Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
- Thread starter
- #141
Na wewe umeambiwa uendelee kumchafua ili mkono uende kinywani?Bila shaka we jamaa umeambiwa ukane yote uliyoandika enzi hizo, vinginevyo mdomo hautaenda kinywani, uliyemwita mwizi ndo kwenye Chama, huna pa kutokea ndo unamlamba miguu hivoo eti!