Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,985
- 20,263
- Thread starter
- #41
Kwa taifa na ChademaTija kwa nani? Kwako? kwa CHADEMA? kwa taifa? au kwa haki?
Kwa taifa na ChademaTija kwa nani? Kwako? kwa CHADEMA? kwa taifa? au kwa haki?
Hamkuisikia wewe na nani hiyo press?Yericko aliyekwambia lowasa ametubu ndio akajiunga na chadema nani,mbona hiyo press release ya kutubu hatukuisikia,au bado unapigia debe kitabu kiuzike!
Mimi sio mjumbe wa kamati kuu ya ccm mkuu,muungwana akivuliwa nguo uchutama..katika jambo lolote linalomhusu lowassa ni heri ubaki kimya..huna cha kuwaeleza watu wenye kumbukumbu wakakuelewa,labda wendawazimu.katika watu waliochangia kwa kiasi kikubwa kumporomosha yule mzee wewe ni mmojawapo..ulivuka hadi mipaka..chochote utakachoongea sasa juu yake ni unafiki mkubwa..
Alaaaa kumbeee!uasi wenye faida unaruhusiwa
Mkuu hii inauhusiano gani na mada hii?
Soma tena tena utaelewa mkuu
Kama ni mwizi mbona tangu muingie madarakani hamumshitaki?Sasa umesema nini? alikuwa mwizi na sasa ametubu au si mwizi kwa vile ushahidi haupo?
Ndio natoa ufafanuzi ili kuzuia propaganda za ccmHizi ni propaganda
Hazina tija kwa sasa
Ule wimbo wa wataisoma namba bado unaimbwa kwa furaha hapo Lumumba?Siku kama ya leo, unakumbuka nini kilitokea kamanda? Kamand achana na huyu, hana la ziada.
View attachment 365289
acha unafikiAcheni kumtia kiwewe, bila chadema hakuna Mnyika, huo ndio ukweli.
Sidhani kama anaweza fanya siasa za kipopoma namna hiyo....wakati namheshim sana Zitto, umaarufu wake ungekuwa mara dufu kama angebak Chadema...hata hivyo walipounganisha nguvu kama wapinzani nyota ya Zitto imengaa zaidi...
Mnyika please dont, this is for your political future, just dont.....naongea maana nakujua sana tu, toka tuna husle mitaa ya landmark na riverside...ww know you better
recheck ur upstairAlaaaa kumbeee!
Lowasa anatoa misaada au?
Kama ni mwizi mbona tangu muingie madarakani hamumshitaki?