Lowassa kachezeshewa "chekundu cheusi"?

This time hatarudi!, he won't play anymore, "the games people play"!.
"The winner takes it all, the looser standing small!".
P.
Bora wewe umeelewa sasa maana tulisema mashabiki wa EL hawaitakii mema CCM na jibu ni mkutano Mkuu jua wengi wapo upinzani walijua CCM 2015 watatupa Garasa wao watoe King
Salama ya EL kwa karata ya mwisho ni CC leo mchana km hakuingia ndio byebye na kundi lake kwani nafasi finyu ktk 18 maana kuna wenyeviti wa Jumuia zote Maspika wawili
Nape na Mangula.hivyo bora aendeleze biashara zake alphatel, wasomali wa Intergrated, Tanzanite, vyombo vya habari nk
Urais atulie Mkiti wake kamwambia wasikichafue Chama wangoje May 2015
 
Mkuu wewe ni mfuatiliaji mzuri lakini unashindwa kabisa kuona kabisa nini kinachoendelea nyuma ya pazia!!

kama unadhani Lowassa na Kikwete ni maadui embu jiulize maswali haya:

1/Wiki moja kabla ya huu mkutano wa CCM, Jakaya Kikwete alikuwa Monduli na kutamka kuwa ''Lowassa ni JEMBE'' Why?

2/Wengi walioshinda ndani ya chaguzi za CCM ni watu wa Lowassa tena kwa rushwa kubwa, kwanini Kikwete ameshindwa kutengua matokeo?

3/Kwanini Kikwete ameshindwa kusimamia mpango wa kuwavua magamba Lowassa na wenzake?

4/Lowassa amewahi kutamka mara kadhaa kuwa Yeye na Kikwete hawakukutana barabarani!! How? Why Kikwete hajawahi kukanusha hilo?
 
Wewe umeyapata wapi mamlaka ya kutuburuza kuamini mitazamo yako juu ya Mzee Mwanakijiji?kwanini ustuachie uhuru wetu wa kuchambua hoja ya mmkj kwa mitizamo yetu? Mijitu mingine kwa kujifanye yenyewe inaakili !!!!
 
Mliongea meeengi,mnaongea meeengi lakini unasahau kuongelea nguvu za mwenyekiti wa ccm,toka enzi za nyerere,mwenyekiti wa ccm ana nguvu nyingi sana kwenye vikao vya maamuzi,kuna wakati huko nyuma kulikua na hoja za kumpunguzia nguvu hizo,kina lowassa wangeanzia hapo miaka miwili iliyopita leo kazi ingekua rahisi sana bali hata vipeperushi vya bashe
 

mitafaruku lazima iwepo kwenye demokrasia kwa kuwa katika hali ya kawaida haiwezekani watu wooote mkawaza na kufikiri sawasawa,hizi sio enzi ya zidumu fikra za mwenyekiti kaka,hiyo aliweza nyerere tu wakati ule sio sasa,muhimu mwisho wa siku ni kura,kama kapata za kutosha huyo ndio mwenyekiti hata kama watampinga lazima hawawezi kumuondoa tena na vikao vyote vya kumpata rais ajaye kupitia ccm ataviongoza yeye,hicho ndio watu wanaomuona kikwazo kwa ndoto zao kilichokua kinawafanya wahangaike na vipeperushi na mapesa
 
Hamna kitu,kikwete kamzidi tu maarifa huyu mmasai feki,hawezi kuwa rais bil mbeleko ya mwenyekiti huo ndio ukweli,jk alibebwa pia na mbeleko hiyo,ni mkapa tu ndio aliingia kwa mbeleko ya mzee wa butiama
 

teh teh teh...The Boss bora umesema.
 
Kama mngejua tangu awali kwamba huu mchezo wote centers around Richmond Scandal. Isingekuwa hiyo hakika JK angembeba Lowassa kulipa fadhila.

JK hana ubavu wa kumbeba Lowassa waziwazi na huku anajua Membe au Dr. Mwakyembe watakuja kuirudisha scandal ya Richmond

Mbaya zaidi uchunguzi wa Richmond scandal ulifadhiliwa na taasisi inaitwa MCA (millenium challenge account) ambayo ipo affiliated to US

From day one nilisema Membe ndiye chaguo la Wamarekani thus automatically hand picked successor to JK
 

Red bold mkuu!! Kulikuwa na sababu gani yeye kukubali kubeba lawama za Richmond? Si angemwaga vyote tu?

Ila EL huwa namfananisha na ManU, ni mzee wa come back!!!! Nawahi kubeba box, maana na kikazi cha usiku bana!!!
 
Red bold mkuu!! Kulikuwa na sababu gani yeye kukubali kubeba lawama za Richmond? Si angemwaga vyote tu?

Ila EL huwa namfananisha na ManU, ni mzee wa come back!!!! Nawahi kubeba box, maana na kikazi cha usiku bana!!!

Culprit wa Richmond ni Lowassa. JK hawezi kumuanika. Nilichokuwa nasema pale ni kwamba, Lowassa na uchafu wake kwakuwa yuko karibu na JK anajua siri nyingi za JK angeweza kuwatumia CHADEMA waziweke hadharani kumkata makali JK
 
hawa jamaa ni marafiki kihistoria lakini currently ni maadui kwani wamesalitiana kwa mengi sana kwanza richmond ishu ya gamba lowasa alishawahi kusema hivi mwenyekiti nikweli hufahaamu lolote kuhusiana na richmond pili mwanae lowasa yaani fred lowasa anahusishwa na kusambaza vipeperushi vyakutokuwa na imani na mwenyekiti wa ccn
 

Bwana Hon. MP, Mbona unaandika kwa jazba? au dio ule msemo, "jiwe likimpata mmbwa lazima abweke"?
 

Kweli kaka ni mauza uza kila kukicha tusishangae siku ya siku yeye Jk akampitisha tena kwe mbwembwe EL
 
lowasa alishawahi kusema hivi mwenyekiti nikweli hufahaamu lolote kuhusiana na richmond
In fact alikuwa anamaanisha kwamba je yale maamuzi yote ya Richmond yalikuwa ni yake binafsi bila kupata consent ya JK
?

Nionavyo mimi kauli hiyo hamsafishi Lowassa. Tume ya Dr. Mwakyembe ilimtaka Lowassa awajibishwe unaliongeleaje hilo?

Halafu inasemekana kuwa Frederick Lowassa ni mmoja wa wamiliki wa Richmond
 
Mkuu Mwita
Mbona unataka kuwa muhuni uzeeni somo umelielewa naona umeanza kuingiwa na hofu kubwa na 2015

Chama
Gongo la mboto DSM

Mkuu chama,
Naona huyu mshashi anaogopa sana kariakoo.
 
Last edited by a moderator:
Mzee Mwanakijiji, Jaribuni kuondoa hisia za JK na EL maana hao siyo CCM. Itazameni TANZANIA tuitakayo utaona kuwa CCM wanaanza kubadili upepo wa siasa za nchi kuelekea 2014 & 2015. Kama chama kikongwe na kinachokubali kujisahihisha kimeonyesha njia. Tuvitume vyama vyote vya siasa vijipange barabara kuelekea katika mafanikio dhabiti kwa nchi yetu. Mtu mmoja mmoja ama ka-kikundi fulani wasigeuke ajenda.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…