Lowassa inawezekana huna Parkinson's disease - PD

Lowassa inawezekana huna Parkinson's disease - PD

Ni ushauri aende hospitali akapime hizo difficiency kwa usahihi zaidi, ma GP wengi hua hawangalii vitu kama Magnesium ama Iron ndo chimbuko la matatizo mengi. Hata hivyo ni ushauri kwa afya yake mwenyewe, akipenda aende hospitali akitaka asiende pia.

Hivi unamuonaje Lowassa? Wewe ndio wa kumshauri kuhusu matibabu yake? Kwamba ana upungufu wa magnesium na iron? Kwamba hajui tatizo lake? Huyu mheshimiwa ni miongoni mwa watanzania wachache sana wanaopata world class healthcare. Mafua kidogo tu anakwenda hosipitali Ujerumani. Yote haya kwa ukwasi alioupata kutokana nyadhifa alizowahi kushika serikalini.
 
Lowassa ndo tumaini la matz wengi kuliko kiongoz yyte nje na ndan ya ccm,vyvyte vile yan lije jua ije mvua lowassa
 
JamiiForums ni jukwaa ambalo naliheshimu kwa kufanya kazi kubwa kwa niaba ya watanzania kwa kuwachunguza waliotangaza nia Urais kuhusu(maana waandishi wa habari wa redio, tv, magazeti wanagopa kuuliza maswali magumu) :
  • afya/siha za wgombea
  • vipi watakuza uchumi- kilimo,ufugaji,uvuvi, gesi, madini
  • sekta ipi wa uchumi watanafikiri inaweza kuleta BIG RESULT NOW
  • vipi wataboresha afya, elimu, maji safi
  • usafiri wa reli , barabara, majini na angani
  • viwanda vikubwa na vidogo
  • ulinzi na usalama
 
bora apumzike tu kwa hali hiyo atalitia hasara taifa
 
MkamaP

Mkuu here are 10 symptoms of Parkinson's Disease (PD)
  1. Tremor or shaking
  2. Small handwriting
  3. Loss of smell
  4. Trouble sleeping
  5. Trouble moving or walking
  6. Constipation
  7. A soft or low voice
  8. Masked face
  9. Dizziness or fainting
  10. Stooping or hunching over

Be the doctor yourself!
 
Last edited by a moderator:
Mimi ninachojua wewe kama ni mzalendo wa kweli na unaumwa you better step tu away ili usilitie matatizo Taifa ,hamna binadamu asiyeumwa
 
Ni ushauri aende hospitali akapime hizo difficiency kwa usahihi zaidi, ma GP wengi hua hawangalii vitu kama Magnesium ama Iron ndo chimbuko la matatizo mengi. Hata hivyo ni ushauri kwa afya yake mwenyewe, akipenda aende hospitali akitaka asiende pia.

sasa hapa unatoa ushauri kwa wana JF au LOwasa na kma ni kwa lowasa sabab umesha mdiagnose na mineral deficiency jua una bleach patient right to confidentiality kwa kutoa huo unaita ushauri kwa kadamnasi sijui ni daktari gani ww usie jua ethics
 
Hivi ni ameshindwa kusimama au alikuwa anasogeza kiti akae vizuri!!! Acheni ushabiki usio na maana... Mbona mnahangaika sana na Lowasa!! Watangaza nia wapo 37 hamuwaoni mnamuona Lowasa tu... Au ndio nyota.. Acheni mambo yenu bhana

Ndiye yeye tu aliyekusanya matajiri uchwara wapiga dili ktk korido za ofisi za umma mafisadi nchi hii kupindukia waafirika kwa wahindi wanao haha kila pembe ya Tanzania kununua kila aliye hai hata watumishi wa Mungu wamenunuliwa ali mradi huyo bwana aingie Ikuru. Afie mbali kwa ustawi wa Tanzania.
 
Lowasa raisi ata mtunge stor ndefu kama shigongo.

#ATA KWA MACHELA IKULU ANAINGIA

Hata milango ya ikulu hataiona labda kama unamaanisha ikulu ya mako! Atafia kwenye kampeni maana kuna sehemu lazima atumie gari na ninavyomwona hatahimili kusimama kwenye jukwaa kwa siku nzima! Kama mwanajeshi tu alikuwa anapiga tiktak sembuse huyu!!!
 
Hivi unamuonaje Lowassa? Wewe ndio wa kumshauri kuhusu matibabu yake? Kwamba ana upungufu wa magnesium na iron? Kwamba hajui tatizo lake? Huyu mheshimiwa ni miongoni mwa watanzania wachache sana wanaopata world class healthcare. Mafua kidogo tu anakwenda hosipitali Ujerumani. Yote haya kwa ukwasi alioupata kutokana nyadhifa alizowahi kushika serikalini.

Baba yetu sana alienda zahanati ya kijiji ana umri wa miaka 97 na bado anadunda kwa busara yule MZEE hashikiki. Hatuna mtu kama huyo ktk million 46 za watanzania kiasi cha kung'ang'ania huyu spana mkononi tena huko ujerumani kwa pesa zetu za Richmond, EPA nk?
 
Watz wengi tunaimin naye sana

Hajanunua hata robo ya wapiga kura wote. Wacha kujidanganya. Nijuavyo kama ataendelea kuwanunueni ni theruthi moja tu ya wapiga kura mtanunulika lakini theruthi mbili za wapiga kura jua liwake mvua inyeshe hatununuliki tunasubiria kipenga kuipatia Tanzania Uhuru Kwa Mara ya pili. Hata wakati wa mkoloni watu kama ninyi walikuwepo lakini hilo halikumzuia Kambarage kumtoa Mwingereza.
 
sasa hapa unatoa ushauri kwa wana JF au LOwasa na kma ni kwa lowasa sabab umesha mdiagnose na mineral deficiency jua una bleach patient right to confidentiality kwa kutoa huo unaita ushauri kwa kadamnasi sijui ni daktari gani ww usie jua ethics
Hakuna confidentiality kwa mtu anayetaka kuwa rais wa nchi. Lazima wananchi wamfahamu vyema ndipo waamue kama anastahili na anaweza kuwa rais wao.
 
Back
Top Bottom