umasikini, akashtukiwa.
Linganisha miaka 2 ya lowasa,na 8 ya Pinda
Alikua akitumikishwa na chama cha mafisadi CCM
Hahahahahah
Alikuwa mtendaji Mkuu wa Serikali kwa miaka miwili aliuondoa umasikini wa nani?
Mimi nnaona alituzidishia tu umasikini, akashtukiwa.
Kwa lipi Lowassa kazidi Umasikini???
Ameacha Huo Uwaziri mkuu miaka 8 iliyopita,ufisadi wa Tegeta Escrow nani kaufanya?
Ufisadi wa Mabehewa mabovu ya treni ni nani??
Tatizo sio Lowassa ni Mfumo wa CHAMA CHA MAPINDUZI.
Kawadanganye waliokunywa maji ya bendera ya ccm.
Mwaka mtalia kilio cha samaki machozi hayaonekani.
Tatizo la umeme mpaka kesho halijamwlalizwa na MAGAMBA,kama mnavyokata umeme mtaani kama huo ndio utamu basii NAMI KURA YANGU ITATUMIKA KUWAKATA CCM KWENYE UCHAGUZI WA 25/10/2015.
lowasa lazima akuongoze wewe bibi kidude