Bora wewe umeelewa sasa maana tulisema mashabiki wa EL hawaitakii mema CCM na jibu ni mkutano Mkuu jua wengi wapo upinzani walijua CCM 2015 watatupa Garasa wao watoe KingThis time hatarudi!, he won't play anymore, "the games people play"!.
"The winner takes it all, the looser standing small!".
P.
Mkuu wewe ni mfuatiliaji mzuri lakini unashindwa kabisa kuona kabisa nini kinachoendelea nyuma ya pazia!!mkuu nakupinga sana, ila yawezekana uko sahihi, lakini kama utakuwa ulifuatilia hotuba ya jk siku ya jumamosi vizuri utajifunza alimpiga sana madongo uyo el unayedai kuwa ni rafiki yake wa siku nyingi, alitaja wagombea uraisi kuwa ndo wankigawa chama chao, alikemea rushwa ilotolewa hasa katika uchaguzi wa umoja wa wanawake na hata kushauriwa ayafute matokeo na iko bayana aloshinda kuwa mwenyekiti wa jumuiya iyo ni mtu wa kaka el na aliwezeshwa na el.
Makamba kwa niaba ya kikwete alifunguka jana akimponda mtu mmoja asokuwa na kazi anajitaidi kumuangusha jk ktk uenyekiti natumai alokuwa akitajwa kutokuwa na kazi ni el.
Jamani kwa ayo machache sikubalian nawewe hawa jamaa hawako vizuri kiurafiki, na jk anaogopa el akiukwaa upresidaa aweza ata kumgeuka uko mbeleni, km moja ya kulipa kisasi
Wewe umeyapata wapi mamlaka ya kutuburuza kuamini mitazamo yako juu ya Mzee Mwanakijiji?kwanini ustuachie uhuru wetu wa kuchambua hoja ya mmkj kwa mitizamo yetu? Mijitu mingine kwa kujifanye yenyewe inaakili !!!!Inapokuja suala la kuongelea masuala ya CCM na hasa kumhusu lowassa huwa simuamini mwanakijiji hata kwa sekunde moja kwa sababu zifutazo,
1. kwanza mwanakijiji kwa kila dalili ya maandiko yake humu ni mfuasi wa Bernard Membe , hilo halina ubishi na hawezi muandika vibaya mfuasi wake.
2. kuhusu kutenganisha uenyekiti wa ccm na urais imebainika dhahiri kuwa walioandaa vipeperushi hivyo walifadhiliwa na membe na vyombo vya usalama vimethibitisha , zaidi walitaka aonekane ni lowassa wapate la kumsema, fuatilia tweets za serukamba utajua nini kiliendelea.
3. Nguvu ya lowassa nec ipime kwa wagombea wafuasi wake katika viti kumi vya NEC bara na Visiwani, hapo utaelewa bila kura za itifiki , kipenzi chako membe asingefurukuta.
mwisho niwaase wana JF kuwa linapokuja suala la Lowassa kupitia kwa MMKJJ litizameni mara mbili mbili kwa kuwa mara nyingi anaandika with a pre concluded assumptions . Kwa membe huwa hawezi kuficha hisia zake.
humuelewi kwa sababu haongei unayopenda kusikiaMwanakijiji yuko Detroit. Anamwongelea lowassa ambaye hamfaham vizuri. Hearsay, Wabongo wanamwamini.Kwanza unachoandikaga sikuelewi..
Kupiga kura kwa staili ya mikoa ndo sababu kubwa ya waliotaka kumpinga JK kuingia mitini. Na siamini kuwa ktk hali ya kawaida kabisa kupata 100% ni kukubalika kwa kiwango hicho. hizi ni kura tuu lakini kila mtu anaweza kuwa na mtazamo wake baada ya kura hizo.
Angalia wapiga debe wote maelezo yao hii ni staili ya CCM toka huko nyuma si sheria bali ni mazoea yao. Amini usiamini hakuna uongo usiokuwa na ukweli uongo chanzo chake ni ukweli furani ili udanganywe ni lazima upewe ukweli ambao utauamini kisha ukaja gundua kuwa ulikua anadanganywa.
Ebu tusubiri kama 99.9% ni kumkubali Mwenyekiti wao basi hakutakua tena na mitafaruku ndani ya CCM, vinginevyo, basi kura hizi ni unafiki wa funika kombe.
Hamna kitu,kikwete kamzidi tu maarifa huyu mmasai feki,hawezi kuwa rais bil mbeleko ya mwenyekiti huo ndio ukweli,jk alibebwa pia na mbeleko hiyo,ni mkapa tu ndio aliingia kwa mbeleko ya mzee wa butiamaMkuu MJJ,
Ingawa wengi wangependa huyu nyoka aondolewe kwenye siasa za TZ, lakini ni vema tukawa waangalifu sana kwenye kumfikiria kuwa anakufa hivi karibuni. EL inaelekea anazaidi ya roho saba. Marehemu Mwalimu JK alimkung'uta na labda kumzika tena waziwazi tofauti na hii ya mafumbo anayofanya Kikwete, lakini bado EL akaibuka na kuwa PM na akajikusanyia nguvu nyingi zaidi mikononi mwake. Mchezo wa karata tatu unachezwa, lakini tusubiri matokeo ili tusije-tukashangaa ikawa anayechezewa ni Kikwete badala ya EL. Let's wait and see.
With CCM so much is speculation
hujui nini ni nini
nani ni nani
Mara Mangula adui wa Kikwete
mara sasa washkaji
mara Nape adui wa Mkama mara sasa washkaji
mara huyu ataondolewa .mara kapandishwa cheo...
Aliekuwa anaweza kuielewa CCM alikuwa Sheikh Yahya peke yake.....
sisi wengine mpaka tujifunze elimu ya utabiri na majini hatuwezi
Zuma alikuwa na support ya COSATU(chama cha Wafanyakazi)
Pia alikuwa na support ya SACP(South Africa Communist Party)
Na pia hako ka-Malema
Katika safu ya Mbeki ni yule mama Nkosazana Dlamini peke yake ndo alikuwa "ana ndimi mbili" walobaki wote walikuwa wanamsupport Zuma
Naona kama Lowassa hakujipanga vizuri.
Ila mimi siku zote nimekuwa nikisema mtafutue JK kashfa ya kumpunguzia support kwa wananchi. Kashfa itakayomfanya aone aibu hata kusimama mbele ya NEC let alone kumnadi mtu wake
Hujajibu bado, Je 2015 ni Mulugo?Nyie hata 2025 hamchukui hii nchi, bado, kiongozi ni nani kutoka kwenu?
Hujajibu bado, Je 2015 ni Mulugo?
Red bold mkuu!! Kulikuwa na sababu gani yeye kukubali kubeba lawama za Richmond? Si angemwaga vyote tu?
Ila EL huwa namfananisha na ManU, ni mzee wa come back!!!! Nawahi kubeba box, maana na kikazi cha usiku bana!!!
Mwanakijiji wewe ni mchambuzi mzuri mfano wa chekundu - cheusi unafurahisha lakini katika muktadha huu ni mfano mfu. Nani alikwambia kuwa Mh. Lowassa na Rais Kikwete ni maadui? Watu wanawekewa maneno nao wanayabeba kama majuha.
Lowassa na Rais Kikwete ni Marafiki wa siku nyingi na hakuna wa kuwatenganisha wala wao hawana sababu za kuwa maadui, wawe maadui kwa lipi???
Anayesema kuwa hawa ni maadui ama atakuwa ana matatizo kwenye ubongo na mfumo wote wa ufahamu wake au atakuwa ni wakala wa kuendelea kupumbaza watu kwa makusudi yao na hapo ndipo wanaokubali na kufikiri kuwa ni maadui ndio wanachezeshwa chekundu- cheusi!!
Hii ni JF watu tuna vichwa vizuri!!
With CCM so much is speculation
hujui nini ni nini
nani ni nani
Mara Mangula adui wa Kikwete
mara sasa washkaji
mara Nape adui wa Mkama mara sasa washkaji
mara huyu ataondolewa .mara kapandishwa cheo...
Aliekuwa anaweza kuielewa CCM alikuwa Sheikh Yahya peke yake.....
sisi wengine mpaka tujifunze elimu ya utabiri na majini hatuwezi
In fact alikuwa anamaanisha kwamba je yale maamuzi yote ya Richmond yalikuwa ni yake binafsi bila kupata consent ya JKlowasa alishawahi kusema hivi mwenyekiti nikweli hufahaamu lolote kuhusiana na richmond