mmetudanganya muda mrefu sana , inatosha sasa .Soma ilani ya CCM, tuliukuta umasikini wa 60% sasa hivi kipindi cha Kikwete tumeubakisha 28%.
Umasikini hata USA upo. Alikudanganya Lowassa ataumaliza wakati mtu kama wewe umasikini upo kwenye ubongo wako, Fikiri kama unaweza.
[/QUOTE]Lowassa ni mvumilivu sana
Lowassa anayajua majizi yote makubwa na madogo Nji hii
Lowassa na Sumaye wanaujua fika udhaifu Wa Lodi Loffa na Mbayuwayu na Magamba wote
QUOTE=12STONE;14038061]Sifa zake ni nyingi tena sio za kumbomoa bali zinamjenga na kuzidi kukubalika katika jamii yetu Watanzania.
-HANA PUPA KATIKA UTENDAJI WAKE.
-NI MPOLE.
-NI MAKINI SAANA.
-HANA SIASA ZA MATUSI.
-ANA DHAMIRIA KWELI KUONDOA UMASIKINI WA WATANZANIA.
-Ni Waziri Mkuu Mstaafu wa kwanza KUIHAMA CCM.
amevunja mwiko,kaonyesha nje ya ccm bado kuna maisha sahihi na salama.
-ANA KIBALI CHA KUPENDWA NA WATANZANIA WENGI.
-UTENDAJI WAKE HULETA FAIDA KWA TAIFA LOTE NA SIO HASARA.
LOWASSA MABADILIKOOOOO!!!!! MABADILIKO LOWASSA.
USIFANYE AJIZI/KOSA MWAKA HUU CHAGUA LOWASSA NI CHAGUO SAHIHI KWA KIZAZI CHETU.
Puuza Propaganda na Vitisho wa CCM,Hakuna kura itakayoibiwa hivyo ukimpigia Lowassa KURA,pamoja na Wagombea Ubunge na Udiwani wanaotoka vyama vya CHADEMA,CUF,NLD NA NCCR-MAGEUZI {UKAWA} Utaleta Mabadiliko ya kweli katika Taifa letu.
Mimi na Familia yangu yooote KURA YANGU YA NDIYO NI KWA LOWASSA.
Sifa moja kubwa zaidi ya Lowassa ni fisadi papa.
Sababu kuu ya matatizo ya Tanzania ni kuwa na viongozi aina ya Lowassa.
Kama tunataka matatizo ya Tanzania yaendelee kuwepo basi hatuna budi tumpe kura za ndiyo Lowassa ili awe Rais wa Tanzania.
Ni vizuri tumpe kura ya ndiyo Lowassa ili avunje record ya kuwa Rais wa Tanzania ambaye ni fisadi papa!
The choice is yours!
Hahahahahah
Alikuwa mtendaji Mkuu wa Serikali kwa miaka miwili aliuondoa umasikini wa nani?
Mimi nnaona alituzidishia tu umasikini, akashtukiwa.
Sifa moja kubwa zaidi ya Lowassa ni fisadi papa.
Sababu kuu ya matatizo ya Tanzania ni kuwa na viongozi aina ya Lowassa.
Kama tunataka matatizo ya Tanzania yaendelee kuwepo basi hatuna budi tumpe kura za ndiyo Lowassa ili awe Rais wa Tanzania.
Ni vizuri tumpe kura ya ndiyo Lowassa ili avunje record ya kuwa Rais wa Tanzania ambaye ni fisadi papa!
The choice is yours!
Kavunja rikodi ya kuwanunua wachagaa. No doubt.
Mie nilifikiri Mmasai hana ujanja kwa wachagga, kumbe ujanja wake ni mdogo sana, pesa tu.
Sifa zake ni nyingi tena sio za kumbomoa bali zinamjenga na kuzidi kukubalika katika jamii yetu Watanzania.
-HANA PUPA KATIKA UTENDAJI WAKE.
-NI MPOLE.
-NI MAKINI SAANA.
-HANA SIASA ZA MATUSI.
-ANA DHAMIRIA KWELI KUONDOA UMASIKINI WA WATANZANIA.
-Ni Waziri Mkuu Mstaafu wa kwanza KUIHAMA CCM.
amevunja mwiko,kaonyesha nje ya ccm bado kuna maisha sahihi na salama.
-ANA KIBALI CHA KUPENDWA NA WATANZANIA WENGI.
-UTENDAJI WAKE HULETA FAIDA KWA TAIFA LOTE NA SIO HASARA.
LOWASSA MABADILIKOOOOO!!!!! MABADILIKO LOWASSA.
USIFANYE AJIZI/KOSA MWAKA HUU CHAGUA LOWASSA NI CHAGUO SAHIHI KWA KIZAZI CHETU.
Puuza Propaganda na Vitisho wa CCM,Hakuna kura itakayoibiwa hivyo ukimpigia Lowassa KURA,pamoja na Wagombea Ubunge na Udiwani wanaotoka vyama vya CHADEMA,CUF,NLD NA NCCR-MAGEUZI {UKAWA} Utaleta Mabadiliko ya kweli katika Taifa letu.
Mimi na Familia yangu yooote KURA YANGU YA NDIYO NI KWA LOWASSA.
mkuu... ... ninaonaHahahahahah
Alikuwa mtendaji Mkuu wa Serikali kwa miaka miwili aliuondoa umasikini wa nani?
Mimi nnaona alituzidishia tu umasikini, akashtukiwa.
kachukue buku saba lumumbaSoma ilani ya CCM, tuliukuta umasikini wa 60% sasa hivi kipindi cha Kikwete tumeubakisha 28%.
Umasikini hata USA upo. Alikudanganya Lowassa ataumaliza wakati mtu kama wewe umasikini upo kwenye ubongo wako, Fikiri kama unaweza.