Katuga anatoa shule ya sheria

Katuga anatoa shule ya sheria

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
631
Reaction score
564
Kuna mtu Kitanzi kinamwita...

● KATUGA: Umesema unaiheshimu Katiba ya Tanzania?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Na unakubali kwamba hakuna mtu aliye juu ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Mwenyekiti wa chama yuko juu ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Hapana.

● KATUGA: Mwanasiasa yuko juu ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Hapana.

● KATUGA: Mwanasheria yuko juu ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Hapana.

● KATUGA: Basi hata wewe, kwa kuwa wewe ni mwanasheria, uko chini ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Kama raia, ndiyo.

● KATUGA: Kama raia tu?

πŸ”΄ LISSU: Ndio maana nasema...

● KATUGA: Usiniambie unachosema. Nijibu swali. Uko chini ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Na mtu mwingine akitumia haki yake ya kikatiba, huwezi kuiondoa haki hiyo kwa nguvu?

πŸ”΄ LISSU: Sijawahi kusema hivyo.

● KATUGA: Sijakuuliza kama umesema. Nimekuuliza kama ni kweli.

πŸ”΄ LISSU: Kwa ujumla, ndiyo.

● KATUGA: Kwa hiyo, mtu anayekwenda kupiga kura ana haki ya kufika kituoni bila kuzuiwa?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Hata kama kura yake ni tofauti na yako?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Hata kama anampigia kura mpinzani wako?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Hata kama hupendi matokeo?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Na mtu anayepinga uchaguzi anapaswa kufanya hivyo bila kumzuia huyo mpiga kura?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo, kwa njia halali.

● KATUGA: Kwa hiyo tunakubaliana kwamba maandamano ya amani ni jambo moja, lakini kuwatisha au kuwazuia wapiga kura ni jambo lingine?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Na kuchochea watu kuwatishia wapiga kura ni kinyume cha demokrasia?

πŸ”΄ LISSU: Kama ni tishio, ndiyo.

● KATUGA: Hakuna β€œkama” hapa, Mheshimiwa. Tishio ni tishio, sivyo?

πŸ”΄ LISSU: Inategemea mazingira.

● KATUGA: Tena mazingira?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Unahitaji mazingira gani ili tishio liwe tishio?

πŸ”΄ LISSU: Sidhani kama swali hilo lina maana.

● KATUGA: Lina maana kwako kwa sababu wewe ndiye uliyedai una utaalamu wa sheria.

πŸ”΄ LISSU: Mimi sijakataa.

● KATUGA: Basi tumalizie hapa. Kama kauli inawahamasisha watu kuzuia uchaguzi kwa nguvu, hiyo ni hatua ya kidemokrasia?

πŸ”΄ LISSU: Nimesema kwamba lazima tuangalie muktadha.

● KATUGA: Hujajibu.

πŸ”΄ LISSU: Nimejibu.

● KATUGA: Hapana, Mheshimiwa. Umeeleza. Sijapata jibu.

πŸ”΄ LISSU: Nadhani nimekuwa wazi.

● KATUGA: Basi jibu kwa neno moja: Ndiyo au hapana?

πŸ”΄ LISSU: Haiwezi kuwa rahisi hivyo.

● KATUGA: Lakini swali ni rahisi.

πŸ”΄ LISSU: Sio kwa namna unavyoliweka.

● KATUGA: Kwa hiyo huwezi kusema β€œndiyo” wala β€œhapana”?

πŸ”΄ LISSU: Nimeshatoa msimamo wangu.

● KATUGA: Msimamo wako umeeleweka. Ji
HRN8OQ9a4AAqCM8.png
bu lako bado halijaeleweka.

πŸ”΄ LISSU: Mheshimiwa...

● KATUGA: Hakuna tatizo. Tutaendelea na swali linalofuata.
 
Kuna mtu Kitanzi kinamwita...

● KATUGA: Umesema unaiheshimu Katiba ya Tanzania?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Na unakubali kwamba hakuna mtu aliye juu ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Mwenyekiti wa chama yuko juu ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Hapana.

● KATUGA: Mwanasiasa yuko juu ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Hapana.

● KATUGA: Mwanasheria yuko juu ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Hapana.

● KATUGA: Basi hata wewe, kwa kuwa wewe ni mwanasheria, uko chini ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Kama raia, ndiyo.

● KATUGA: Kama raia tu?

πŸ”΄ LISSU: Ndio maana nasema...

● KATUGA: Usiniambie unachosema. Nijibu swali. Uko chini ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Na mtu mwingine akitumia haki yake ya kikatiba, huwezi kuiondoa haki hiyo kwa nguvu?

πŸ”΄ LISSU: Sijawahi kusema hivyo.

● KATUGA: Sijakuuliza kama umesema. Nimekuuliza kama ni kweli.

πŸ”΄ LISSU: Kwa ujumla, ndiyo.

● KATUGA: Kwa hiyo, mtu anayekwenda kupiga kura ana haki ya kufika kituoni bila kuzuiwa?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Hata kama kura yake ni tofauti na yako?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Hata kama anampigia kura mpinzani wako?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Hata kama hupendi matokeo?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Na mtu anayepinga uchaguzi anapaswa kufanya hivyo bila kumzuia huyo mpiga kura?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo, kwa njia halali.

● KATUGA: Kwa hiyo tunakubaliana kwamba maandamano ya amani ni jambo moja, lakini kuwatisha au kuwazuia wapiga kura ni jambo lingine?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Na kuchochea watu kuwatishia wapiga kura ni kinyume cha demokrasia?

πŸ”΄ LISSU: Kama ni tishio, ndiyo.

● KATUGA: Hakuna β€œkama” hapa, Mheshimiwa. Tishio ni tishio, sivyo?

πŸ”΄ LISSU: Inategemea mazingira.

● KATUGA: Tena mazingira?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Unahitaji mazingira gani ili tishio liwe tishio?

πŸ”΄ LISSU: Sidhani kama swali hilo lina maana.

● KATUGA: Lina maana kwako kwa sababu wewe ndiye uliyedai una utaalamu wa sheria.

πŸ”΄ LISSU: Mimi sijakataa.

● KATUGA: Basi tumalizie hapa. Kama kauli inawahamasisha watu kuzuia uchaguzi kwa nguvu, hiyo ni hatua ya kidemokrasia?

πŸ”΄ LISSU: Nimesema kwamba lazima tuangalie muktadha.

● KATUGA: Hujajibu.

πŸ”΄ LISSU: Nimejibu.

● KATUGA: Hapana, Mheshimiwa. Umeeleza. Sijapata jibu.

πŸ”΄ LISSU: Nadhani nimekuwa wazi.

● KATUGA: Basi jibu kwa neno moja: Ndiyo au hapana?

πŸ”΄ LISSU: Haiwezi kuwa rahisi hivyo.

● KATUGA: Lakini swali ni rahisi.

πŸ”΄ LISSU: Sio kwa namna unavyoliweka.

● KATUGA: Kwa hiyo huwezi kusema β€œndiyo” wala β€œhapana”?

πŸ”΄ LISSU: Nimeshatoa msimamo wangu.

● KATUGA: Msimamo wako umeeleweka. JiView attachment 3661943bu lako bado halijaeleweka.

πŸ”΄ LISSU: Mheshimiwa...

● KATUGA: Hakuna tatizo. Tutaendelea na swali linalofuata.

..ndio maana John Mnyika ktk majibu yake alikuwa anasisitiza uchaguzi, huru, wa haki, na halali.
 
Kusema ukweli, katuga asingekua anatumika kwenye ukandamizi, ni wakili mzuri, I give him that. Ila amechagua kuiuza taaluma yake kwa upande dhalimu.

Hii haimaanishi kua ulichoandika sio nonsense.
 
Kuna mtu Kitanzi kinamwita...

● KATUGA: Umesema unaiheshimu Katiba ya Tanzania?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Na unakubali kwamba hakuna mtu aliye juu ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Mwenyekiti wa chama yuko juu ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Hapana.

● KATUGA: Mwanasiasa yuko juu ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Hapana.

● KATUGA: Mwanasheria yuko juu ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Hapana.

● KATUGA: Basi hata wewe, kwa kuwa wewe ni mwanasheria, uko chini ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Kama raia, ndiyo.

● KATUGA: Kama raia tu?

πŸ”΄ LISSU: Ndio maana nasema...

● KATUGA: Usiniambie unachosema. Nijibu swali. Uko chini ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Na mtu mwingine akitumia haki yake ya kikatiba, huwezi kuiondoa haki hiyo kwa nguvu?

πŸ”΄ LISSU: Sijawahi kusema hivyo.

● KATUGA: Sijakuuliza kama umesema. Nimekuuliza kama ni kweli.

πŸ”΄ LISSU: Kwa ujumla, ndiyo.

● KATUGA: Kwa hiyo, mtu anayekwenda kupiga kura ana haki ya kufika kituoni bila kuzuiwa?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Hata kama kura yake ni tofauti na yako?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Hata kama anampigia kura mpinzani wako?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Hata kama hupendi matokeo?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Na mtu anayepinga uchaguzi anapaswa kufanya hivyo bila kumzuia huyo mpiga kura?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo, kwa njia halali.

● KATUGA: Kwa hiyo tunakubaliana kwamba maandamano ya amani ni jambo moja, lakini kuwatisha au kuwazuia wapiga kura ni jambo lingine?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Na kuchochea watu kuwatishia wapiga kura ni kinyume cha demokrasia?

πŸ”΄ LISSU: Kama ni tishio, ndiyo.

● KATUGA: Hakuna β€œkama” hapa, Mheshimiwa. Tishio ni tishio, sivyo?

πŸ”΄ LISSU: Inategemea mazingira.

● KATUGA: Tena mazingira?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Unahitaji mazingira gani ili tishio liwe tishio?

πŸ”΄ LISSU: Sidhani kama swali hilo lina maana.

● KATUGA: Lina maana kwako kwa sababu wewe ndiye uliyedai una utaalamu wa sheria.

πŸ”΄ LISSU: Mimi sijakataa.

● KATUGA: Basi tumalizie hapa. Kama kauli inawahamasisha watu kuzuia uchaguzi kwa nguvu, hiyo ni hatua ya kidemokrasia?

πŸ”΄ LISSU: Nimesema kwamba lazima tuangalie muktadha.

● KATUGA: Hujajibu.

πŸ”΄ LISSU: Nimejibu.

● KATUGA: Hapana, Mheshimiwa. Umeeleza. Sijapata jibu.

πŸ”΄ LISSU: Nadhani nimekuwa wazi.

● KATUGA: Basi jibu kwa neno moja: Ndiyo au hapana?

πŸ”΄ LISSU: Haiwezi kuwa rahisi hivyo.

● KATUGA: Lakini swali ni rahisi.

πŸ”΄ LISSU: Sio kwa namna unavyoliweka.

● KATUGA: Kwa hiyo huwezi kusema β€œndiyo” wala β€œhapana”?

πŸ”΄ LISSU: Nimeshatoa msimamo wangu.

● KATUGA: Msimamo wako umeeleweka. JiView attachment 3661943bu lako bado halijaeleweka.

πŸ”΄ LISSU: Mheshimiwa...

● KATUGA: Hakuna tatizo. Tutaendelea na swali linalofuata.
Mbona anatumia nguvu sana? Kuna haja gani ya kumuonyesha ubabe Lissu.

Labda hiki ndicho kinachopendwa.

Amandla...
 
Sasa kuna sheria gani hapa? Huyo Katuga anahisi kuuliza hivyo ndio kwamba ni nguli was sheria? Huyo ni kilaza was mwisho tu.
 
Kuna mtu Kitanzi kinamwita...

● KATUGA: Umesema unaiheshimu Katiba ya Tanzania?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Na unakubali kwamba hakuna mtu aliye juu ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Mwenyekiti wa chama yuko juu ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Hapana.

● KATUGA: Mwanasiasa yuko juu ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Hapana.

● KATUGA: Mwanasheria yuko juu ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Hapana.

● KATUGA: Basi hata wewe, kwa kuwa wewe ni mwanasheria, uko chini ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Kama raia, ndiyo.

● KATUGA: Kama raia tu?

πŸ”΄ LISSU: Ndio maana nasema...

● KATUGA: Usiniambie unachosema. Nijibu swali. Uko chini ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Na mtu mwingine akitumia haki yake ya kikatiba, huwezi kuiondoa haki hiyo kwa nguvu?

πŸ”΄ LISSU: Sijawahi kusema hivyo.

● KATUGA: Sijakuuliza kama umesema. Nimekuuliza kama ni kweli.

πŸ”΄ LISSU: Kwa ujumla, ndiyo.

● KATUGA: Kwa hiyo, mtu anayekwenda kupiga kura ana haki ya kufika kituoni bila kuzuiwa?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Hata kama kura yake ni tofauti na yako?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Hata kama anampigia kura mpinzani wako?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Hata kama hupendi matokeo?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Na mtu anayepinga uchaguzi anapaswa kufanya hivyo bila kumzuia huyo mpiga kura?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo, kwa njia halali.

● KATUGA: Kwa hiyo tunakubaliana kwamba maandamano ya amani ni jambo moja, lakini kuwatisha au kuwazuia wapiga kura ni jambo lingine?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Na kuchochea watu kuwatishia wapiga kura ni kinyume cha demokrasia?

πŸ”΄ LISSU: Kama ni tishio, ndiyo.

● KATUGA: Hakuna β€œkama” hapa, Mheshimiwa. Tishio ni tishio, sivyo?

πŸ”΄ LISSU: Inategemea mazingira.

● KATUGA: Tena mazingira?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Unahitaji mazingira gani ili tishio liwe tishio?

πŸ”΄ LISSU: Sidhani kama swali hilo lina maana.

● KATUGA: Lina maana kwako kwa sababu wewe ndiye uliyedai una utaalamu wa sheria.

πŸ”΄ LISSU: Mimi sijakataa.

● KATUGA: Basi tumalizie hapa. Kama kauli inawahamasisha watu kuzuia uchaguzi kwa nguvu, hiyo ni hatua ya kidemokrasia?

πŸ”΄ LISSU: Nimesema kwamba lazima tuangalie muktadha.

● KATUGA: Hujajibu.

πŸ”΄ LISSU: Nimejibu.

● KATUGA: Hapana, Mheshimiwa. Umeeleza. Sijapata jibu.

πŸ”΄ LISSU: Nadhani nimekuwa wazi.

● KATUGA: Basi jibu kwa neno moja: Ndiyo au hapana?

πŸ”΄ LISSU: Haiwezi kuwa rahisi hivyo.

● KATUGA: Lakini swali ni rahisi.

πŸ”΄ LISSU: Sio kwa namna unavyoliweka.

● KATUGA: Kwa hiyo huwezi kusema β€œndiyo” wala β€œhapana”?

πŸ”΄ LISSU: Nimeshatoa msimamo wangu.

● KATUGA: Msimamo wako umeeleweka. JiView attachment 3661943bu lako bado halijaeleweka.

πŸ”΄ LISSU: Mheshimiwa...

● KATUGA: Hakuna tatizo. Tutaendelea na swali linalofuata.
Hii kesi ilikuwa live mkaiondoa kwa hila, sasa unatukelea vipande unavyodani vinakubeba. Mngeeacha tusikilize wenyewe yote, kisha tupime ukweli wa kesi.
 
Kuna mtu Kitanzi kinamwita...

● KATUGA: Umesema unaiheshimu Katiba ya Tanzania?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Na unakubali kwamba hakuna mtu aliye juu ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Mwenyekiti wa chama yuko juu ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Hapana.

● KATUGA: Mwanasiasa yuko juu ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Hapana.

● KATUGA: Mwanasheria yuko juu ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Hapana.

● KATUGA: Basi hata wewe, kwa kuwa wewe ni mwanasheria, uko chini ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Kama raia, ndiyo.

● KATUGA: Kama raia tu?

πŸ”΄ LISSU: Ndio maana nasema...

● KATUGA: Usiniambie unachosema. Nijibu swali. Uko chini ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Na mtu mwingine akitumia haki yake ya kikatiba, huwezi kuiondoa haki hiyo kwa nguvu?

πŸ”΄ LISSU: Sijawahi kusema hivyo.

● KATUGA: Sijakuuliza kama umesema. Nimekuuliza kama ni kweli.

πŸ”΄ LISSU: Kwa ujumla, ndiyo.

● KATUGA: Kwa hiyo, mtu anayekwenda kupiga kura ana haki ya kufika kituoni bila kuzuiwa?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Hata kama kura yake ni tofauti na yako?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Hata kama anampigia kura mpinzani wako?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Hata kama hupendi matokeo?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Na mtu anayepinga uchaguzi anapaswa kufanya hivyo bila kumzuia huyo mpiga kura?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo, kwa njia halali.

● KATUGA: Kwa hiyo tunakubaliana kwamba maandamano ya amani ni jambo moja, lakini kuwatisha au kuwazuia wapiga kura ni jambo lingine?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Na kuchochea watu kuwatishia wapiga kura ni kinyume cha demokrasia?

πŸ”΄ LISSU: Kama ni tishio, ndiyo.

● KATUGA: Hakuna β€œkama” hapa, Mheshimiwa. Tishio ni tishio, sivyo?

πŸ”΄ LISSU: Inategemea mazingira.

● KATUGA: Tena mazingira?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Unahitaji mazingira gani ili tishio liwe tishio?

πŸ”΄ LISSU: Sidhani kama swali hilo lina maana.

● KATUGA: Lina maana kwako kwa sababu wewe ndiye uliyedai una utaalamu wa sheria.

πŸ”΄ LISSU: Mimi sijakataa.

● KATUGA: Basi tumalizie hapa. Kama kauli inawahamasisha watu kuzuia uchaguzi kwa nguvu, hiyo ni hatua ya kidemokrasia?

πŸ”΄ LISSU: Nimesema kwamba lazima tuangalie muktadha.

● KATUGA: Hujajibu.

πŸ”΄ LISSU: Nimejibu.

● KATUGA: Hapana, Mheshimiwa. Umeeleza. Sijapata jibu.

πŸ”΄ LISSU: Nadhani nimekuwa wazi.

● KATUGA: Basi jibu kwa neno moja: Ndiyo au hapana?

πŸ”΄ LISSU: Haiwezi kuwa rahisi hivyo.

● KATUGA: Lakini swali ni rahisi.

πŸ”΄ LISSU: Sio kwa namna unavyoliweka.

● KATUGA: Kwa hiyo huwezi kusema β€œndiyo” wala β€œhapana”?

πŸ”΄ LISSU: Nimeshatoa msimamo wangu.

● KATUGA: Msimamo wako umeeleweka. JiView attachment 3661943bu lako bado halijaeleweka.

πŸ”΄ LISSU: Mheshimiwa...

● KATUGA: Hakuna tatizo. Tutaendelea na swali linalofuata.
Mahakama hii haiangalii uzito wa ushahidi wala kuaminika kwake'.
Jaji Ndunguru.
 
Kuna mtu Kitanzi kinamwita...

● KATUGA: Umesema unaiheshimu Katiba ya Tanzania?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Na unakubali kwamba hakuna mtu aliye juu ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Mwenyekiti wa chama yuko juu ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Hapana.

● KATUGA: Mwanasiasa yuko juu ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Hapana.

● KATUGA: Mwanasheria yuko juu ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Hapana.

● KATUGA: Basi hata wewe, kwa kuwa wewe ni mwanasheria, uko chini ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Kama raia, ndiyo.

● KATUGA: Kama raia tu?

πŸ”΄ LISSU: Ndio maana nasema...

● KATUGA: Usiniambie unachosema. Nijibu swali. Uko chini ya Katiba?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Na mtu mwingine akitumia haki yake ya kikatiba, huwezi kuiondoa haki hiyo kwa nguvu?

πŸ”΄ LISSU: Sijawahi kusema hivyo.

● KATUGA: Sijakuuliza kama umesema. Nimekuuliza kama ni kweli.

πŸ”΄ LISSU: Kwa ujumla, ndiyo.

● KATUGA: Kwa hiyo, mtu anayekwenda kupiga kura ana haki ya kufika kituoni bila kuzuiwa?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Hata kama kura yake ni tofauti na yako?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Hata kama anampigia kura mpinzani wako?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Hata kama hupendi matokeo?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Na mtu anayepinga uchaguzi anapaswa kufanya hivyo bila kumzuia huyo mpiga kura?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo, kwa njia halali.

● KATUGA: Kwa hiyo tunakubaliana kwamba maandamano ya amani ni jambo moja, lakini kuwatisha au kuwazuia wapiga kura ni jambo lingine?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Na kuchochea watu kuwatishia wapiga kura ni kinyume cha demokrasia?

πŸ”΄ LISSU: Kama ni tishio, ndiyo.

● KATUGA: Hakuna β€œkama” hapa, Mheshimiwa. Tishio ni tishio, sivyo?

πŸ”΄ LISSU: Inategemea mazingira.

● KATUGA: Tena mazingira?

πŸ”΄ LISSU: Ndiyo.

● KATUGA: Unahitaji mazingira gani ili tishio liwe tishio?

πŸ”΄ LISSU: Sidhani kama swali hilo lina maana.

● KATUGA: Lina maana kwako kwa sababu wewe ndiye uliyedai una utaalamu wa sheria.

πŸ”΄ LISSU: Mimi sijakataa.

● KATUGA: Basi tumalizie hapa. Kama kauli inawahamasisha watu kuzuia uchaguzi kwa nguvu, hiyo ni hatua ya kidemokrasia?

πŸ”΄ LISSU: Nimesema kwamba lazima tuangalie muktadha.

● KATUGA: Hujajibu.

πŸ”΄ LISSU: Nimejibu.

● KATUGA: Hapana, Mheshimiwa. Umeeleza. Sijapata jibu.

πŸ”΄ LISSU: Nadhani nimekuwa wazi.

● KATUGA: Basi jibu kwa neno moja: Ndiyo au hapana?

πŸ”΄ LISSU: Haiwezi kuwa rahisi hivyo.

● KATUGA: Lakini swali ni rahisi.

πŸ”΄ LISSU: Sio kwa namna unavyoliweka.

● KATUGA: Kwa hiyo huwezi kusema β€œndiyo” wala β€œhapana”?

πŸ”΄ LISSU: Nimeshatoa msimamo wangu.

● KATUGA: Msimamo wako umeeleweka. JiView attachment 3661943bu lako bado halijaeleweka.

πŸ”΄ LISSU: Mheshimiwa...

● KATUGA: Hakuna tatizo. Tutaendelea na swali linalofuata.
Mbona yamekaa kimatipochoice πŸ˜€
 
Wewe zezeta hiyo shule ya sheria anayotoa Katuga anatolea chumbani mkiwa nae?

Unafikiri zama hizi mtatudanganya?
 
Back
Top Bottom