Lowassa kavunja record, tumpe kura ya ndiyo

Lowassa kavunja record, tumpe kura ya ndiyo

Hahahahahah

Alikuwa mtendaji Mkuu wa Serikali kwa miaka miwili aliuondoa umasikini wa nani?

Mimi nnaona alituzidishia tu umasikini, akashtukiwa.

Aha
Kumbe unakiri umaskini upo?umaskini,maradhi na ujinga sasa umepungua?
umesababishwa na E4C
 
Sifa moja kubwa zaidi ya Lowassa ni fisadi papa.

Sababu kuu ya matatizo ya Tanzania ni kuwa na viongozi aina ya Lowassa.

Kama tunataka matatizo ya Tanzania yaendelee kuwepo basi hatuna budi tumpe kura za ndiyo Lowassa ili awe Rais wa Tanzania.

Ni vizuri tumpe kura ya ndiyo Lowassa ili avunje record ya kuwa Rais wa Tanzania ambaye ni fisadi papa!

The choice is yours!


My Choice is Fisadi Papa, Because there is Alot of Fisadi Nyangumis in the other side.

CHAGUA FISADI PAPA LOWASSA KWA MABADILIKO
 
kumbe miaka 2 tu! siyo miaka zaidi ya 50.
ccm out!

Na kabla ya kuwa mtendaji mkuu, alipewa wizara akajiuzia ranchi za taifa, usisahau hilo.


Nnajuwa wachagga mnamtaka huyo kwa sababu zenu. Au sio?
 
Na kabla ya kuwa mtendaji mkuu, alipewa wizara akajiuzia ranchi za taifa, usisahau hilo.


Nnajuwa wachagga mnamtaka huyo kwa sababu zenu. Au sio?


Kwanini Nyie CCM wenye dola hamkumnyang'anya hizo ranchi anazomiliki kinyume cha sheria? hii inathibitisha nyie ni kichaka cha uovu!!
 
Aha
Kumbe unakiri umaskini upo?umaskini,maradhi na ujinga sasa umepungua?
umesababishwa na E4C

Soma ilani ya CCM, tuliukuta umasikini wa 60% sasa hivi kipindi cha Kikwete tumeubakisha 28%.

Umasikini hata USA upo. Alikudanganya Lowassa ataumaliza wakati mtu kama wewe umasikini upo kwenye ubongo wako, Fikiri kama unaweza.
 
acha wivu bibi hapa hatusemani vibarazani bali tina jenga hoja mujarab...

Lowassa Ikulu ataiona uzio tu - kumbuka hilo.

Kama kaweza kuwanunua wachagga kwa tamaa zao usifikiri Watanzania wote wanajiuza.

#HapaKaziTu
 
Lowassa... mabadilikooooooooooo...

ujingaaaaa, maradhi, magonjwaaaa, ufisadiiiii.... CCMMMMMMMMMM...


Lowassa, Ukawa ni UKOMBOZI wetu
 
Sifa moja kubwa zaidi ya Lowassa ni fisadi papa.

Sababu kuu ya matatizo ya Tanzania ni kuwa na viongozi aina ya Lowassa.

Kama tunataka matatizo ya Tanzania yaendelee kuwepo basi hatuna budi tumpe kura za ndiyo Lowassa ili awe Rais wa Tanzania.

Ni vizuri tumpe kura ya ndiyo Lowassa ili avunje record ya kuwa Rais wa Tanzania ambaye ni fisadi papa!

The choice is yours!

Wahenga walipata kusema ,"mchawi mpe mwanao akulelee " sijui walimaanisha nini
 
Hahahahahah

Alikuwa mtendaji Mkuu wa Serikali kwa miaka miwili aliuondoa umasikini wa nani?

Mimi nnaona alituzidishia tu umasikini, akashtukiwa.
Umasiki umeukumbatia wewe usiyependa mabadiliko, miaka miwili haikutosha ngoja afanye kwa miaka 10 muone dubai tanzania.
 
Sifa moja kubwa zaidi ya Lowassa ni fisadi papa.

Sababu kuu ya matatizo ya Tanzania ni kuwa na viongozi aina ya Lowassa.

Kama tunataka matatizo ya Tanzania yaendelee kuwepo basi hatuna budi tumpe kura za ndiyo Lowassa ili awe Rais wa Tanzania.

Ni vizuri tumpe kura ya ndiyo Lowassa ili avunje record ya kuwa Rais wa Tanzania ambaye ni fisadi papa!

The choice is yours!

When did u know kwamba Lowassa ni fisadi? Mlipojua kwamba ni fisadi mlichukua atua gani? Je watambua nchi inaendeshwa kwa katiba na sheria? Kura zote Kwa Lowassa.
 
Soma ilani ya CCM, tuliukuta umasikini wa 60% sasa hivi kipindi cha Kikwete tumeubakisha 28%.

Umasikini hata USA upo. Alikudanganya Lowassa ataumaliza wakati mtu kama wewe umasikini upo kwenye ubongo wako, Fikiri kama unaweza.

60%-28% ,labda kwa takwimu za kupikwa Lumumba.

Ubongo wako una matatizo makubwa sana.
 
Anayajua majizi yote ya nchi hii,na pia atasaidia kuleta maendeleo ya haraka nchini kwa kutumia raslimali zilizojaa kila kona ya nchi hii

Mimi pia na nina watu wangu wanao nitegemea 73,000.
 
Magamba no akili. Wewe unaweza ukawa mmojawapo wa watu mliosoma shule za kata alizojenga acha uzembe wa kufikiri
 
Back
Top Bottom