Fire Extinguisher
Member
- Aug 4, 2015
- 91
- 28
Unafikir yeye siyo mjinga, akila manyoya anatupia kwa jirani.
Subiri kitu solex kiingie mjengoni, hao wamiliki vivuli lazima waonyeshe vyanzo vya mapato vilivyowawezesha kununua hizo Runch. Lazima watazikimbia tu.
Lowassa na Sumaye wanataka kudefend mali zao ndo maana wamekomaa, wanataka kushika dola. Pombe ikiingia ikulu ndo watajua kuwa maharagwe sio supu.